Tamko la Mikoa Minne ya CCM Unguja Dhidi ya Waziri Mkuu Mstaaf Mhe Edward Lowassa.
Katibu wa CCM Wilaya ya Mjini Ndg Mohammed Omar Nyawanga akisoma Tamko la Mikoa Mnne ya CCM Unguja kuhusuana na Mhe Edward Lowassa. kwa Waandishi wa habari na Makada wa CCM Afisi Kuu ya CCM Zanzibar leo.
NDUGU WANAHABARI!
WANACHAMA NA MAKADA WENZANGU WA CCM!
ASALAM ALEYKUM!
Awali ya yote, kwa niaba ya Wanachama na Makada wenzangu tuliokusanyika hapa leo, ninapenda kuchukua fursa hii kumshukuru Molla wetu mtukufu mwingi wa rehemu kwa ukarimu wake na kutujaalia afya njema na uwezo wa kukutana...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi07 Dec
Kanusho Kutoka Ofisi ya Mbunge na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa Kuhusu Uvumi Uliozagaa Kwenye Mitandao Mbalimbali ya Kijamii Kuwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa Kulazwa nchini Ujerumani.
![](https://3.bp.blogspot.com/-oJh2Cn9yQak/VINKdRvDW8I/AAAAAAADJj4/0uJNUkCOwzk/s1600/28138-mmg24051.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qHcmC4yyDpE/VINK3s8Ur5I/AAAAAAADJkI/sMkDVFsuX7A/s1600/l1.jpg)
Taarifa zilizoenea zinaeleza kuwa Lowassa, ambaye wakati wote wa Mkutano wa 15/16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano uliofanyika kwa wiki tatu, hakuwepo bungeni, amekuwa...
10 years ago
Vijimambo31 Jul
CHAMA CHA MAPINDUZI CCM ZANZIBAR CHATOA TAMKO JUU YA KUJITOA KWENYE CHAMA WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASA.
![unnamed (4)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/unnamed-44.jpg)
![unnamed (5)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/unnamed-53.jpg)
![unnamed (6)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/unnamed-62.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/12/109.jpg?width=600)
TAMKO LA WENYEVITI WA CCM-MIKOA LA KUMPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM NDG. ABDULRAHAMAN OMAR KINANA NA SEKRETARIETI YA CCM TAIFA
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/1DdtPCXu2QY/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo01 Sep
MASWALI KWA MHE. EDWARD LOWASSA
![Waziri wa zamani wa Elimu, Joseph Mungai](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2852224/highRes/1105440/-/maxw/600/-/u1kiwe/-/mungai+iringa.jpg)
Bwana Luke kama hutajali naomba ubandike haya mawazo yangu.
jina langu ni Tom
Nimesoma katika gazeti la mwananchi la leo ambalo lili mnukuu mgombea urais kupitia Ukawa Ndugu Edward Lowassa alipokuwa akihutubia huko Iringa akiwaahidi watanzania elimu ya bure kuanzia elimu ya msingi hadi chuo kikuu kuanzia January mwakani 2016. Zaidi aliahidi kulipa madai yote ya Walimu na wafanyakazi wengine wa serikali ambapo haya ni mabilioni ya pesa. Huyu...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uN7-XJas8uk/VjIuasxCEOI/AAAAAAAA30M/ZU-zJ99rjq8/s72-c/tamko.jpg)
Tamko la Edward Lowassa Baada ya NEC Kumtangaza Dr Magufuli Kuwa Mshindi wa Kiti cha Urais
![](http://3.bp.blogspot.com/-uN7-XJas8uk/VjIuasxCEOI/AAAAAAAA30M/ZU-zJ99rjq8/s640/tamko.jpg)
Watanzania wenzangu!Leo tarehe 29 October 2015, kwa kupitia Mgombea Mwenza wangu, Mh. Juma Duni Haji nimewasilisha rasmi malalamiko yetu kuhusu mwenendo mzima wa uchaguzi mkuu wa 2015 kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Tumeainisha kwenye malalamiko yetu, kutokuridhishwa kwetu na mwenendo na matukio mbalimbali, hususani, utangazaji wa matokeo batili, yasiyo akisi matokeo halisi yaliyopatikana kwenye vituo vya kupiga kura, kama ifuatavyo.
• Upunguzwaji wa kura zangu• Kuongeza kura kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-meZF6Zbf2l4/VRf9lJzpmLI/AAAAAAADRrI/NoRTgYkCxz4/s72-c/sdgds.jpg)
WANANCHI KUTOKA MARA WAWASILI KWA WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI EDWARD LOWASSA MONDULI,WAMKOSA WAELEZEA UJIO WAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-meZF6Zbf2l4/VRf9lJzpmLI/AAAAAAADRrI/NoRTgYkCxz4/s1600/sdgds.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aerxu2mR3I8/VRf9hYkX_yI/AAAAAAADRq4/drpO59LINgM/s1600/gdg.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-LJSP0p8dKjo/VjKmw_8k3vI/AAAAAAAAXA8/KT23tWMkako/s72-c/tamko.jpg)
TAMKO LA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA YA KUITAKA TUME IMTANGAZE MSHINDI WA KITI CHA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s72-c/unnamed%2B%286%29.jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI, EDWARD LOWASSA AKIZUNGUMZA NA BAADHI YA WANAFUNZI WA SHULE SEKONDARI YA WAVULANA YA ENGUTOTO WILAYANI MONDULI WAKATI ALIPOTEMBELEA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s1600/unnamed%2B%286%29.jpg)
Aidha mwenyekiti mtendaji wa makampuni IPP, Reginald Mengi akichangia shilingi milioni 25 kwa ajili ya vitanda na Kampuni ya A to Z ikichangia ujenzi wa mabweni mawili yaliyo ungua moto hivi karibuni.
![](http://3.bp.blogspot.com/-aML6rKdYyVk/VOMXyAIZMII/AAAAAAAHEI8/amgUR-5jNcM/s640/unnamed%2B%285%29.jpg)