Makamu wa Rais,Dkt. Bilal atembelea banda ya Bunge kwenye Maonyesho ya Muungano jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-kpC_dgJr8sM/U06Fz4mQcaI/AAAAAAAFbSo/SGF9DQmG4Jc/s72-c/unnamed+(19).jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Ghalib Mohamed Bilal akipata maelezo ya Historia, Muundo, Kazi na Utendaji wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka kwa Afisa Habari wa Bunge Bw. Prosper Minja wakati kiongozi huyo alipotembelea banda la Bunge lililopo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja leo lijini Dar es Salaam. Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni miongoni mwa washiriki wa maonesho ya maadhimisho ya Miaka 50 ya Muungano. Taasisi mbalimbali za Serikali na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog17 Apr
Dkt. Bilal atembelea kukagua mabanda ya maonyesho ya sherehe za Muungano Mnazi Mmoja Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kuhusu Chungu na Vibuyu, vilivyotumika kuchanganya Udongo wa Tanganyika na Zanzibar, mwaka 1964, kutoka kwa Mawazo Ramadhan wa Makumbusho ya Taifa, wakati alipotembelea kwenye Banda la Idara ya Muungano Ofisi ya Makamu wa Rais, alipotembelea maonyesho ya Sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano yanayoendelea kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR).
Makamu wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7ECtbYEYrLQ/U7bs3Cw1rPI/AAAAAAAFvB0/2EVpuukRAgs/s72-c/Salma+_Mayingu2.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA PSPF KWENYE MAONYESHO YA SABASABA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-7ECtbYEYrLQ/U7bs3Cw1rPI/AAAAAAAFvB0/2EVpuukRAgs/s1600/Salma+_Mayingu2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--Q0iHBzreOE/U7bs3HfZi0I/AAAAAAAFvB4/MVi6IFeC78A/s1600/mayingu2.jpg)
11 years ago
MichuziWaziri wa Kazi na Ajira atembelea Banda la GEPF kwenye maonyesho ya Sabasaba jijini Dar leo
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ALIHUTUBIA TAIFA KWENYE TAMASHA LA MKESHA WA KULIOMBEA TAIFA,JIJINI DAR
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ALIHUTUBIA TAIFA KWENYE TAMASHA LA MKESHA WA KULIOMBEA TAIFA, JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ashiriki kuaga mwili wa mama mzazi wa Dkt. Edward Hosea, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kwenye Kitabu cha maombolezo ya marehemu Esther Gigwa, Mama mzazi wa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dkt. Edward Hosea, wakati alipofika kushiriki kuaga mwili huo nyumbani kwa mkurugenzi huyo, Masaki jijini Dar es Salaam, leo Feb 27, 2015. (Picha na OMR).
Wanafamilia wafiwa wakiwa katika shughuli hiyo ya maziko.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimfariji,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4LDKrYOpRHM/VRj8QrCeXbI/AAAAAAAHOTo/OaJcWaus4YU/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AZINDUA MPANGO WA PILA 1 JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-4LDKrYOpRHM/VRj8QrCeXbI/AAAAAAAHOTo/OaJcWaus4YU/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2ka_lvQuybg/VRj8Q0b_M3I/AAAAAAAHOTw/ZuVM-Tvg1vU/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5Hx_jpcOzjA/VHXARkikPII/AAAAAAAGzkU/LbAJKNhf6LQ/s72-c/02.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-5Hx_jpcOzjA/VHXARkikPII/AAAAAAAGzkU/LbAJKNhf6LQ/s1600/02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UyYyassfkwk/VHXAbbdwEiI/AAAAAAAGzlM/oPwG4TSp4U8/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oqOgKL6z2Vk/VHXAaWc3rBI/AAAAAAAGzlE/jpXoqTyuqN8/s1600/2.jpg)