Mashabiki Brazil walichoma moto Basi
Baada ya kubugizwa mabao 7-1 na Ujerumani katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2014, mashabiki wa Brazil wameamua kuchoma moto basi.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo huko Sao Paulo nchini humo baada ya mechi hiyo iliyopigwa Belo Horizonte.
Mashabiki walichukua hatua hiyo kutokana na hasira za timu yao kuondolewa katika michuano hiyo inayofanyika nyumbani kwao.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRYRzvH-TO7UvVPwQtyS4CXTRo7JsqBB-sGYoe8ON62MgHXRn1r2ykaQjKpPF8KpCWrj8IBVTbHRT-P5NpicJ3dQ/basi.jpg)
MASHABIKI BRAZIL WACHOMA MOTO BASI
10 years ago
VijimamboDEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Mashabiki wa Brazil na Uingereza waonywa
11 years ago
BBCSwahili11 Jul
Mashabiki wa Ghana waomba kuhamia Brazil
10 years ago
Habarileo13 Apr
Moto waua abiria 18 wa basi Morogoro
WATU 18 wamekufa papo hapo kwa kuteketea kwa moto na wengine 11 wamejeruhiwa vibaya kutokana na basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori aina ya Mitsubishi Fuso, katika kijiji cha Msimba tarafa ya Mikumi, barabara kuu ya Morogoro – Mbeya.
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Basi lawaka moto, abiria 18 wateketea
NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO
WATU 18 wameteketea kwa moto na wengine 11 wamejeruhiwa vibaya baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori na kuwaka moto.
Ajali hiyo ilitokea jana saa mbili asubuhi katika Kijiji cha Msimba kilichopo Tarafa ya Mikumi, Barabara kuu ya Morogoro–Mbeya ikihusisha basi la Kampuni ya Nganga lenye namba za usajili T 373 DAH lililokuwa likitoka Kilombero mkoani Morogoro kuelekea Mbeya.
Lori lililogongana na basi hilo lenye namba za usajili T 164 BKG aina...
10 years ago
Habarileo13 Apr
Moto waua abiria 18 wa basi Moro
WATU 18 wamekufa papo hapo kwa kuteketea kwa moto na wengine 11 wamejeruhiwa vibaya kutokana na basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori aina ya Mitsubishi Fuso, katika kijiji cha Msimba tarafa ya Mikumi, barabara kuu ya Morogoro – Mbeya.
10 years ago
StarTV26 May
Vurugu zaendelea Burundi, Basi lachomwa moto.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/23/150523093715_burundian_protests_640x360_reuters_nocredit.jpg)
Basi lachomwa Burundi
Basi moja la uchukuzi limechomwa moto mjini Bujumbura Burundi na waandamanaji waliorejea mabarabarani kupinga uamuzi wa rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.
Waandamanaji wanachoma moto magurudumu haswa katika eneo la Kanyosha.
Kitongoji hicho kimekuwa kitovu cha maandamano haya dhidi ya awamu ya tatu ya rais Nkurunziza.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/24/150524032622_burundi_protest_624x351_epa.jpg)
Maandamano mjini Bujumbura
Mwandishi wa BBC mjini Bujumbura Ismael Misigaro amesema milio ya risasi inasikika mjini humo.
Maandamano haya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q2Tkj4Pt7y7hhsHPgVXr2jJkzEZx-mdFwDsWTquAQnA4*dlDIGkC8f-VQwraJlWUB1vJZqTv3rlq6zoO3okMaib/BREAKINGNEWS.gif)
BASI LA HOOD LATEKETEA KWA MOTO PWANI