Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tofauti ya Lowassa dhidi ya wengine ni fedha

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kipo njia panda.

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Afande Sele aeleza atakavyokuwa tofauti na wasanii wengine walioingia bungeni

Afande Sele amesema akiingia bungeni hawezi kuwasahau wasanii wenzake kama walivyosahauliwa na wasanii wabunge waliotangulia kuingia mjengoni. Rapper atawania kiti cha ubunge wa jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi cha ya chama cha ACT na ameiambia Bongo5 kuwa akiingia bungeni wasanii watarajie mambo makubwa kutoka kwake. “Lengo langu kubwa kwa wasanii ni kupigania haki za […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Ajali yaua askari Magereza mkoa wa Singida, wengine watatu wafa kwenye matukio tofauti

RAMA

Askari Magereza Ramadhan Mussa (54) enzi za uhai wake.

Na Hillary Shoo, SINGIDA.

WATU wanne wamefariki dunia Mkoani Singida katika matukio tofauti likiwemo la askari magereza mmoja wa Mkoa wa Singida kufa baada ya kupata ajali mbaya ya gari lake dogo kugongana uso kwa uso na lori usiku.

Kamanda wa polisi Mkoani hapa Geofrey Kamwela alisema  askari magereza wa huyo ametambuliwa kuwa ni Staff Sagenti Ramadhan Mussa (54) alikufa papo hapo baada ya gari lake alilokuwa akiendesha kuacha njia na...

 

9 years ago

Mwananchi

Tofauti 15 kati ya Mrema, Lowassa

Mjadala uliopo katika jamii kwa sasa ni kufananisha ufuasi mkubwa anaopata Edward Lowassa baada ya kujiengua CCM na kujiunga na Chadema na alioupata Augustine Mrema alipojiunga na NCCR-Mageuzi mwaka 1995 akitokea CCM.

 

11 years ago

Michuzi

WAWILI WAPOTEZA MAISHA NA WENGINE TISA MAJERUHI KATIKA AJALI MBILI TOFAUTI MOJA IKIHUSISHA GARI LILILOBEBA WANAHABARI WA MBONI SHOW MKOANI DODOMA.

Na Sylvester Onesmo  wa Jeshi la Polisi, Dodoma.
Watu wawili wamepoteza maisha kutokana na ajali mbili zilizotokea katika maeneo mawili tofauti na nyakati tofauti Mkoani Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP (pichani) ameeleza kuwa, ajali ya kwanza ilitokea tarehe 30/05/2014 majira ya saa 18:30hrs katika kijiji cha Ipala Wilaya ya Dodoma ambapo gari lenye namba za usajili DFP 614 Toyota Land Cruiser mali ya chuo cha Serikali...

 

5 years ago

Michuzi

TUJIKINGE,TUJILINDE NA TUWALNDE WENGINE DHIDI YA MAAMBUKIZI YA UGONJWA CORONA (COVID-19).

Wakati serikali ikihamasisha suala la usafi hasa kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni sambamba na uvaaji wa Barakoa (Mask),Lakini bado baadhi ya wananchi  hawalichukulii kwa uzito suala hilo ili kupambana na maambuzi ya ugonjwa wa Corona unaosababishwa na virusi vya COVID 19. Pichani ni waendesha pikipiki almaarufu Bodaboda wakiosha pikipiki zao katika dimbwi la maji lililopo Mtaa wa Majengo - Mbezi kwa Msuguli,hali ambayo inanahatarisha usalama wa afya zao na Wengine. Picha na Cathbert...

 

11 years ago

GPL

LOWASSA AWAAMBIA BODABODA: NUNUENI PIKIPIKI, MSIWATAJIRISHE WENGINE

Mwenyekiti wa Shirikisho la Waendesha Bodaboda Wilaya ya Ilala, Michael Loswe (kushoto), akisoma risala kwa mgeni rasmi, Edward Lowassa. Kamanda wa Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga (kushoto), akiteta jambo na Lowassa.…

 

10 years ago

Vijimambo

AKATI WAGOMBEA WENGINE NDANI YA CCM WANA MLALAMIKIA LOWASSA HEBU TUJIULIZE HAYA MASWALI....

January Makamba amechapisha vitabu vyakena kugawa kwa wajumbe wote wa mkutanomkuu, mbona Lowassa hakulalamika?January Makamba alinunua Simu za GallaxySumsang zaidi ya 140 akazigawa kwa wajumbewa baraza UVCCM ZANZIBAR.January 2013 alipokusanya marais wa vyuovikuu Tanzania nzima Mt. Uluguru Hotel nakuwalipa laki moja na nusu kila moja ili watoetamko kuwa anafaa kuwa rais, mbona Lowassahakulalamika?Membe amekuwa akipendelea Wafuasi wakekwenda kusimamia chaguzi Kama waangaliziwa Sadc, mbona...

 

10 years ago

Vijimambo

MASHTAKA 7 DHIDI YA LOWASSA


Na. M. M. MwanakijijiWapo Watanzania ambao wanaamini na wanamtaka Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa awe rais wa awamu ya tano. Wana sababu zao za kufanya hivyo na wana haki zote za kumfanyia kampeni, kumuunga mkono, kumchangia na hata kujitolea kumsaidia apite kwenye mchakato ndani ya CCM na hata kwenye Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu. Haki hii ya kumchagua kiongozi unayemtaka ni haki ya msingi ya Kikatiba.Wapo pia Watanzania ambao hawaamini na hawamtaki Lowassa kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani