Mashtaka dhidi ya Assange yaondolewa
Kiongozi wa mashtaka wa Sweden amemuondolea mashtaka mmiliki wa mtandao wa Wikileaks, Julian Assange
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili17 Sep
Mashtaka dhdi ya kijana wa saa yaondolewa
10 years ago
Vijimambo09 Jul
MASHTAKA 7 DHIDI YA LOWASSA
![](http://www.theeastafrican.co.ke/image/view/-/2767182/medRes/1023466/-/maxw/600/-/hsh7r6z/-/lowassa.jpg)
Na. M. M. MwanakijijiWapo Watanzania ambao wanaamini na wanamtaka Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa awe rais wa awamu ya tano. Wana sababu zao za kufanya hivyo na wana haki zote za kumfanyia kampeni, kumuunga mkono, kumchangia na hata kujitolea kumsaidia apite kwenye mchakato ndani ya CCM na hata kwenye Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu. Haki hii ya kumchagua kiongozi unayemtaka ni haki ya msingi ya Kikatiba.Wapo pia Watanzania ambao hawaamini na hawamtaki Lowassa kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IxT7ndZ8IhY/Xk9w1KGiVUI/AAAAAAALepc/8Z181bG64z4QvSGasHvkYfwQnI_wHRq7QCLcBGAsYHQ/s72-c/4bsk8011feea8c1hd3l_800C450.jpg)
Rwanda yasitisha mashtaka dhidi ya raia 17 wa Uganda
![](https://1.bp.blogspot.com/-IxT7ndZ8IhY/Xk9w1KGiVUI/AAAAAAALepc/8Z181bG64z4QvSGasHvkYfwQnI_wHRq7QCLcBGAsYHQ/s640/4bsk8011feea8c1hd3l_800C450.jpg)
Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya kuachiliwa huru raia 13 wa Rwanda waliokuwa wanashikiliwa nchini Uganda.
Taarifa hiyo imesema kupitia ubalozi wake mjini Kampala, serikali ya Rwanda imekaribisha kuachiwa huru kwa raia wake 13 na kurejeshwa Rwanda watuhumiwa wawili wa ugaidi waliohusika na shambulizi la Kinigi lililotokea Oktoba mwaka 2019.
Mapema mwezi...
9 years ago
Habarileo08 Sep
Masha adai mashtaka dhidi yake ni batili
ALIYEWAHI kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha (45) amewasilisha mahakamani pingamizi juu ya kesi inayomkabili ya kutumia lugha ya matusi kwa maofisa wa Jeshi la Polisi, akisema mashitaka aliyofunguliwa ni batili.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G28RNOD5CRU/XtDUotVi-BI/AAAAAAALr90/xroDUX7WXoEXtyjmV5KquYn22BM65Zp4gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-29%2Bat%2B12.06.27%2BPM.jpeg)
ZITTO KABWE AHUKUMIWA LEO DHIDI YA MASHTAKA MATATU
![](https://1.bp.blogspot.com/-G28RNOD5CRU/XtDUotVi-BI/AAAAAAALr90/xroDUX7WXoEXtyjmV5KquYn22BM65Zp4gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-29%2Bat%2B12.06.27%2BPM.jpeg)
Zitto amehukumiwa leo mahakamani hapo baada ya kutiwa hatiani katika mashitaka matatu yaliyokuwa yanamkabili.
Hukumu hiyo imesomwa leo Mei 29, 2020 na Hakimu Mkazi Mkuu Huruma Shaidi baada ya kuridhika na ushahidi wa mashahidi 15 wa upande wa mashtaka na kuzingatia utetezi wa Zitto...
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya corona: Mwanamke Aliyezaa watoto wawili na Assange kwa siri ubalozini aeleza hofu yake
11 years ago
BBCSwahili21 Jun
Uingereza yaondolewa Brazil
11 years ago
BBCSwahili17 Feb
Azam ya TZ yaondolewa michuano ya Afrika
10 years ago
Habarileo23 Nov
Marekebisho Sheria ya HESLB yaondolewa
SERIKALI imeondoa sehemu ya marekebisho ya sheria katika Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii, kupinga ikidai itawanyima fursa wanafunzi kutoka familia masikini kupata mikopo.