Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Raia wanne wa kigeni walioingia na mafua Uganda watengwa

Wizara ya Afya Uganda kuwataga wageni wanaoingia nchini kutoka mataifa yaliyoathirika na coronavirus kwa siku 14

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kwanini Uganda imewafurusha raia 22 wa kigeni waliowasili kwa kongamano la kibiashara

Maafisa wa wizara ya afya nchini Uganda siku ya Jumapili wamesema kwamba takriban raia 22 wa kigeni watarudi katika mataifa yao huku hofu ya maambukizi ya virusi vya corona ikiendelea.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Marekani yaonya kupigwa raia wa kigeni nchini Ethiopia

Balozi wa Marekani nchini Ethiopia ameonya kuwa wageni wanashambuliwa katika miji kote nchini baada ya kutuhumiwa kuambukizwa Covid-19.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ubaguzi dhidi ya raia wa Kigeni Afrika Mashariki kwa hofu ya virusi

Huku maambukizi ya Corona yakiendelea kuongezeka Afrika, hofu ya janga hili linalokumba dunia limepelekea ubaguzi dhidi ya raia wa kigeni Afrika Mashariki.

 

10 years ago

Michuzi

JUST IN: TAARIFA KUHUSU RAIA WA BURUNDI WALIOINGIA NCHINI KUOMBA HIFADHI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi inapenda kutoa taarifa kuwa hadi jana tarehe 03 Mei, 2015 raia wa Burundi waliongia nchini kuomba hifadhi walikuwa 1,852.  Raia hawa wa Burundi waliingia nchini kupitia vijiji mbalimbali vya mkoa wa Kigoma. Vijiji hivyo ni pamoja na kijiji cha Kigaye, Sekeoya na Kakonko.  Vingine ni Kosovo, Kagunga na Kibuye, huku wengine wakiwa wamepitia katika Kituo cha Uhamiaji cha Manyovu kilichopo mkoani...

 

11 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZ: idara ya uhamiaji yaendelea kucharuka, yamzuia raia wa netherlands kuingia nchini kwa kujihusisha na kusafrisha kimazabe raia wa kigeni

 Bw. Shirwan Naseh, raia wa Netherlands  mwenye asili ya Iraq aliyezuiliwa kuingia nchini na kupigwa pigwa PI na Idara ya Uhamiaji



 

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa kigeni wauawa Afghanistan

Takriban watu 15 wameuawa mjini Kabul baada ya mlipuaji wa kujitoa mhanga kushambulia mkahawa unaopendwa na raia wa kigeni

 

11 years ago

BBCSwahili

Msako dhidi ya raia wa kigeni Kenya

Polisi nchini Kenya wamewakamata mamia ya raia wa kigeni mjini Nairobi huku msako mkali ukifanywa dhidi ya watu wanaoshukiwa kuwa nchini humo kinyume na sheria.

 

10 years ago

Mtanzania

Raia wa kigeni wakamatwa na madini JNIA

Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
RAIA wa kigeni wanaofanya biashara haramu ya madini wamekamatwa na madini yenye thamani ya Dola za Marekani 113,807.11 sawa Sh milioni 641.853 katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa TMAA, Bron Mteta alisema watu hao walikamatwa katika matukio 27 tofauti huku wakiwa na madini ya aina mbalimbali.
Alisema miongoni mwa matukio hayo ni pamoja na lile la...

 

11 years ago

Habarileo

Raia wa kigeni wafa hotelini Dar

WATU sita wameaga dunia jijini Dar es Salaam wakiwemo raia wawili wa kigeni ambao wamekutwa wamekufa chumbani kwao na miili yao ikiwa haina jeraha lolote.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani