Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpambano wanoga

WAZIRI Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amesema anatamani ujana ili ateuliwe katika Baraza la Mawaziri la William Ngeleja, ambaye ni mmoja kati ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliotangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania.

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mpambano wanoga Dk Magufuli, Lowassa

Wagombea urais wa CCM na Ukawa jana waliendelea kuchuana vikali kwenye maeneo tofauti, Dk John Magufuli akiahidi kutaifisha ardhi inayoshikiliwa na vigogo bila ya kutumika, na Edward Lowassa akiahidi kuondoa ushuru kwenye zao la tumbaku.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mpambano waiva

Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli (CCM) na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa (CHADEMA). Na Waandishi wa Nipashe 20th August 2015 Dk Magufuli (CCM) na Lowassa anayewania urais chini ya kivuli cha Umoja wa Katiba […]

The post Mpambano waiva appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

MPAMBANO WA MASUMBWI KUFANYIKA 28/3/2015

Na Mwandishi Wetu
Mabondia Julius Kisarawe kutoka 'Ndame Club' na Saidi Uwezo kutoka 'Mzazi GYM' watapanda uringoni march 28 kugombania ubingwa wa taifa wa kg 54 katika ukumbi wa manyara park uliopo CCM Tandale Manzese mpambano uho wa raundi kumi wenye upinzani wa hali ya juu utasindikizwa na mabondia mbalimbali kutoka katika kambi tofauti

ambapo bondia Ibrahimu Tamba atapambana na George Dimoso na Vicent Mbilinyo kutoka kwa 'Super D Boxing Coach' atapambana na Yusufu Mkari na kasimu Gamboo...

 

9 years ago

Mwananchi

Dakika 90 za mpambano wa Magufuli, Lowassa

Dakika 90 za mpira wa miguu ndizo zinazotoa taswira ya matokeo ya ushindi kwa timu ya mpira. Kampeni za Uchaguzi Mkuu zimeanza. Lakini, licha ya vyama 22 kushiriki uchaguzi huo, macho yanatazama, masikio yanasikiliza na mazungumzo yametekwa na hisia za majina mawili ya wagombea urais Dk John Magufuli (CCM) na Edward Lowassa (Chadema) na ukipenda uite Ukawa.

 

10 years ago

Mwananchi

Ni mpambano wa Ali Kiba V Diamond

Kitendawili cha muda mrefu cha ‘nani mbabe kati ya Ali Kiba na Diamond’ huenda kikapata moja ya majawabu yake leo usiku, wakati wa tamasha la Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (KTMA) zitakazofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mpambano wa robo fainali Brazil

Brazil dhidi ya Columbia, na Ujerumani ikikutana na Ufaransa. Ubelgiji dhidi ya Argentina na Uholanzi nao wanachuana na Costa Rica

 

9 years ago

Raia Mwema

Ni mpambano kati ya Shitambala na Mbilinyi

ZIKIWA zimebaki siku takribani 35 kupiga kura, ushindani katika Jimbo la Mbeya Mjini umebaki kati

Felix Mwakyembe

 

9 years ago

Mwananchi

Mpambano mkali Lowassa, Dk Magufuli

Wagombea wa CCM na Chadema wanaendelea kuchuana vikali kwenye mbio za urais baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza matokeo ya majimbo 113.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani