Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uingereza yaondolewa Brazil

Kufuatia ushindi wa Costa Rica dhidi ya Italia Uingereza sasa imeyaaga mashindano huko Brazil

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mashabiki wa Brazil na Uingereza waonywa

Wachezaji mashuhuri katika ligi za soka za Uingereza na Brazil wajiunga na kampeni ya kuwaonya mashabiki dhidi ya makahaba watoto.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uingereza na Uruguay zinapambana Brazil

Uruguay na Uingereza zinatafuta pointi ya kwanza katika kombe la dunia .. Timu zote zilishindwa katika mechi zao za ufunguzi.

 

10 years ago

Habarileo

Miswada sheria za habari yaondolewa

MISWADA miwili ya sheria inayohusu sekta ya habari iliyokuwa iwasilishwe katika kikao cha Bunge kinachoendelea mjini hapa chini ya hati ya dharura, imeondolewa.

 

11 years ago

GPL

YANGA YAONDOLEWA KWA MATUTA

Timu ya Yanga SC imeondolewa kwenye Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika baada ya kufungwa na Al Ahly kwa penalti 4-3 katika mechi iliyochezwa Uwanja wa El Max Haras El Hodod jijini Alexandria, Misri! Mpaka dakika ya 90 ya mchezo, matokeo ya jumla yalikuwa 1-1 hivyo kuamriwa kupigwa mikwaju ya penalti ambapo Yanga walipata 3, wakati Al Ahly wakipata 4. Wachezaji wa Yanga waliofunga penalti ni Didier Kavumbagu, Emmanuel Okwi na...

 

10 years ago

Habarileo

Mitambo ya kukodi ya Symbion yaondolewa

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Felchesmi MrambaMITAMBO ya kukodi inayotumia mafuta kufua umeme nchini, imemaliza mikataba yake na kuanza kuondolewa nchini na kubaki mmoja wa Aggreko uliopo Ubungo unaozalisha Megawati 50 pekee ambao nao utaondoka miezi mitatu ijayo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marufuku ya Youtube yaondolewa Uturuki

Serikali ya Uturuki imeondoa marufuku ya miezi mwili iliyoweka dhidi ya mtandao wa kijamii wa YouTube .

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashtaka dhidi ya Assange yaondolewa

Kiongozi wa mashtaka wa Sweden amemuondolea mashtaka mmiliki wa mtandao wa Wikileaks, Julian Assange

 

10 years ago

BBCSwahili

Qatar yaondolewa tuhuma za ufisadi

Shirikisho la soka duniani FIFA limeilaumu shirikisho la soka la Uingereza kwa kuvunja sheria za kutolewa kwa kibali cha kuandaa mashindano ya kombe la dunia mwaka 2018.

 

11 years ago

BBCSwahili

Azam ya TZ yaondolewa michuano ya Afrika

Wawakilishi kwenye michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika, Azam FC waondolewa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani