125 waiva kwa Umisseta Hanang’
WANAFUNZI 125 wa michezo ya riadha, soka, pete na wavu, kutoka shule za sekondari Wilaya ya Hanang’, wanatarajia kushiriki mashindano ya Umoja wa Michezo ya Shule za Sekondari (Umisseta), mkoani...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dAcZYyKP6PU/XrUxMlEBFqI/AAAAAAALpeI/IZ4Az6PNFEwwSrl7rSNyOebX8T_olb4VQCLcBGAsYHQ/s72-c/rr.jpg)
MAJAJI 125 WA MABARA MANNE DUNIANI WAFANYA MKUTANO KWA NJIA YA MTANDAO KUJADILI UTOAJI HAKI KWA TEHAMA KUEPUKA MAAMBUKIZI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dAcZYyKP6PU/XrUxMlEBFqI/AAAAAAALpeI/IZ4Az6PNFEwwSrl7rSNyOebX8T_olb4VQCLcBGAsYHQ/s400/rr.jpg)
Na Magreth Kinabo-Mahakama
Majaji 125 kutoka katika mabara manne duniani wamefanya mkutano kwa njia ya mtandao kujadili jinsi ya kuendelea na shughuli za utoaji haki kwa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kuepuka kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa homa ya mapafu (COVID 19).
Mkutano huo uliandaliwa na Shirika la Miliki Bunifu Duniani (WIPO) ambalo liko chini ya Umoja wa Mataifa (UN), uliofanyika Makao Makuu ya shirika hilo Geneva, kwa njia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dAcZYyKP6PU/XrUxMlEBFqI/AAAAAAALpeI/IZ4Az6PNFEwwSrl7rSNyOebX8T_olb4VQCLcBGAsYHQ/s72-c/rr.jpg)
MAJAJI 125 KUTOKA MABARA MANNE DUNIANI WAFANYA MKUTANO KWA NJIA YA MTANDAO KUJADILI UTOAJI HAKI KWA TEHAMA KUEPUKA MAAMBUKIZI YA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dAcZYyKP6PU/XrUxMlEBFqI/AAAAAAALpeI/IZ4Az6PNFEwwSrl7rSNyOebX8T_olb4VQCLcBGAsYHQ/s640/rr.jpg)
Na Magreth Kinabo-Mahakama
Majaji 125 kutoka katika mabara manne duniani wamefanya mkutano kwa njia ya mtandao kujadili jinsi ya kuendelea na shughuli za utoaji haki kwa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kuepuka kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa homa ya mapafu (COVID 19).
Mkutano huo uliandaliwa na Shirika la Miliki Bunifu Duniani (WIPO) ambalo liko chini ya Umoja wa Mataifa (UN), uliofanyika Makao Makuu ya shirika hilo Geneva, kwa njia...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Aug
Mpambano waiva
Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli (CCM) na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa (CHADEMA). Na Waandishi wa Nipashe 20th August 2015 Dk Magufuli (CCM) na Lowassa anayewania urais chini ya kivuli cha Umoja wa Katiba […]
The post Mpambano waiva appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Habarileo16 Jun
Uchaguzi mkuu CUF waiva
SAFU mpya ya uongozi wa Taifa ya Chama cha Wananchi (CUF) inatarajiwa kupatikana mwezi huu katika uchaguzi utakaofanyika wiki ijayo, jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Habarileo11 Jul
Ubia wa Tanzania, Algeria katika gesi waiva
TANZANIA na Algeria zinakamilisha majadiliano ya kuanzisha kampuni ya ubia, itakayohusika na ujenzi wa miundombinu ya kusambaza umeme.
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Kinondoni bingwa Umisseta Dar
WILAYA ya Kinondoni imeibuka bingwa wa jumla katika mashindano ya kutafuta timu bora ya Kanda ya Dar es Salaam ya Umoja wa Michezo na Sanaa Shule za Sekondari Tanzania (Umisseta),...
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Umisseta itumike kuibua vipaji, kujenga umoja
10 years ago
Mwananchi16 Jun
UMISSETA : Mashariki, Dar zatinga nusu fainali
10 years ago
Mwananchi08 Jun
MAONI: Umisseta itumike kikamilifu kutimiza malengo yaliyokusudiwa