Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mitambo ya kukodi ya Symbion yaondolewa

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Felchesmi MrambaMITAMBO ya kukodi inayotumia mafuta kufua umeme nchini, imemaliza mikataba yake na kuanza kuondolewa nchini na kubaki mmoja wa Aggreko uliopo Ubungo unaozalisha Megawati 50 pekee ambao nao utaondoka miezi mitatu ijayo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

UHALIFU: Wauaji wa kukodi waibuka nchini

>Mitandao ya kihalifu inazidi kujiimarisha nchini na sasa kumeibuka makundi ya wauaji wa kukodi katika mikoa ya kaskazini mwa nchi pamoja na Kanda ya Ziwa.

 

9 years ago

Bongo5

Madee aingia kwenye biashara ya magari ya kukodi

Madee2

Madee amefungua mwaka kibiashara zaidi kwa kuja na kampuni ya kukodisha magari iitwayo Tip Top Connection Tour.

Madee2

Madee amesema ameona ni bora afungue mwaka 2016 kibiashara zaidi.

“Nimefungua kampuni ya kukodisha magari ambayo inaitwa Tip Top Connection Tour,” alisema.

“Tutakuwa tunakodisha watu ambao watakuwa na safari zao ndani ya Dar es Salaam na nje wanione mimi.”

Kwahiyo mwaka 2016 ndio utakuwa hivyo thabiti kabisa kwa sababu tayari tulikuwa tunajaribu kuongeza gari na kufikia saba,...

 

9 years ago

TheCitizen

Symbion to generate power from gas

Symbion Power, which stopped its operations, announced yesterday that tests have started on turbines at Ubungo using natural gas from Mnazi Bay in Mtwara.

 

9 years ago

TheCitizen

Symbion: Sh2.6tr project to start 2016

Symbion Power has said that the building of the $1.2 billion Mtwara 600MW project power plant is expected to start next year.

 

10 years ago

Mtanzania

Tanesco: Hatuingii tena mkataba na Symbion, Agreeko

tanescologoNa Humphrey Shao, Dar es Salaam
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema halitaongeza mkataba na Kampuni ya kufua umeme ya Agreeko na Symbion kutokana na kukamilika kwa asilimia 72 mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi wa Kinyerezi 1.
Uamuzi huo, ulielezwa na Mwenyekiti wa Bodi ya shirika hilo, Dk. Mighanda Manyahi, baada ya kumaliza ziara ya kutembelea mtambo wa Kinyerezi 1 na vituo vingine vidogo vya uzalishaji umeme Mkoa wa Dar es Salaam jana.
“Kituo hiki kikimalizika kitaweza kutoa...

 

9 years ago

TheCitizen

Symbion power looking for investors in 600 mw Mtwara project

Several potential investors have shown strong interest in Symbion Power’s 600 MW gas-to-power project in Mtwara.

 

11 years ago

Michuzi

kampuni ya kuzalisha umeme ya SYMBION KUSAIDIA PROGRAMU ZA VIJANA TFF

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Symbion Power Tanzania Limited zimesaini makubaliano ambapo kampuni hiyo itasaidia kwenye maeneo matatu ya mpira wa miguu wa vijana. Makubaliano hayo yametiwa saini leo (Februari 26 mwaka huu) kwenye ofisi za TFF jijini Dar es Salaam. Rais wa TFF, Jamal Malinzi amesaini kwa niaba ya shirikisho wakati upande wa Symbion aliyesaini ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Peter Gathercoles. Maeneo ambayo Symbion itasaidia ni ujenzi wa vituo...

 

9 years ago

Bongo5

Polisi wavamia nyumba ya Lil Wayne na kuchukua mali kutokana na deni la kukodi ndege binafsi

url

Polisi walivamia nyumba ya Lil Wayne huko Miami Beach Jumanne hii na kuchukua mali mbalimbali kutokana na deni alilonalo rapper huyo baada ya kukodi ndege binafsi na kushindwa kulipa.

url

Kwa mujibu wa TMZ, polisi walipofika nyumbani kwa Weezy, walinzi waliwauzia kuingia ndani. Maofisa walieleza kuwa walienda hapo kukamata vitu mbalimbali kwakuwa Wayne hajalipa deni lake la dola milioni 2 za kukodi ndege kutoka kwenye kampuni ya Signature Group.

Kampuni hiyo ilimshtaki Weezy kwa kushindwa...

 

11 years ago

Michuzi

RWANDA AWARDS 50 MW METHANE GAS TO ELECTRICITY PROJECT ON LAKE KIVU TO U.S. SYMBION POWER

During the U.S. Africa Head of State Summit this week in Washington, D.C., the Government of Rwanda’s Energy Water and Sanitation Authority (EWSA) awarded Symbion Power a 50 megawatt Independent Power Production (IPP) project using methane gas from Lake Kivu, it was announced today by Paul Hinks, Chief Executive Officer, Symbion Power.
Symbion will build, own and operate a 50 MW power station by constructing gas extraction facilities to lift, separate, and process methane gas, which is...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani