Polisi wavamia nyumba ya Lil Wayne na kuchukua mali kutokana na deni la kukodi ndege binafsi
Polisi walivamia nyumba ya Lil Wayne huko Miami Beach Jumanne hii na kuchukua mali mbalimbali kutokana na deni alilonalo rapper huyo baada ya kukodi ndege binafsi na kushindwa kulipa.
Kwa mujibu wa TMZ, polisi walipofika nyumbani kwa Weezy, walinzi waliwauzia kuingia ndani. Maofisa walieleza kuwa walienda hapo kukamata vitu mbalimbali kwakuwa Wayne hajalipa deni lake la dola milioni 2 za kukodi ndege kutoka kwenye kampuni ya Signature Group.
Kampuni hiyo ilimshtaki Weezy kwa kushindwa...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Sep
Music: Lil Durk Ft. Lil Wayne, Fetty Wap, & Jeremih – Like Me (Remix)
9 years ago
Bongo505 Oct
Music: Lil Wayne — Pour Up
10 years ago
Bongo528 Aug
New Video: Lil Wayne — Krazy
9 years ago
Bongo528 Aug
Music: August Alsina Ft. Lil Wayne — Why I Do It
9 years ago
Bongo506 Nov
Video: Monica Feat. Lil Wayne — Just Right for Me
![monica-wayne](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/monica-wayne-300x194.jpg)
Msanii wa muziki wa R&B kutoka Marekani, Monica Brown baada ya kuwa kimya kidogo amechia video mpya ya wimbo wake unaitwa “Just Right for Me” amemshirikisha Lil Wayne. Wimbo huu upo kwenye Album yake mpya iliyopewa jina Code Red tarehe 18 December 2015 itakuwa sokoni.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Lil Wayne: Birdiman anawatesa wasanii
NEY YORK, MAREKANI
NYOTA wa muziki nchini Marekani, Dwayne Carter ‘Lil Wayne’, amemshambulia bosi wa kundi la Cash Money, Bryan Williams ‘Birdman’ ambaye ni kama baba yake mlezi.
Lil Wayne alilelewa na Birdman kuanzia alipokuwa na umri mdogo hadi alipopata mafanikio akiwa chini ya kundi la Cash Money na kisha kuanzisha kundi lake la Young Money.
Lakini wawili hao kwa sasa hawana uhusiano mzuri na kila mmoja anafanya kazi peke yake, kutokana na hali hiyo, Lil Wayne amefunguka na kusema kuwa...