Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


125 waiva kwa Umisseta Hanang’

WANAFUNZI 125 wa michezo ya riadha, soka, pete na wavu, kutoka shule za sekondari Wilaya ya Hanang’, wanatarajia kushiriki mashindano ya Umoja wa Michezo ya Shule za Sekondari (Umisseta), mkoani...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MAJAJI 125 WA MABARA MANNE DUNIANI WAFANYA MKUTANO KWA NJIA YA MTANDAO KUJADILI UTOAJI HAKI KWA TEHAMA KUEPUKA MAAMBUKIZI YA CORONA




Na Magreth Kinabo-Mahakama
Majaji 125 kutoka katika mabara manne duniani wamefanya mkutano kwa njia ya mtandao kujadili jinsi ya kuendelea na shughuli za utoaji haki kwa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kuepuka kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa homa ya mapafu (COVID 19).
Mkutano huo uliandaliwa na Shirika la Miliki Bunifu Duniani (WIPO) ambalo liko chini ya Umoja wa Mataifa (UN), uliofanyika Makao Makuu ya shirika hilo Geneva, kwa njia...

 

5 years ago

Michuzi

MAJAJI 125 KUTOKA MABARA MANNE DUNIANI WAFANYA MKUTANO KWA NJIA YA MTANDAO KUJADILI UTOAJI HAKI KWA TEHAMA KUEPUKA MAAMBUKIZI YA CORONA (COVID-19)



Na Magreth Kinabo-Mahakama

Majaji 125 kutoka katika mabara manne duniani wamefanya mkutano kwa njia ya mtandao kujadili jinsi ya kuendelea na shughuli za utoaji haki kwa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kuepuka kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa homa ya mapafu (COVID 19).

Mkutano huo uliandaliwa na Shirika la Miliki Bunifu Duniani (WIPO) ambalo liko chini ya Umoja wa Mataifa (UN), uliofanyika Makao Makuu ya shirika hilo Geneva, kwa njia...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mpambano waiva

Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli (CCM) na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa (CHADEMA). Na Waandishi wa Nipashe 20th August 2015 Dk Magufuli (CCM) na Lowassa anayewania urais chini ya kivuli cha Umoja wa Katiba […]

The post Mpambano waiva appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Habarileo

Uchaguzi mkuu CUF waiva

SAFU mpya ya uongozi wa Taifa ya Chama cha Wananchi (CUF) inatarajiwa kupatikana mwezi huu katika uchaguzi utakaofanyika wiki ijayo, jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Ubia wa Tanzania, Algeria katika gesi waiva

TANZANIA na Algeria zinakamilisha majadiliano ya kuanzisha kampuni ya ubia, itakayohusika na ujenzi wa miundombinu ya kusambaza umeme.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kinondoni bingwa Umisseta Dar

WILAYA ya Kinondoni imeibuka bingwa wa jumla katika mashindano ya kutafuta timu bora ya Kanda ya Dar es Salaam ya Umoja wa Michezo na Sanaa Shule za Sekondari Tanzania (Umisseta),...

 

11 years ago

Mwananchi

Umisseta itumike kuibua vipaji, kujenga umoja

Michezo ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) inaendelea kwenye viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha mkoani Pwani na inatarajiwa kumalizika wiki ijayo.

 

10 years ago

Mwananchi

UMISSETA : Mashariki, Dar zatinga nusu fainali

Timu za Kanda ya Mashariki na Dar es Salaam zimekuwa za kwanza kutinga nusu fainali ya netiboli kwenye mashindano ya Umoja wa Michezo na Sanaa kwa Shule za Sekondari Tanzania (Umisseta) yanayoendelea mjini hapa.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Umisseta itumike kikamilifu kutimiza malengo yaliyokusudiwa

>Mashindano ya Taifa ya Umoja wa Michezo kwa Shule za Sekondari Tanzania (Umisseta) yalianza jana mjini Mwanza na kushirikisha timu mbalimbali za michezo kutoka kanda mbalimbali zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani