Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashabiki Brazil walichoma moto Basi

Baada ya kubugizwa mabao 7-1 na Ujerumani katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2014, mashabiki wa Brazil wameamua kuchoma moto basi.

Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo huko Sao Paulo nchini humo baada ya mechi hiyo iliyopigwa Belo Horizonte.

Mashabiki walichukua hatua hiyo kutokana na hasira za timu yao kuondolewa katika michuano hiyo inayofanyika nyumbani kwao.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MASHABIKI BRAZIL WACHOMA MOTO BASI

Basi lililochomwa na mashabiki wa Brazil waliokuwa na hasira likiteketea kwa moto. Vikosi vya zimamoto vikijaribu kuzuia moto huo.…

 

10 years ago

Vijimambo

DEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA

Gari lenye namba za usajili T 607 CVL likiwa limeegeshwa pembezoni mwa barabara baada ya kuharibika.

Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashabiki wa Brazil na Uingereza waonywa

Wachezaji mashuhuri katika ligi za soka za Uingereza na Brazil wajiunga na kampeni ya kuwaonya mashabiki dhidi ya makahaba watoto.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashabiki wa Ghana waomba kuhamia Brazil

Mashabiki 200 kutoka Ghana waliokwenda nchini humo kutazama kombe la dunia wanataka waruhusiwe kuhamia nchini humo.

 

10 years ago

Habarileo

Moto waua abiria 18 wa basi Morogoro

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonald PauloWATU 18 wamekufa papo hapo kwa kuteketea kwa moto na wengine 11 wamejeruhiwa vibaya kutokana na basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori aina ya Mitsubishi Fuso, katika kijiji cha Msimba tarafa ya Mikumi, barabara kuu ya Morogoro – Mbeya.

 

10 years ago

Mtanzania

Basi lawaka moto, abiria 18 wateketea

motoNA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO

WATU 18 wameteketea kwa moto na wengine 11 wamejeruhiwa vibaya baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori na kuwaka moto.
Ajali hiyo ilitokea jana saa mbili asubuhi katika Kijiji cha Msimba kilichopo Tarafa ya Mikumi, Barabara kuu ya Morogoro–Mbeya ikihusisha basi la Kampuni ya Nganga lenye namba za usajili T 373 DAH lililokuwa likitoka Kilombero mkoani Morogoro kuelekea Mbeya.
Lori lililogongana na basi hilo lenye namba za usajili T 164 BKG aina...

 

10 years ago

Habarileo

Moto waua abiria 18 wa basi Moro

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonald PauloWATU 18 wamekufa papo hapo kwa kuteketea kwa moto na wengine 11 wamejeruhiwa vibaya kutokana na basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori aina ya Mitsubishi Fuso, katika kijiji cha Msimba tarafa ya Mikumi, barabara kuu ya Morogoro – Mbeya.

 

10 years ago

StarTV

Vurugu zaendelea Burundi, Basi lachomwa moto.


Basi lachomwa Burundi

Basi moja la uchukuzi limechomwa moto mjini Bujumbura Burundi na waandamanaji waliorejea mabarabarani kupinga uamuzi wa rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.

Waandamanaji wanachoma moto magurudumu haswa katika eneo la Kanyosha.

Kitongoji hicho kimekuwa kitovu cha maandamano haya dhidi ya awamu ya tatu ya rais Nkurunziza.


Maandamano mjini Bujumbura

Mwandishi wa BBC mjini Bujumbura Ismael Misigaro amesema milio ya risasi inasikika mjini humo.

Maandamano haya...

 

11 years ago

GPL

BASI LA HOOD LATEKETEA KWA MOTO PWANI

Basi la Kampuni ya Hood, lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Arusha limeteketea kwa moto jana jioni eneo la Wami, Pwani. Hakuna majeruhi wala aliyepoteza maisha katika ajali…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani