Moto wachoma nyaraka, waahirisha kesi ya Kaseja, Yanga
>Kesi inayomkabili kipa Juma Kaseja dhidi ya Yanga kumeilazimisha kupigwa kalenda hadi Machi 10, baada ya nyaraka zake kutetea kwa moto.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania13 Feb
Nyaraka za Kaseja zaungua
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MAHAKAMA ya Kazi Tanzania, Kitengo cha Usuluhishi na Uamuzi (CMA), jana imeipiga kalenda kesi inayomkabili aliyekuwa kipa wa Yanga SC, Juma Kaseja, hadi Machi 10 mwaka huu kutokana na nyaraka za upande wa walalamikiwa kuungua moto.
Kaseja alishtakiwa na timu yake hiyo ya zamani ikidai fidia ya Sh milioni 340, ambayo ni Sh milioni 40 pamoja na fidia ya Sh milioni 300, ambazo ni gharama za usumbufu wa kuvunja mkataba, kumhudumia na kutunza kiwango chake kwa...
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Ugonjwa wa kisukari waahirisha kesi
Na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
KESI ya kumtesa mfanyakazi wa ndani inayomkabili Wakili wa kujitegemea, Yasinta Rwechungura (44), inaendelea leo baada ya kuahirishwa jana kutokana na Wakili wa Utetezi kusumbuliwa na kisukari. Akitoa sababu ya kuahirishwa kesi mahakamani hapo, Wakili wa utetezi, Benitho Mandele, alisema anasumbuliwa na kisukari hivyo asingeweza kusikiliza kesi hiyo. “Mheshimiwa mimi nipo tayari kumwakilisha mtuhumiwa ila ugonjwa huu unatokea wakati wowote na kwa sasa...
11 years ago
GPLMASHABIKI BRAZIL WACHOMA MOTO BASI
11 years ago
BBCSwahili28 Dec
Brotherhood wachoma moto vyuo vikuu
9 years ago
Mwananchi17 Oct
CCM, Chadema wapigana, wachoma moto maduka
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Nyaraka zakwamisha kesi ya Mhando
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salam, imetoa muda kwa upande wa Jamuhuri kuleta nakala halisi ambazo zilipelekwa katika Bodi ya zabuni na kuruhusu ununuzi ufanyike. Kesi hiyo...
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Mwanafunzi agongwa, wakazi wachoma moto kituo cha polisi
10 years ago
Vijimambo08 Jan
MECHI 15 LANGONI AKIWA YANGA NA KARUHUSU GOLI 10 YANGA YA SEMA NENDA KASEJA
YANGA SC imetangaza rasmi kuachana na mlinda mlango Juma Kaseja, iliyemsajili kwa Sh. Milioni 40 Novemba 8, mwaka juzi.Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga SC, Jerry Muro amewaambia Waandishi wa Habari leo katika hoteli ya Zanzibar Ocean View visiwani hapa kwamba, hatua hiyo imefikiwa baada ya mchezaji huyo kuanza kujiengua katika timu.“Tumefikia uamuzi wa kuachana na Kaseja, baada ya yeye mwenyewe kuanza kujiengua katika timu,”amesema MuroMwishoni mwa mwaka jana, Kaseja...
10 years ago
MichuziWawili wachoma moto kwa tuhuma za uwizi huko Tabata jijini Dar
Alisema kuwa walipokamatwa walipigwa na kisha kuchomwa moto.
"Matukio haya yamekuwa yakitokea mara kwa mara hapa Tabata na wezi wanaoiba kwa kutumia pikipiki wamekuwa ni kero kubwa sasa na kila wakikamatwa na kupelekwa vituoni...