Waziri wa Kazi na Ajira atembelea Banda la GEPF kwenye maonyesho ya Sabasaba jijini Dar leo
Waziri wa Kazi na Ajira,Mh. Gaudentia Kabaka akisaini katika kitabu cha wageni wakati alipotembelea katika banda la Mfuko wa Mafao ya Kustaafu wa GEPF,kwenye Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) jijini Dar es salaam leo.Mwenye Fulana nyeusi ni Meneja Masoko na huduma kwa wateja katika Mfuko wa Mafao ya Kustaafu wa GEPF Bw Aloyce Best Ntukamazina.
Meneja Masoko na huduma kwa wateja katika Mfuko wa Mafao ya Kustaafu wa GEPF,Bw. Aloyce Best Ntukamazina akitoa maelezo ya kina kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zzUhiCK8p8U/VZ0EnXg4fxI/AAAAAAAHnuU/T-IPLaah5Mc/s72-c/Blog%2B1.jpg)
WAZIRI WA KAZI NA AJIRA ATEMBELEA BANDA LA NSSF KWENYE MAONESHO YA SABASABA
![](http://1.bp.blogspot.com/-zzUhiCK8p8U/VZ0EnXg4fxI/AAAAAAAHnuU/T-IPLaah5Mc/s640/Blog%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JuyFZ07QlLw/VZ0EopxsX5I/AAAAAAAHnuc/9povjppBgdI/s640/Blog%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6LKhLFE0mDY/VZ0EpFaNi_I/AAAAAAAHnug/1UZEse8-caI/s640/Blog%2B3.jpg)
11 years ago
GPLWAZIRI WA KAZI NA AJIRA MH. GAUDENTIA KABAKA ATEMBELEA BANDA LA GEPF NA KUSIFU UBUNIFU WA MFUKO WA GEPF KATIKA KUTOA HIFADHI YA JAMII KWA WAJASIRIAMALI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7ECtbYEYrLQ/U7bs3Cw1rPI/AAAAAAAFvB0/2EVpuukRAgs/s72-c/Salma+_Mayingu2.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA PSPF KWENYE MAONYESHO YA SABASABA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-7ECtbYEYrLQ/U7bs3Cw1rPI/AAAAAAAFvB0/2EVpuukRAgs/s1600/Salma+_Mayingu2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--Q0iHBzreOE/U7bs3HfZi0I/AAAAAAAFvB4/MVi6IFeC78A/s1600/mayingu2.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGayE3y55lE5UUnumzvvIlbg-1DF*HtSRLo4CONQfLpmdS2hhDO-uxZtncbibhRDlCLwy54AFra--TujYAMov-Pw/b2.jpg?width=650)
WAZIRI MKUU ATEMBELEA BANDA LA PSPF KWENYE MAONYESHO YA SABASABA
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
Mh. Kabaka atembelea Banda la PPF kwenye maonyesho ya Sabasaba na kuvutiwa na Utendaji Kazi wa Mfuko huo
Mwenyekiti wa Bodi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh Ramadhan Kijjah (Kulia) akisalimiana na Waziri wa Kazi na Ajira, Mh Gaudensia Kabaka wakati alipotembelea banda la PPF kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa katika Viwanja vya sabasaba.
Waziri wa Kazi na Ajira, Mh Gaudensia Kabaka akipokelewa na wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF wakati alipotembelea Banda la PPF kwenye maonyesho ya 38 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar Es Salaam.
Afisa Huduma Kwa Wateja wa Mfuko wa Pensheni...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XTRb30jGT2Y/U7WKgo9Yd3I/AAAAAAAFuto/fSkupEOGoYg/s72-c/b2.jpg)
Mh. Pinda atembelea Banda la PSPF kwenye Maonyesho ya Sabasaba
![](http://3.bp.blogspot.com/-XTRb30jGT2Y/U7WKgo9Yd3I/AAAAAAAFuto/fSkupEOGoYg/s1600/b2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wLKnHa-OKqc/U7WKieh6-fI/AAAAAAAFutw/07GthcV8l7k/s1600/b3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kpC_dgJr8sM/U06Fz4mQcaI/AAAAAAAFbSo/SGF9DQmG4Jc/s72-c/unnamed+(19).jpg)
Makamu wa Rais,Dkt. Bilal atembelea banda ya Bunge kwenye Maonyesho ya Muungano jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-kpC_dgJr8sM/U06Fz4mQcaI/AAAAAAAFbSo/SGF9DQmG4Jc/s1600/unnamed+(19).jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Jul
Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa Tanzania atembelea banda la Modewjiblog maonyesho ya Sabasaba leo
Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez, akisalimiana na Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Andrew Chale alipotembelea katika banda la mtandao huo ambao mwaka huu mwezi Septemba unatimiza miaka 7 tangu kuanzishwa ambapo wametumia fursa ya maonyesho ya saba saba kukutana na wadau mbalimbali wanaotumia mtandao huo kupata habari mbalimbali sambamba na kubadilishana mawazo na ushauri wa maboresho...
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Waziri Mkuu Mizengo Pinda atembelea banda la kampuni ya Property International Limited katika maonyesho ya Sabasaba
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Miengo Pinda akiwasili kwenye banda la Kampuni ya Property Itnernational Limited ya jijini Dar es salaam wakati alipotembelea banda hilo Katika maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa (TANTRADE) kwenye viwanja vya Mwalimu J.K.Nyerere barabara ya Kirwa jijini Dar es salaam, Ili kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na kampuni hiyo inayojihusisha na miradi mikubwa ya upimaji na uuzaji wa viwanja vilivyopimwa kitaalamu maeneo mbalimbali...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10