Tofauti ya Lowassa dhidi ya wengine ni fedha
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kipo njia panda.
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo501 Jul
Afande Sele aeleza atakavyokuwa tofauti na wasanii wengine walioingia bungeni
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
Ajali yaua askari Magereza mkoa wa Singida, wengine watatu wafa kwenye matukio tofauti
Askari Magereza Ramadhan Mussa (54) enzi za uhai wake.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
WATU wanne wamefariki dunia Mkoani Singida katika matukio tofauti likiwemo la askari magereza mmoja wa Mkoa wa Singida kufa baada ya kupata ajali mbaya ya gari lake dogo kugongana uso kwa uso na lori usiku.
Kamanda wa polisi Mkoani hapa Geofrey Kamwela alisema askari magereza wa huyo ametambuliwa kuwa ni Staff Sagenti Ramadhan Mussa (54) alikufa papo hapo baada ya gari lake alilokuwa akiendesha kuacha njia na...
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Tofauti 15 kati ya Mrema, Lowassa
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aFPJwxwIGQk/U4nbdJC3EmI/AAAAAAAFmuI/w4uL-DwXyYI/s72-c/unnamed+(94).jpg)
WAWILI WAPOTEZA MAISHA NA WENGINE TISA MAJERUHI KATIKA AJALI MBILI TOFAUTI MOJA IKIHUSISHA GARI LILILOBEBA WANAHABARI WA MBONI SHOW MKOANI DODOMA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-aFPJwxwIGQk/U4nbdJC3EmI/AAAAAAAFmuI/w4uL-DwXyYI/s1600/unnamed+(94).jpg)
Watu wawili wamepoteza maisha kutokana na ajali mbili zilizotokea katika maeneo mawili tofauti na nyakati tofauti Mkoani Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP (pichani) ameeleza kuwa, ajali ya kwanza ilitokea tarehe 30/05/2014 majira ya saa 18:30hrs katika kijiji cha Ipala Wilaya ya Dodoma ambapo gari lenye namba za usajili DFP 614 Toyota Land Cruiser mali ya chuo cha Serikali...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dadLenC_5lY/XqfXqtWqFPI/AAAAAAALoak/hEh1IGeOc4obIn1gdXJsr3Lqe8WTq8kxQCLcBGAsYHQ/s72-c/c407e3d9-7091-42f2-8779-90871cedd77e.jpg)
TUJIKINGE,TUJILINDE NA TUWALNDE WENGINE DHIDI YA MAAMBUKIZI YA UGONJWA CORONA (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-dadLenC_5lY/XqfXqtWqFPI/AAAAAAALoak/hEh1IGeOc4obIn1gdXJsr3Lqe8WTq8kxQCLcBGAsYHQ/s640/c407e3d9-7091-42f2-8779-90871cedd77e.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuRfsiAhpqI5NUheQns7gaybofgBjgWVG7LcXSdVk-eIg4M4nTwbkIZUoOPsnvewmG0V7eSNRuILGHpaXiLgu*fF7/LOWASSA1.jpg?width=650)
LOWASSA AWAAMBIA BODABODA: NUNUENI PIKIPIKI, MSIWATAJIRISHE WENGINE
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-N2LxV9X4kPw/VRHLV0HZ6PI/AAAAAAAAAts/mWlBiAxNcqA/s72-c/lowaasa.jpg)
AKATI WAGOMBEA WENGINE NDANI YA CCM WANA MLALAMIKIA LOWASSA HEBU TUJIULIZE HAYA MASWALI....
![](http://3.bp.blogspot.com/-N2LxV9X4kPw/VRHLV0HZ6PI/AAAAAAAAAts/mWlBiAxNcqA/s640/lowaasa.jpg)
10 years ago
Vijimambo09 Jul
MASHTAKA 7 DHIDI YA LOWASSA
![](http://www.theeastafrican.co.ke/image/view/-/2767182/medRes/1023466/-/maxw/600/-/hsh7r6z/-/lowassa.jpg)
Na. M. M. MwanakijijiWapo Watanzania ambao wanaamini na wanamtaka Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa awe rais wa awamu ya tano. Wana sababu zao za kufanya hivyo na wana haki zote za kumfanyia kampeni, kumuunga mkono, kumchangia na hata kujitolea kumsaidia apite kwenye mchakato ndani ya CCM na hata kwenye Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu. Haki hii ya kumchagua kiongozi unayemtaka ni haki ya msingi ya Kikatiba.Wapo pia Watanzania ambao hawaamini na hawamtaki Lowassa kuwa...