Kinondoni bingwa Umisseta Dar
WILAYA ya Kinondoni imeibuka bingwa wa jumla katika mashindano ya kutafuta timu bora ya Kanda ya Dar es Salaam ya Umoja wa Michezo na Sanaa Shule za Sekondari Tanzania (Umisseta),...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Jun
UMISSETA : Mashariki, Dar zatinga nusu fainali
Timu za Kanda ya Mashariki na Dar es Salaam zimekuwa za kwanza kutinga nusu fainali ya netiboli kwenye mashindano ya Umoja wa Michezo na Sanaa kwa Shule za Sekondari Tanzania (Umisseta) yanayoendelea mjini hapa.
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA MASHINDANO KINONDONI CUP JIJINI DAR ES SALAAM , AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 138
11 years ago
Tanzania Daima25 May
125 waiva kwa Umisseta Hanang’
WANAFUNZI 125 wa michezo ya riadha, soka, pete na wavu, kutoka shule za sekondari Wilaya ya Hanang’, wanatarajia kushiriki mashindano ya Umoja wa Michezo ya Shule za Sekondari (Umisseta), mkoani...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JWe3dXBN65E/VhLd6bFjPHI/AAAAAAADAVk/PV432man6d0/s72-c/121.jpg)
IDARA YA UHAMIAJI YAWA BINGWA MICHUANO YA MPIRA WA PETE KLABU BINGWA TANZANIA
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiTIMU ya Mpira wa Pete ya Idara ya Uhamiaji,imeibuka mshindi katika michuano ya mashindano ya Klabu bingwa wa mpira wa pete baada ya kuipiga timu ya Mbweni JKT iliyokuwa ikishikilia ubingwa huo. Akizungumza baada ya kupokea kombe hilo ,Kamishina wa Utawala na Fedha wa Idra ya Uhamiaji,Piniel Mgonja amewataka wachezaji wa timu hiyo kujituma na kuweza kulinda kombe hilo ililisichukuliwe katika michuano mingine. Mgonja amesema katika mwaka huu wamekuwa...
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Umisseta itumike kuibua vipaji, kujenga umoja
Michezo ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) inaendelea kwenye viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha mkoani Pwani na inatarajiwa kumalizika wiki ijayo.
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Rekodi ya Usain Bolt ilivyonuswa Umisseta Taifa 2015
Usain Bolt ni mkimbiaji wa mbio fupi kutoka Jamaica, kwa sasa ndiye mkimbiza upepo wa hali ya juu duniani katika mbio hizo kutokana na kasi yake ya ajabu.
10 years ago
Mwananchi08 Jun
MAONI: Umisseta itumike kikamilifu kutimiza malengo yaliyokusudiwa
>Mashindano ya Taifa ya Umoja wa Michezo kwa Shule za Sekondari Tanzania (Umisseta) yalianza jana mjini Mwanza na kushirikisha timu mbalimbali za michezo kutoka kanda mbalimbali zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SvKI_8oz9dY/VK7_6kEykrI/AAAAAAAG8Hw/RBaqxu0QCFk/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
klabu za michezo za maveterani Dar es salaam kurehemu marehemu Jumatatu (Mapinduzi Day) Leaders club, Kinondoni, jijini Dar es salaam
Umoja wa klabu za michezo za maveterani Dar es salaam, chini ya uratibu wa klabu za Singasinga na Tazara, unatangaza rasmi kwamba shughuli ya kurehemu wanachama wenzetu ambao wametangulia mbele ya haki itafanyika JUMATATU 12/1/2015, ikiwa pia ni sehemu ya kuadhimisha sikukuu ya Mapinduzi.
Ratiba itaanza Saa 7 mchana katika viwanja vya Leaders club jijini Dar es salaam. Dua zitafanyika kutoka kwa Father Oscar na Sheikh Kipoozeo. Dua hizo zitafuatiwa na Chakula cha pamoja cha mchana...
Ratiba itaanza Saa 7 mchana katika viwanja vya Leaders club jijini Dar es salaam. Dua zitafanyika kutoka kwa Father Oscar na Sheikh Kipoozeo. Dua hizo zitafuatiwa na Chakula cha pamoja cha mchana...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yrDakZ0gxM0/UwnwhXOAdxI/AAAAAAAFPDg/NoQOP-X2GWQ/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Malinzi akabidhi kombe bingwa Michuano shule za Sekondari Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-yrDakZ0gxM0/UwnwhXOAdxI/AAAAAAAFPDg/NoQOP-X2GWQ/s1600/unnamed+(13).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania