Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marufuku ya Youtube yaondolewa Uturuki

Serikali ya Uturuki imeondoa marufuku ya miezi mwili iliyoweka dhidi ya mtandao wa kijamii wa YouTube .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marufuku ya mitandao ya ngono India yaondolewa

Serikali ya India imefutilia mbali amri ya kufunga mitandao yote inayopeperusha filamu za ngono

 

10 years ago

BBCSwahili

Marufuku ya tambi za Nestle yaondolewa India

Marufuku ya tambi za kampuni ya kutengeneza chakula ya Nestle imeondolewa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uturuki yabana mtandao wa YouTube

Serikali ya Uturuki imebana matumizi ya mtandao wa kijamii wa YouTube, siku moja baada ya mahakama kuamuru kusitishwa kwa muda marufuku ya Twitter

 

11 years ago

Bongo5

Makamu Waziri Mkuu wa Uturuki apiga marufuku wanawake kucheka hadharani

Wanawake nchini Uturuki wanapost picha zao kwenye mitandao ya kijamii zinazowaonesha wakicheka. Kwanini? Kwa mujibu wa makamu waziri mkuu wa Uturuki Bulent Arinc, wanawake hawatakiwi kucheka hadharani. Maoni yake aliyoyatoa Jumatatu hii yamesababisha upingwaji mkubwa ambapo wanawake nchini humo wametumia Twitter na Instagram kupost picha wakicheka kumdhihaki. Hadi sasa kuna zaidi ya 300,000 zinazotumia neno […]

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.


************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uingereza yaondolewa Brazil

Kufuatia ushindi wa Costa Rica dhidi ya Italia Uingereza sasa imeyaaga mashindano huko Brazil

 

11 years ago

BBCSwahili

Azam ya TZ yaondolewa michuano ya Afrika

Wawakilishi kwenye michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika, Azam FC waondolewa

 

10 years ago

Habarileo

Mitambo ya kukodi ya Symbion yaondolewa

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Felchesmi MrambaMITAMBO ya kukodi inayotumia mafuta kufua umeme nchini, imemaliza mikataba yake na kuanza kuondolewa nchini na kubaki mmoja wa Aggreko uliopo Ubungo unaozalisha Megawati 50 pekee ambao nao utaondoka miezi mitatu ijayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Qatar yaondolewa tuhuma za ufisadi

Shirikisho la soka duniani FIFA limeilaumu shirikisho la soka la Uingereza kwa kuvunja sheria za kutolewa kwa kibali cha kuandaa mashindano ya kombe la dunia mwaka 2018.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani