Mitambo ya kukodi ya Symbion yaondolewa
MITAMBO ya kukodi inayotumia mafuta kufua umeme nchini, imemaliza mikataba yake na kuanza kuondolewa nchini na kubaki mmoja wa Aggreko uliopo Ubungo unaozalisha Megawati 50 pekee ambao nao utaondoka miezi mitatu ijayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Aug
UHALIFU: Wauaji wa kukodi waibuka nchini
9 years ago
Bongo504 Jan
Madee aingia kwenye biashara ya magari ya kukodi
![Madee2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/Madee2-300x300.jpg)
Madee amefungua mwaka kibiashara zaidi kwa kuja na kampuni ya kukodisha magari iitwayo Tip Top Connection Tour.
Madee amesema ameona ni bora afungue mwaka 2016 kibiashara zaidi.
“Nimefungua kampuni ya kukodisha magari ambayo inaitwa Tip Top Connection Tour,” alisema.
“Tutakuwa tunakodisha watu ambao watakuwa na safari zao ndani ya Dar es Salaam na nje wanione mimi.”
Kwahiyo mwaka 2016 ndio utakuwa hivyo thabiti kabisa kwa sababu tayari tulikuwa tunajaribu kuongeza gari na kufikia saba,...
9 years ago
TheCitizen23 Sep
Symbion to generate power from gas
9 years ago
TheCitizen06 Oct
Symbion: Sh2.6tr project to start 2016
10 years ago
Mtanzania23 Jan
Tanesco: Hatuingii tena mkataba na Symbion, Agreeko
Na Humphrey Shao, Dar es Salaam
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema halitaongeza mkataba na Kampuni ya kufua umeme ya Agreeko na Symbion kutokana na kukamilika kwa asilimia 72 mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi wa Kinyerezi 1.
Uamuzi huo, ulielezwa na Mwenyekiti wa Bodi ya shirika hilo, Dk. Mighanda Manyahi, baada ya kumaliza ziara ya kutembelea mtambo wa Kinyerezi 1 na vituo vingine vidogo vya uzalishaji umeme Mkoa wa Dar es Salaam jana.
“Kituo hiki kikimalizika kitaweza kutoa...
9 years ago
TheCitizen17 Dec
Symbion power looking for investors in 600 mw Mtwara project
11 years ago
Michuzi26 Feb
kampuni ya kuzalisha umeme ya SYMBION KUSAIDIA PROGRAMU ZA VIJANA TFF
![](https://2.bp.blogspot.com/-eVPl6SLmRRk/Uw3KuFXRTMI/AAAAAAAA_b0/ZzcgTnhsFg0/s1600/TFF1.jpg)
9 years ago
Bongo504 Nov
Polisi wavamia nyumba ya Lil Wayne na kuchukua mali kutokana na deni la kukodi ndege binafsi
![url](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/url-300x194.jpg)
Polisi walivamia nyumba ya Lil Wayne huko Miami Beach Jumanne hii na kuchukua mali mbalimbali kutokana na deni alilonalo rapper huyo baada ya kukodi ndege binafsi na kushindwa kulipa.
Kwa mujibu wa TMZ, polisi walipofika nyumbani kwa Weezy, walinzi waliwauzia kuingia ndani. Maofisa walieleza kuwa walienda hapo kukamata vitu mbalimbali kwakuwa Wayne hajalipa deni lake la dola milioni 2 za kukodi ndege kutoka kwenye kampuni ya Signature Group.
Kampuni hiyo ilimshtaki Weezy kwa kushindwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J4uRXOc3l0E/U-R-jbs0ddI/AAAAAAAF91U/vS-poG_dulE/s72-c/unnamed+(8).jpg)
RWANDA AWARDS 50 MW METHANE GAS TO ELECTRICITY PROJECT ON LAKE KIVU TO U.S. SYMBION POWER
Symbion will build, own and operate a 50 MW power station by constructing gas extraction facilities to lift, separate, and process methane gas, which is...