Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanesco: Hatuingii tena mkataba na Symbion, Agreeko

tanescologoNa Humphrey Shao, Dar es Salaam
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema halitaongeza mkataba na Kampuni ya kufua umeme ya Agreeko na Symbion kutokana na kukamilika kwa asilimia 72 mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi wa Kinyerezi 1.
Uamuzi huo, ulielezwa na Mwenyekiti wa Bodi ya shirika hilo, Dk. Mighanda Manyahi, baada ya kumaliza ziara ya kutembelea mtambo wa Kinyerezi 1 na vituo vingine vidogo vya uzalishaji umeme Mkoa wa Dar es Salaam jana.
“Kituo hiki kikimalizika kitaweza kutoa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Tanesco na TIB wasaini mkataba wa dola milioni 140

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesaini mkataba wa dola milioni 140 na Benki ya Uwekezaji Tanzania (TIB) kwa ajili ya ujenzi wa Mradi wa mitambo ya umeme kutoka Somanga Kilwa hadi Kinyerezi Dar es salaam.

Mradi huo utazalisha umeme wa KV400 ambazo zitapunguza tatizo la mgao wa umeme utachukua jumla ya miaka miwili hadi kukamilika kwake .

 TANESCO imesema mradi huo utasaidia mpango wa kuongeza umeme katika gridi ya Taifa pamoja na kuimarisha umeme wa uhakika katika maeneo ya Lindi ,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mkataba wa amani Afghanistan: “Huenda wanawake wasiruhusiwe tena kufanya kazi”

Mazungumzo ya Amani kati ya Marekani na Taliban yanakaribia, Tahera Rezai daktari wa mifugo mwenye umri wa miaka 30, anahofia hatma ya maisha yake.

 

10 years ago

Dewji Blog

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini (SPLM) jijini Arusha

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) ulitiwa saini usiku wa jana, Jumatano, Januari 21, 2015, katika sherehe ya kufana iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Ngurdoto, Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha.

Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...

 

10 years ago

Habarileo

Mitambo ya kukodi ya Symbion yaondolewa

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Felchesmi MrambaMITAMBO ya kukodi inayotumia mafuta kufua umeme nchini, imemaliza mikataba yake na kuanza kuondolewa nchini na kubaki mmoja wa Aggreko uliopo Ubungo unaozalisha Megawati 50 pekee ambao nao utaondoka miezi mitatu ijayo.

 

9 years ago

TheCitizen

Symbion to generate power from gas

Symbion Power, which stopped its operations, announced yesterday that tests have started on turbines at Ubungo using natural gas from Mnazi Bay in Mtwara.

 

10 years ago

Vijimambo

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) ulitiwa saini usiku wa jana, Jumatano, Januari 21, 2015, katika sherehe ya kufana iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Ngurdoto, Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha.

Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...

 

9 years ago

TheCitizen

Symbion power looking for investors in 600 mw Mtwara project

Several potential investors have shown strong interest in Symbion Power’s 600 MW gas-to-power project in Mtwara.

 

9 years ago

TheCitizen

Symbion: Sh2.6tr project to start 2016

Symbion Power has said that the building of the $1.2 billion Mtwara 600MW project power plant is expected to start next year.

 

10 years ago

Michuzi

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza utiaji wa saini. Kutoka kulia ni  Mhe. Salva Kiir Mayardit  Rais wa Sudan Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa SPLM na anayeongoza kundi linalojulikana kama SPLM in Government (SPLM-IG), Mhe Dkt. Riek Machar ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa SPLM na pia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini anayeongoza kundi la SPLM in Opposition (SPLM-IO) na Dkt. Deng Alor Kuol ambaye anaongoza kundi la SPLM Leaders- Former Detainees (SPLM Leaders – FD). Nyuma yao ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani