Dkt. Bilal atembelea kukagua mabanda ya maonyesho ya sherehe za Muungano Mnazi Mmoja Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kuhusu Chungu na Vibuyu, vilivyotumika kuchanganya Udongo wa Tanganyika na Zanzibar, mwaka 1964, kutoka kwa Mawazo Ramadhan wa Makumbusho ya Taifa, wakati alipotembelea kwenye Banda la Idara ya Muungano Ofisi ya Makamu wa Rais, alipotembelea maonyesho ya Sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano yanayoendelea kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR).
Makamu wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kpC_dgJr8sM/U06Fz4mQcaI/AAAAAAAFbSo/SGF9DQmG4Jc/s72-c/unnamed+(19).jpg)
Makamu wa Rais,Dkt. Bilal atembelea banda ya Bunge kwenye Maonyesho ya Muungano jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-kpC_dgJr8sM/U06Fz4mQcaI/AAAAAAAFbSo/SGF9DQmG4Jc/s1600/unnamed+(19).jpg)
10 years ago
MichuziMKAGUZI NA MDHIBITI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI,PROFESA JUMA ASSAD ATEMBELEA MAONYESHO YA UTUMISHI WA UMMA YANAYOENDELEA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MZRn5ooQy7c/U1EaVueJdMI/AAAAAAAFbrI/rrkJ0zvwd50/s72-c/unnamed1.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi atembelea Mabanda ya Maonyesho ya miaka 50 ya muungano
Licha ya baadhi ya wabunge wa Upinzani wa Bunge Maalum la Katiba kuamua kususia kuendelea kushiriki katika mjadala wa Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa ndani ya Bunge hilo Kundi kubwa la Wajumbe hao waliobaki wataendelea kuchapa kazi waliyotumwa na Wananchi bila ya kujali uwamuzi uliochukuliwa na wale walioamua kutoka nje ya mjadala huo.
Kauli hiyo imetolewa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mbunge wa Bunge hilo Maalum la Katiba Balozi Seif Ali Iddi mara baada ya...
10 years ago
GPLMAMIA WAFURIKA BANDA LA NHIF, KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR
Ofisa Uratibu na Matekelezo wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Genoveva Vicent (kulia), akimuelekeza jambo mwananchi aliyetembelea banda la NHIF katika maonyesho ya wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea viwanja vya Manazi Mmoja Dar es Salaam jana. Wengine wa pili kushoto ni Ofisa wa NHIF, Ambrose Manyanda na Ofisa Mawasiliano wa NHIF, Luhende Singu. Ofisa wa NHIF, Ambrose Manyanda (kulia), akimuelekeza jambo mwananchi...
10 years ago
VijimamboBOHARI YA DAWA (MSD) YASHIRIKI MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
MichuziWADAU WAENDELEA KUTEMBELEA BANDA LA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA YANAYOENDELEA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR
10 years ago
MichuziMAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lAZjAUJ5eIU/U6BcT0oGdrI/AAAAAAAFrUc/Juh5yglTxTs/s72-c/unnamed+%252862%2529.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MABANDA MAONYESHO UTUMISHI WA UMMA DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-lAZjAUJ5eIU/U6BcT0oGdrI/AAAAAAAFrUc/Juh5yglTxTs/s1600/unnamed+%252862%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sM9aznMkDg0/U6BcWtf-hZI/AAAAAAAFrUw/kLst1OekAAg/s1600/unnamed+%252859%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania