MASHTAKA 7 DHIDI YA LOWASSA
Na. M. M. MwanakijijiWapo Watanzania ambao wanaamini na wanamtaka Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa awe rais wa awamu ya tano. Wana sababu zao za kufanya hivyo na wana haki zote za kumfanyia kampeni, kumuunga mkono, kumchangia na hata kujitolea kumsaidia apite kwenye mchakato ndani ya CCM na hata kwenye Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu. Haki hii ya kumchagua kiongozi unayemtaka ni haki ya msingi ya Kikatiba.Wapo pia Watanzania ambao hawaamini na hawamtaki Lowassa kuwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Mashtaka dhidi ya Assange yaondolewa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IxT7ndZ8IhY/Xk9w1KGiVUI/AAAAAAALepc/8Z181bG64z4QvSGasHvkYfwQnI_wHRq7QCLcBGAsYHQ/s72-c/4bsk8011feea8c1hd3l_800C450.jpg)
Rwanda yasitisha mashtaka dhidi ya raia 17 wa Uganda
![](https://1.bp.blogspot.com/-IxT7ndZ8IhY/Xk9w1KGiVUI/AAAAAAALepc/8Z181bG64z4QvSGasHvkYfwQnI_wHRq7QCLcBGAsYHQ/s640/4bsk8011feea8c1hd3l_800C450.jpg)
Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya kuachiliwa huru raia 13 wa Rwanda waliokuwa wanashikiliwa nchini Uganda.
Taarifa hiyo imesema kupitia ubalozi wake mjini Kampala, serikali ya Rwanda imekaribisha kuachiwa huru kwa raia wake 13 na kurejeshwa Rwanda watuhumiwa wawili wa ugaidi waliohusika na shambulizi la Kinigi lililotokea Oktoba mwaka 2019.
Mapema mwezi...
9 years ago
Habarileo08 Sep
Masha adai mashtaka dhidi yake ni batili
ALIYEWAHI kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha (45) amewasilisha mahakamani pingamizi juu ya kesi inayomkabili ya kutumia lugha ya matusi kwa maofisa wa Jeshi la Polisi, akisema mashitaka aliyofunguliwa ni batili.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G28RNOD5CRU/XtDUotVi-BI/AAAAAAALr90/xroDUX7WXoEXtyjmV5KquYn22BM65Zp4gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-29%2Bat%2B12.06.27%2BPM.jpeg)
ZITTO KABWE AHUKUMIWA LEO DHIDI YA MASHTAKA MATATU
![](https://1.bp.blogspot.com/-G28RNOD5CRU/XtDUotVi-BI/AAAAAAALr90/xroDUX7WXoEXtyjmV5KquYn22BM65Zp4gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-29%2Bat%2B12.06.27%2BPM.jpeg)
Zitto amehukumiwa leo mahakamani hapo baada ya kutiwa hatiani katika mashitaka matatu yaliyokuwa yanamkabili.
Hukumu hiyo imesomwa leo Mei 29, 2020 na Hakimu Mkazi Mkuu Huruma Shaidi baada ya kuridhika na ushahidi wa mashahidi 15 wa upande wa mashtaka na kuzingatia utetezi wa Zitto...
10 years ago
Raia Mwema08 Jul
Tofauti ya Lowassa dhidi ya wengine ni fedha
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kipo njia panda.
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPLTUHUMA DHIDI YA LOWASSA KUMSAFISHIA NJIA KUELEKEA IKULU
9 years ago
Vijimambo27 Oct
10 years ago
VijimamboTamko la Mikoa Minne ya CCM Unguja Dhidi ya Waziri Mkuu Mstaaf Mhe Edward Lowassa.
NDUGU WANAHABARI!
WANACHAMA NA MAKADA WENZANGU WA CCM!
ASALAM ALEYKUM!
Awali ya yote, kwa niaba ya Wanachama na Makada wenzangu tuliokusanyika hapa leo, ninapenda kuchukua fursa hii kumshukuru Molla wetu mtukufu mwingi wa rehemu kwa ukarimu wake na kutujaalia afya njema na uwezo wa kukutana...
10 years ago
Vijimambo12 Aug
Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”
![](http://i1.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/polepole.jpg?resize=702%2C702)
HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO
![](http://i2.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Msigwa.jpg?resize=595%2C300)