Ubia wa Tanzania, Algeria katika gesi waiva
TANZANIA na Algeria zinakamilisha majadiliano ya kuanzisha kampuni ya ubia, itakayohusika na ujenzi wa miundombinu ya kusambaza umeme.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gS5X4oZSOTM/U78Fx4lu_bI/AAAAAAAF0ts/lKdgaMOoloo/s72-c/unnamed+(79).jpg)
Tanzaniana Algeria kuanzisha Kampuni za Ubia
Habari na picha na Asteria Muhozya Tanzania na Algeria zinakamilisha majadiliano ya kuanzisha kampuni ya Ubia itakayohusika na ujenzi wa miundombinu ya kusambaza umeme na Kampuni ya Ubia ya kujenga mtambo wa kusindika gesi ya “Liquefied Petroleum Gas” (LPG) na kuiuza gesi kwa wananchi kwa kutumia mitungi.
Makubaliano hayo yamefikiwa katika ziara...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sRaHQToOD88/VRm9pLBjihI/AAAAAAAHOdQ/7D5s_kWcI6E/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
Statoil yafanya ugunduzi wa nane wa gesi asilia katika Bahari Kuu ya Tanzania
Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. George Simbachawene amebainisha hayo kwenye mkutano na Waandishi wa Habari mjini Dodoma. Baada ya kuthibitishwa na Makamu wa Rais wa Statoil, Nick Maden pamoja na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
“ugunduzi huo wa gesi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WBcLVo5_Qxg/VBgNOJpTxzI/AAAAAAACrDI/2b63XgKV2ww/s72-c/ERM%2BPIX%2B1.jpg)
Benki ya Exim yaingia ubia kuongeza ufanisi katika udhibiti wa majanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-WBcLVo5_Qxg/VBgNOJpTxzI/AAAAAAACrDI/2b63XgKV2ww/s1600/ERM%2BPIX%2B1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7eWJjKyzZTA/VlRPphcAPuI/AAAAAAAIIMI/dsae11D5cD0/s72-c/image002.jpg)
SHIRIKA LA NDEGE LA QATAR LAINGIA UBIA NA VODACOM TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-7eWJjKyzZTA/VlRPphcAPuI/AAAAAAAIIMI/dsae11D5cD0/s640/image002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-G1V9OhvOY0g/VlRPpVYlh2I/AAAAAAAIIMM/rEsJ3MmAqPI/s320/IVP_3812.jpg)
SHIRIKA la Ndege la Qatar– Qatar Airways limeingia ubia na kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania kupitia huduma yake ya M-pesa kwa ajili ya kuwawezesha wateja wake kulipia tiketi zao ikiwa ni njia pekee ya kuwarahisishia wateja wao kutumia huduma hiyo kwa njia ya haraka na rahisi kwa kuwawezesha wateja wake kufanya malipo kwa njia ya simu za mkononi.
Huduma hii inarahisisha maisha...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RXIPf3CuUlM/VMeq94U37UI/AAAAAAAG_zs/2v9uSDXLEoE/s72-c/1.jpg)
Maafisa Mawasiliano watembelea Mradi wa Kuchakata Gesi wa Tanzania Mnazi Bay and Songo Songo Gas Processing Plant na kutoa msaada katika hospital ya Ligula
![](http://4.bp.blogspot.com/-RXIPf3CuUlM/VMeq94U37UI/AAAAAAAG_zs/2v9uSDXLEoE/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g1MuqSacGmc/VMeq97JZ8hI/AAAAAAAG_zw/Y3OqAU93lgE/s1600/2.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Aug
Mpambano waiva
Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli (CCM) na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa (CHADEMA). Na Waandishi wa Nipashe 20th August 2015 Dk Magufuli (CCM) na Lowassa anayewania urais chini ya kivuli cha Umoja wa Katiba […]
The post Mpambano waiva appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
11 years ago
Habarileo16 Jun
Uchaguzi mkuu CUF waiva
SAFU mpya ya uongozi wa Taifa ya Chama cha Wananchi (CUF) inatarajiwa kupatikana mwezi huu katika uchaguzi utakaofanyika wiki ijayo, jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima25 May
125 waiva kwa Umisseta Hanang’
WANAFUNZI 125 wa michezo ya riadha, soka, pete na wavu, kutoka shule za sekondari Wilaya ya Hanang’, wanatarajia kushiriki mashindano ya Umoja wa Michezo ya Shule za Sekondari (Umisseta), mkoani...