Coronavirus: Raia wanne wa kigeni walioingia na mafua Uganda watengwa
Wizara ya Afya Uganda kuwataga wageni wanaoingia nchini kutoka mataifa yaliyoathirika na coronavirus kwa siku 14
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili09 Mar
Coronavirus: Kwanini Uganda imewafurusha raia 22 wa kigeni waliowasili kwa kongamano la kibiashara
5 years ago
BBCSwahili19 Mar
Coronavirus: Marekani yaonya kupigwa raia wa kigeni nchini Ethiopia
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Ubaguzi dhidi ya raia wa Kigeni Afrika Mashariki kwa hofu ya virusi
10 years ago
Michuzi
JUST IN: TAARIFA KUHUSU RAIA WA BURUNDI WALIOINGIA NCHINI KUOMBA HIFADHI

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi inapenda kutoa taarifa kuwa hadi jana tarehe 03 Mei, 2015 raia wa Burundi waliongia nchini kuomba hifadhi walikuwa 1,852. Raia hawa wa Burundi waliingia nchini kupitia vijiji mbalimbali vya mkoa wa Kigoma. Vijiji hivyo ni pamoja na kijiji cha Kigaye, Sekeoya na Kakonko. Vingine ni Kosovo, Kagunga na Kibuye, huku wengine wakiwa wamepitia katika Kituo cha Uhamiaji cha Manyovu kilichopo mkoani...
11 years ago
Michuzi.jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: idara ya uhamiaji yaendelea kucharuka, yamzuia raia wa netherlands kuingia nchini kwa kujihusisha na kusafrisha kimazabe raia wa kigeni
.jpg)


11 years ago
BBCSwahili18 Jan
Raia wa kigeni wauawa Afghanistan
11 years ago
BBCSwahili31 Jan
Msako dhidi ya raia wa kigeni Kenya
10 years ago
Mtanzania19 Feb
Raia wa kigeni wakamatwa na madini JNIA
Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
RAIA wa kigeni wanaofanya biashara haramu ya madini wamekamatwa na madini yenye thamani ya Dola za Marekani 113,807.11 sawa Sh milioni 641.853 katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa TMAA, Bron Mteta alisema watu hao walikamatwa katika matukio 27 tofauti huku wakiwa na madini ya aina mbalimbali.
Alisema miongoni mwa matukio hayo ni pamoja na lile la...
11 years ago
Habarileo17 Oct
Raia wa kigeni wafa hotelini Dar
WATU sita wameaga dunia jijini Dar es Salaam wakiwemo raia wawili wa kigeni ambao wamekutwa wamekufa chumbani kwao na miili yao ikiwa haina jeraha lolote.