Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpambano waiva

Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli (CCM) na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa (CHADEMA). Na Waandishi wa Nipashe 20th August 2015 Dk Magufuli (CCM) na Lowassa anayewania urais chini ya kivuli cha Umoja wa Katiba […]

The post Mpambano waiva appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Uchaguzi mkuu CUF waiva

SAFU mpya ya uongozi wa Taifa ya Chama cha Wananchi (CUF) inatarajiwa kupatikana mwezi huu katika uchaguzi utakaofanyika wiki ijayo, jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

125 waiva kwa Umisseta Hanang’

WANAFUNZI 125 wa michezo ya riadha, soka, pete na wavu, kutoka shule za sekondari Wilaya ya Hanang’, wanatarajia kushiriki mashindano ya Umoja wa Michezo ya Shule za Sekondari (Umisseta), mkoani...

 

11 years ago

Habarileo

Ubia wa Tanzania, Algeria katika gesi waiva

TANZANIA na Algeria zinakamilisha majadiliano ya kuanzisha kampuni ya ubia, itakayohusika na ujenzi wa miundombinu ya kusambaza umeme.

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MRADI WA BARABARA YA NJIA SITA KUTOKA DAR ES SALAAM KWENDA CHALINZE (KM 100) WAIVA

Tayari maandalizi ule mpango wa kujenga barabara ya njia sita (tatu kila upande) Dar es Salaam – Chalinze-Morogoro (km 200) Express Way umeiva ambapo awamu ya kwanza itahusisha barabara ya Dar es Salaam (Biti Titi Jnct) – Chalinze (km 100) Express Way kwa utaratibu wa Public Private. Barabara hiyo mbadala ambayo itakuwa ni ya kulipia itajengwa kwa njia sita (6 lanes). Barabara iliyopo sasa itaendelea kutoa huduma kwa wale ambao hawako tayari kutumia barabara ya kulipia. Habari njema ni...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Mpambano wanoga

WAZIRI Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amesema anatamani ujana ili ateuliwe katika Baraza la Mawaziri la William Ngeleja, ambaye ni mmoja kati ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliotangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

MPAMBANO WA MASUMBWI KUFANYIKA 28/3/2015

Na Mwandishi Wetu
Mabondia Julius Kisarawe kutoka 'Ndame Club' na Saidi Uwezo kutoka 'Mzazi GYM' watapanda uringoni march 28 kugombania ubingwa wa taifa wa kg 54 katika ukumbi wa manyara park uliopo CCM Tandale Manzese mpambano uho wa raundi kumi wenye upinzani wa hali ya juu utasindikizwa na mabondia mbalimbali kutoka katika kambi tofauti

ambapo bondia Ibrahimu Tamba atapambana na George Dimoso na Vicent Mbilinyo kutoka kwa 'Super D Boxing Coach' atapambana na Yusufu Mkari na kasimu Gamboo...

 

9 years ago

Mwananchi

Dakika 90 za mpambano wa Magufuli, Lowassa

Dakika 90 za mpira wa miguu ndizo zinazotoa taswira ya matokeo ya ushindi kwa timu ya mpira. Kampeni za Uchaguzi Mkuu zimeanza. Lakini, licha ya vyama 22 kushiriki uchaguzi huo, macho yanatazama, masikio yanasikiliza na mazungumzo yametekwa na hisia za majina mawili ya wagombea urais Dk John Magufuli (CCM) na Edward Lowassa (Chadema) na ukipenda uite Ukawa.

 

9 years ago

Raia Mwema

Ni mpambano kati ya Shitambala na Mbilinyi

ZIKIWA zimebaki siku takribani 35 kupiga kura, ushindani katika Jimbo la Mbeya Mjini umebaki kati

Felix Mwakyembe

 

11 years ago

BBCSwahili

Mpambano wa robo fainali Brazil

Brazil dhidi ya Columbia, na Ujerumani ikikutana na Ufaransa. Ubelgiji dhidi ya Argentina na Uholanzi nao wanachuana na Costa Rica

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani