WAZIRI WA KAZI NA AJIRA AMALIZA MGOMO WA MADEREVA
![](http://4.bp.blogspot.com/-E2YFB74mLCA/VSfTSKGxaJI/AAAAAAABK94/FaWw2nU4u7c/s72-c/Waziri-wa-Kazi.jpg)
Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudencia Kabaka amefanikiwa kumaliza mgomo wa madereva baada ya kutangaza kufuta agizo lililokuwa likiwataka madereva wa mabasi na malori kwenda kusoma tena katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT). Kauli hii imekuja baada ya madereva wa mabasi yaendayo mikoani pamoja na mabasi yanayofanya kazi ndani ya jiji la Dar es Salaam kugoma huku wakitaka kuongea na viongozi wa juu wa serikalini ili kutatua tatizo lao.(Picha kutoka Maktaba)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-w7Jv3K7mKHQ/VSe78L2ZS6I/AAAAAAAHQGk/dKg8wUOo9Oo/s72-c/1.jpg)
NEWS UPDATE: WAZIRI KABAKA AMALIZA MGOMO WA MADEREVA
![](http://4.bp.blogspot.com/-w7Jv3K7mKHQ/VSe78L2ZS6I/AAAAAAAHQGk/dKg8wUOo9Oo/s1600/1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s72-c/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
CHAMA CHA MADEREVA KIMETANGAZA MGOMO WA MADEREVA NCHI NZIMA KUANZIA AGOSTI TISA MWAKA HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s640/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA KAZI NA AJIRA AFUNGUA SEMINA YA VIJANA MKOANI LINDI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zzUhiCK8p8U/VZ0EnXg4fxI/AAAAAAAHnuU/T-IPLaah5Mc/s72-c/Blog%2B1.jpg)
WAZIRI WA KAZI NA AJIRA ATEMBELEA BANDA LA NSSF KWENYE MAONESHO YA SABASABA
![](http://1.bp.blogspot.com/-zzUhiCK8p8U/VZ0EnXg4fxI/AAAAAAAHnuU/T-IPLaah5Mc/s640/Blog%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JuyFZ07QlLw/VZ0EopxsX5I/AAAAAAAHnuc/9povjppBgdI/s640/Blog%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6LKhLFE0mDY/VZ0EpFaNi_I/AAAAAAAHnug/1UZEse8-caI/s640/Blog%2B3.jpg)
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira afanya ziara makuu ya Vodacom Tanzaniaâ€
Naibu Waziri wa Kazi,Vijana na Ajira,Mhe Anthony Mavunde (wapili toka kushoto) akikagua vibali vya kuishi na kufanya kazi nchini vya mfanyakazi wa kigeni wa Vodacom Tanzania , Valentino Giron (kushoto),wakati alipofanya ziara ya kikazi Makoa makuu ya Vodacom Tanzania yaliyopo Mlimani City jijini Dar es Salaam hivi karibuni,Anayeshuhudia kulia ni Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo,Matina Nkurlu.
Naibu Waziri wa Kazi,Vijana na Ajira,Mhe Anthony Mavunde(Kulia) akisisitiza jambo kwa wafanyakazi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-S6DLFIpt0QY/VWSIPTa991I/AAAAAAAHaBI/Wo1_NCrseow/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA KAZI NA AJIRA,GAUDENSIA KABAKA AZINDUA BARAZA LA WAFANYAKAZI LA NHIF ARUSHA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-S6DLFIpt0QY/VWSIPTa991I/AAAAAAAHaBI/Wo1_NCrseow/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Jg1It2GNhbo/VWSIPcnESJI/AAAAAAAHaBM/V0X2CnP-_b4/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qRxrakgm6ZI/VWSIPX52GQI/AAAAAAAHaBQ/7yr6_VhKTHk/s640/3.jpg)
11 years ago
MichuziWaziri wa Kazi na Ajira atembelea Banda la GEPF kwenye maonyesho ya Sabasaba jijini Dar leo
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-237zXisGP_4/VozqLeXyNdI/AAAAAAAIQx0/IDBz7hPvOFw/s72-c/001.NAIBU%2BWAZIRI.jpg)
NAIBU WAZIRI WA KAZI,VIJANA NA AJIRA AFANYA ZIARA YA KIKAZI MAKAO MAKUU YA VODACOM TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-237zXisGP_4/VozqLeXyNdI/AAAAAAAIQx0/IDBz7hPvOFw/s640/001.NAIBU%2BWAZIRI.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DP5IQJLhdF4/VozqLbxNBHI/AAAAAAAIQx4/_qwu8JkUb5s/s640/002.NAIBU%2BWAZIRI.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OeshQo7zTe4/Vb4CYjg7VTI/AAAAAAAHtSk/tbJ2WmzvmU0/s72-c/ApxOlgXxuzB9Xl3JlKZI3gnzfX4Y2JpnwD5UmM5dF9nH.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ......: NAIBU WAZIRI WA KAZI NA AJIRA, DKT. MAKONGORO MAHANGA KUTIMKIA CHADEMA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-OeshQo7zTe4/Vb4CYjg7VTI/AAAAAAAHtSk/tbJ2WmzvmU0/s640/ApxOlgXxuzB9Xl3JlKZI3gnzfX4Y2JpnwD5UmM5dF9nH.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10