MASHABIKI BRAZIL WACHOMA MOTO BASI
![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRYRzvH-TO7UvVPwQtyS4CXTRo7JsqBB-sGYoe8ON62MgHXRn1r2ykaQjKpPF8KpCWrj8IBVTbHRT-P5NpicJ3dQ/basi.jpg)
Basi lililochomwa na mashabiki wa Brazil waliokuwa na hasira likiteketea kwa moto. Vikosi vya zimamoto vikijaribu kuzuia moto huo.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM09 Jul
Mashabiki Brazil walichoma moto Basi
Baada ya kubugizwa mabao 7-1 na Ujerumani katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2014, mashabiki wa Brazil wameamua kuchoma moto basi.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo huko Sao Paulo nchini humo baada ya mechi hiyo iliyopigwa Belo Horizonte.
Mashabiki walichukua hatua hiyo kutokana na hasira za timu yao kuondolewa katika michuano hiyo inayofanyika nyumbani kwao.
11 years ago
BBCSwahili28 Dec
Brotherhood wachoma moto vyuo vikuu
9 years ago
Mwananchi17 Oct
CCM, Chadema wapigana, wachoma moto maduka
10 years ago
Mwananchi13 Feb
Moto wachoma nyaraka, waahirisha kesi ya Kaseja, Yanga
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Mwanafunzi agongwa, wakazi wachoma moto kituo cha polisi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ynBtnJgU8II/U_nckkzQuAI/AAAAAAAAk-U/MhtliMJDKjo/s72-c/unnamed1.jpg)
Wawili wachoma moto kwa tuhuma za uwizi huko Tabata jijini Dar
Alisema kuwa walipokamatwa walipigwa na kisha kuchomwa moto.
"Matukio haya yamekuwa yakitokea mara kwa mara hapa Tabata na wezi wanaoiba kwa kutumia pikipiki wamekuwa ni kero kubwa sasa na kila wakikamatwa na kupelekwa vituoni...
10 years ago
VijimamboDEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Wananchi wavamia kituo cha polisi, wachoma moto magari manne, wafunga barabara kwa saa 5
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
Breaking News: Vijana wa UKAWA Mwanza Wachoma MOto Masanduku Yaliopigwa Kura Za MAGUFULI na Wamshikilia Dereva Aliebeba Masanduku hayo
HABARI NJEMA…. Tumepokea taarifa kutoka Mwanza, Geita, Shinyanga, Mara na Kagera muda huu saa 4.15 usiku.. Masanduku 3,470 yamekamatwa kwenye magari ya serikali (TANROADS) Yakiwa na jumla ya kura 1,600,00 za Magufuli. Vijana wamekubaliana walale vituoni […]
The post Breaking News: Vijana wa UKAWA Mwanza Wachoma MOto Masanduku Yaliopigwa Kura Za MAGUFULI na Wamshikilia Dereva Aliebeba Masanduku hayo appeared first on Mzalendo.net.