Makamu Waziri Mkuu wa Uturuki apiga marufuku wanawake kucheka hadharani
Wanawake nchini Uturuki wanapost picha zao kwenye mitandao ya kijamii zinazowaonesha wakicheka. Kwanini? Kwa mujibu wa makamu waziri mkuu wa Uturuki Bulent Arinc, wanawake hawatakiwi kucheka hadharani. Maoni yake aliyoyatoa Jumatatu hii yamesababisha upingwaji mkubwa ambapo wanawake nchini humo wametumia Twitter na Instagram kupost picha wakicheka kumdhihaki. Hadi sasa kuna zaidi ya 300,000 zinazotumia neno […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xeeb0cMtEm0/XliuHBIq5yI/AAAAAAALfzA/i9ha-nT_1YUctxEwk3SFHLbgiTU_RdJCwCLcBGAsYHQ/s72-c/a9ce9b88-2050-4119-89e0-41b151a7d067.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU POLISI KUKAMATA WANANCHI, BODABODA BILA KUFUATA UTARATIBU, AAGIZA KILA OPERESHENI MKUU WA WILAYA APEWE TAARIFA, ASISITIZA UCHAGUZI MKUU WA HURU NA HAKI 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-xeeb0cMtEm0/XliuHBIq5yI/AAAAAAALfzA/i9ha-nT_1YUctxEwk3SFHLbgiTU_RdJCwCLcBGAsYHQ/s640/a9ce9b88-2050-4119-89e0-41b151a7d067.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/9e835e81-624d-400a-bfbf-64bef98dc92e.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Waziri apiga marufuku wahandisi ‘Uchwara’ kupewa tenda za ujenzi wa Barabara
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Edwin Ngonyani (kushoto), akitoa maagizo mbalimbali kwa uongozi wa Bodi ya Mfuko wa Barabara nchini, alipotembelea bodi hiyo, Dar es Salaam juzi, kujua utendaji wake. Kulia ni Meneja wa bodi hiyo, Joseph Haule. (HABARI,PICHA NA RICHARD MWAIKENDA-KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Mhandisi Edwin Ngonyani.
Na Richard Mwaikenda
NAIBU Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Edwin Ngonyani, amepiga marufuku kwa Halmashauri zote...
9 years ago
StarTV18 Dec
Mkuu wa Mkoa Dodoma apiga marufuku Posho Za Vikao Kwa Watendaji
Mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni mstaafu Chiku Galawa amepiga marufuku ulipaji wa posho za vikao vya kazi kwa wakuu wa idara na watendaji kutokana na utendaji usioridhisha.Aidha amewataka viongozi hao kukaa mara mbili kwa wiki ofisini, siku zilizobaki zikitumika kugagua kazi zilizofanywa na walio chini yao pamoja na kusikiliza kero za wananchi.
Agizo hilo linatolewa katika kikao cha ufunguzi wa baraza la madiwani wa halmashauri ya kongwa Galawa anafikia uamuzi huo kutokana na wilaaya hiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KPucvek-SBQ/XoJDftBK65I/AAAAAAALloE/XOTv2kKRVcQz8lgeaF2sRSIsLiJlstGVACLcBGAsYHQ/s72-c/a146cae1-59a5-4c64-8e04-3ac8ab04f5fc.jpg)
MKUU WA MKOA WA KIGOMA APIGA MARUFUKU WATOTO KUUZA BIASHARA MAENEO MBALIMBALI
Na Editha Karlo-Michuzi Blog,Kigoma.
MKUU wa mkoa Kigoma Emanuel Maganga amepiga marufuku kwa wanafunzi na watoto kutumika kuuza bidhaa kwenye masoko na maeneo ya biashara na badala yake wazazi watekeleze agizo la serikali la watoto na wanafunzi hao kukaa nyumbani.
Akizungumza leo wakati akifanya Ziara kwenye masoko ya Buzebazeba Ujiji, Mwanga na Kibirizi kukagua utekelezaji wa agizo la serikali kujilinda dhidi ya virus vya Corona alisema kuwa watoto watakaokuwepo wakiuza kwenye masoko wazazi...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-pMKecE9pGmI/VdbczYHPGbI/AAAAAAABUMI/cXo-5oJ4Rts/s72-c/Picha%2Bya%2BRC%2BDsm.jpg)
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM APIGA MARUFUKU MAANDAMANO KATIKA KIPINDI CHA KAMPENI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-pMKecE9pGmI/VdbczYHPGbI/AAAAAAABUMI/cXo-5oJ4Rts/s640/Picha%2Bya%2BRC%2BDsm.jpg)
Jiji la Dar es Salaam limepiga marufu maandamno yeyote ya vyama vya siasa hasa wakati wa kampeni na kwamba kufanya hivyo ni kinyume na sheria na hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa chama au wafuasi wowote watakaobainika kufanya maandamo hayo.Agizo hilo kali kwa wafuasi na vyama vya siasa imekuja siku moja tu kabla ya kuanza kampeni za uchaguzi mkuu, ambapo kwa mujibu wa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam vyama vyote vya siasa na wafuasi wao watakaofanya kampeni zao Dar es Salaam hawanabudi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-l5Zn9TNjz0g/VXkVYIWseWI/AAAAAAAAQzY/-kMHAdr6vWA/s72-c/1.jpg)
MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA APIGA MARUFUKU UCHIMBAJI MCHANGA MTO MBEZI NA KAWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-l5Zn9TNjz0g/VXkVYIWseWI/AAAAAAAAQzY/-kMHAdr6vWA/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LjCf9sd3oW4/VXkVY_nZppI/AAAAAAAAQzg/YDqOYaYS77Y/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7LaPsJXjmjY/VXkVZVTjbSI/AAAAAAAAQzk/9OQw9osZvsQ/s640/3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-l5Zn9TNjz0g/VXkVYIWseWI/AAAAAAAAQzY/-kMHAdr6vWA/s640/1.jpg)
MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA APIGA MARUFUKU UCHIMBAJI MCHANGA MTO MBEZI NA KAWE
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_l3TFDwn9Hg/U4jpYHMBW7I/AAAAAAAFmoQ/MGXqAuKtM9E/s72-c/unnamed+(63).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA CHI ZA NJE WA UTURUKI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-_l3TFDwn9Hg/U4jpYHMBW7I/AAAAAAAFmoQ/MGXqAuKtM9E/s1600/unnamed+(63).jpg)
11 years ago
Dewji Blog30 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Uturuki
Makamu wa Rai wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Uturuki, Ahmet Dovutoglu, aliyeongozana na ujumbe wake wakati walipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo leo, Mei 30, 2014. Katika mazungumzo yao walisisitiza juu ya ushirikiano katika Nyanja mbalimbali baina nchi hizi mbili . Waziri huyo yupo nchini kwa ziara ya Kiserikali iliyoandaliwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...