Mashabiki wa Brazil na Uingereza waonywa
Wachezaji mashuhuri katika ligi za soka za Uingereza na Brazil wajiunga na kampeni ya kuwaonya mashabiki dhidi ya makahaba watoto.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili21 Jun
Uingereza yaondolewa Brazil
10 years ago
BBCSwahili19 Jul
Khadija Kopa awatumbuiza mashabiki Uingereza
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
Uingereza na Uruguay zinapambana Brazil
10 years ago
Mtanzania07 Aug
Justin Bieber awaomba radhi mashabiki Uingereza
LAS VEGAS, Marekani
NYOTA wa muziki wa RnB nchini Marekani, Justin Bieber, amewaomba radhi mashabiki wake nchini Uingereza baada ya kutangaza kusitisha onyesho alilotakiwa kulifanya nchini humo.
Msanii huyo mwenye umri wa miaka 21, alitarajia kufanya onyesho hilo Agosti 28 mwaka huu nchini humo, lakini amesitisha bila kutaja sababu za msingi.
“Naomba radhi kwa mashabiki wangu nchini Uingereza kwa kusitisha kufanya shoo Agosti 28, lakini lazima nitaifanya muda mfupi ujao.
“Nimeona nitumie...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRYRzvH-TO7UvVPwQtyS4CXTRo7JsqBB-sGYoe8ON62MgHXRn1r2ykaQjKpPF8KpCWrj8IBVTbHRT-P5NpicJ3dQ/basi.jpg)
MASHABIKI BRAZIL WACHOMA MOTO BASI
11 years ago
BBCSwahili11 Jul
Mashabiki wa Ghana waomba kuhamia Brazil
11 years ago
CloudsFM09 Jul
Mashabiki Brazil walichoma moto Basi
Baada ya kubugizwa mabao 7-1 na Ujerumani katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2014, mashabiki wa Brazil wameamua kuchoma moto basi.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo huko Sao Paulo nchini humo baada ya mechi hiyo iliyopigwa Belo Horizonte.
Mashabiki walichukua hatua hiyo kutokana na hasira za timu yao kuondolewa katika michuano hiyo inayofanyika nyumbani kwao.
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Brazil 2014: Kocha wa Nigeria awajia juu mashabiki
10 years ago
Bongo523 Sep
Kwa Uingereza Alikiba ana mashabiki wengi kuliko Diamond — Promota