Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashabiki wa Brazil na Uingereza waonywa

Wachezaji mashuhuri katika ligi za soka za Uingereza na Brazil wajiunga na kampeni ya kuwaonya mashabiki dhidi ya makahaba watoto.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Uingereza yaondolewa Brazil

Kufuatia ushindi wa Costa Rica dhidi ya Italia Uingereza sasa imeyaaga mashindano huko Brazil

 

10 years ago

BBCSwahili

Khadija Kopa awatumbuiza mashabiki Uingereza

Wakati tunasherehekea Eid Ul Fitri kote duniani, kwa wale waliosherehekea siku ya Ijumaa na wale waliosherehekea siku ya jumamosi, mbwembwe na shangwe ni zile zile, Malkia wa Twaarab Afrika Mashariki na Kati Khadija Kopa yuko Uingereza kuwatumbuiza mashab

 

11 years ago

BBCSwahili

Uingereza na Uruguay zinapambana Brazil

Uruguay na Uingereza zinatafuta pointi ya kwanza katika kombe la dunia .. Timu zote zilishindwa katika mechi zao za ufunguzi.

 

10 years ago

Mtanzania

Justin Bieber awaomba radhi mashabiki Uingereza

Justin-BieberLAS VEGAS, Marekani

NYOTA wa muziki wa RnB nchini Marekani, Justin Bieber, amewaomba radhi mashabiki wake nchini Uingereza baada ya kutangaza kusitisha onyesho alilotakiwa kulifanya nchini humo.

Msanii huyo mwenye umri wa miaka 21, alitarajia kufanya onyesho hilo Agosti 28 mwaka huu nchini humo, lakini amesitisha bila kutaja sababu za msingi.

“Naomba radhi kwa mashabiki wangu nchini Uingereza kwa kusitisha kufanya shoo Agosti 28, lakini lazima nitaifanya muda mfupi ujao.

“Nimeona nitumie...

 

11 years ago

GPL

MASHABIKI BRAZIL WACHOMA MOTO BASI

Basi lililochomwa na mashabiki wa Brazil waliokuwa na hasira likiteketea kwa moto. Vikosi vya zimamoto vikijaribu kuzuia moto huo.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashabiki wa Ghana waomba kuhamia Brazil

Mashabiki 200 kutoka Ghana waliokwenda nchini humo kutazama kombe la dunia wanataka waruhusiwe kuhamia nchini humo.

 

11 years ago

CloudsFM

Mashabiki Brazil walichoma moto Basi

Baada ya kubugizwa mabao 7-1 na Ujerumani katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2014, mashabiki wa Brazil wameamua kuchoma moto basi.

Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo huko Sao Paulo nchini humo baada ya mechi hiyo iliyopigwa Belo Horizonte.

Mashabiki walichukua hatua hiyo kutokana na hasira za timu yao kuondolewa katika michuano hiyo inayofanyika nyumbani kwao.

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Kocha wa Nigeria awajia juu mashabiki

Kocha Stephen Keshi amewapuuza mashabiki wa soka nchini Nigeria baada ya timu yake kucheza moja ya mechi mbaya za Kombe la Dunia nchini Brazil mapema wiki hii.

 

10 years ago

Bongo5

Kwa Uingereza Alikiba ana mashabiki wengi kuliko Diamond — Promota

Promota wa muziki na filamu anayefanyia kazi nchini Uingereza, Hadija Seif maarufu kama Dida Fashion amesema wapenzi wa muziki nchini Uingereza wanampenda zaidi Alikiba kuliko Diamond. Dida alisema hayo kwenye mahojiano na Bongo5 hivi karibuni. “Sio sasa hivi tu, tangu zamani to be honest kwa UK Alikiba yupo juu zaidi,” alisema. “Sijui kwanini lakini kwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani