Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEWS UPDATE: WAZIRI KABAKA AMALIZA MGOMO WA MADEREVA

Waziri wa Kazi na Ajira, Mh. Gaudencia Kabaka amekutana na uongozi wa juu Madereva wa Vyombo vya Usafirishaji nchini na amefanikiwa kumaliza mgomo wa madereva hao baada ya kutangaza kufuta agizo lililokuwa likiwataka madereva wa mabasi na malori kwenda kusoma tena udereva katika chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT). (picha na Maktaba)

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA KAZI NA AJIRA AMALIZA MGOMO WA MADEREVA

Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudencia Kabaka amefanikiwa kumaliza mgomo wa madereva baada ya kutangaza kufuta agizo lililokuwa likiwataka madereva wa mabasi na malori kwenda kusoma tena katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT). Kauli hii imekuja baada ya madereva wa mabasi yaendayo mikoani pamoja na mabasi yanayofanya kazi ndani ya jiji la Dar es Salaam kugoma huku wakitaka kuongea na viongozi wa juu wa serikalini ili kutatua tatizo lao.(Picha kutoka Maktaba)




 

10 years ago

Dewji Blog

NEWS ALERT!!! Mgomo wa madereva tena hali tete Ubungo na baadhi ya maeneo usafiri kizungumkuti!!

moshi-640x360

Eneo la Ubungo ambalo kwa sasa mabasi yamegoma abiria wakiwa hawana la kujua nini la kufanya !!!!! taaarifa na picha zaidi zitaendelea kutolewa na mtandao huu ambao upo eneo la tukio!!.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

New Alert Mgomo wa madereva Saga! ni kuwa tayari madereva wa mabasi wamegoma tena siku ya leo Mei 4, kutokana na mashiniko mbalimbali ya madai yao kwa Serikali. Hata hivyo hali kwa Ubungo bado ni tete licha ya vulumai ya hapa na pale ikiwemo askari wa usalama barabarani...

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News! Madereva ‘wasimama’ nchi washinikiza wakutane na Wazri Mkuu Pinda kumaliza mgomo wao!

maderw

 

Baadhi ya madereva wa mabasi katika stendi kuu ya Mabasi yaendayo Mkoani na nchi jirani Ubungo,wakishangilia wakiwa na mabango yao yenye  jumbe : “Mabomu tumeyazoea! Tanzania bila madereva haiwezekani! muda huu wakiwa wamejikusanya wakimsubiria Waziri Mkuu Mizengo Pinda afike kuongea nao kufikia suluhu (Picha na Andrew Chale, Modewji blog).

Na Andrew Chale, Modewji blog

Mgomo wa madereva umeibuka tena leo Mei 4 baada ya mabasi na magari ya mizigo kugoma tena kwa mara ya pili kwa lengo la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News! Madereva ‘wasimama’ nchini, washinikiza wakutane na Wazri Mkuu Pinda kumaliza mgomo wao!

maderw

Baadhi ya madereva wa mabasi katika stendi kuu ya Mabasi yaendayo Mkoani na nchi jirani Ubungo,wakishangilia wakiwa na mabango yao yenye  jumbe : “Mabomu tumeyazoea! Tanzania bila madereva haiwezekani! muda huu wakiwa wamejikusanya wakimsubiria Waziri Mkuu Mizengo Pinda afike kuongea nao kufikia suluhu (Picha na Andrew Chale, Modewji blog).

Na Andrew Chale, Modewji blog

Mgomo wa madereva umeibuka tena leo Mei 4 baada ya mabasi na magari ya mizigo kugoma tena kwa mara ya pili kwa lengo la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News!!!  Mabomu ya Machozi yanarindima muda huu Kituo cha Mabasi Ubungo hali mbaya mgomo wa madereva

11088108_826634080706798_1441278712_n

Katibu wa  Madereva Mboka akiongea na wandishi wa Habari muda huu, kabla ya mabomu hayajarindima

…Mgomo wa Mabasi kuwa endelevu hadi watakapo achiwa viongozi wao wanaoshikiliwa na jeshi la Polisi

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Modewji blog ambayo imepiga kambi katika kituo cha Mabasi Ubungo kuanzia majira ya saa 11, alfajiri, ni kuwa tayari baadhi ya viongozi wa madereva wametoa tamko  rasmi kuwa mgomo wao huo utaendelea hadi hapo viongozi wao wakuu zaidi ya Sita (6) wanaoshikiliwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA MADEREVA KIMETANGAZA MGOMO WA MADEREVA NCHI NZIMA KUANZIA AGOSTI TISA MWAKA HUU.

Chama cha wafanyakazi madereva Tanzania-TADWU- kimetangaza mgomo wa madereva nchi nzima kuanzia Agosti tisa mwaka huu baada ya wamiliki wa mabasi, wakala wa usafiri wa nchi kavu na majini pamoja na wizara ya kazi kushindwa kutekeleza makubaliano yalifikiwa na tume iliyoundwa na waziri mkuu kutatua mgogoro wa madereva nchni.Kauli hiyo imetolewa na naibu katibu mkuu wa TADWU, Bwana Rashidi Salehe wakati akizungumza na ITV ambapo amesema mgomo huo unarejea tena baada ya wamiliki wa mabasi kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Abiria wataabika na mgomo wa madereva

ABIRIA waliolazimika kuanza safari juzi mchana badala ya alfajiri kutoka jijini Dar es Salaam kwenda mikoani, hasa wa mikoa ya mbali wamejikuta wakikabiliana na adha na taabu ya kuchelewa kutoka katika Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo, kutokana na mgomo wa madereva.

 

10 years ago

GPL

MGOMO WA MADEREVA WATIKISA DAR

Mabasi yaendayo mikoani yakiwa Stendi ya Ubungo yamepaki. Wasafiri wakiwa hawajui hatma ya safari yao eneo la Ubungo. Hali halisi ya Ubungo ilivyokuwa asubuhi leo.…

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA MGOMO WA MADEREVA MWANZA

Mabasi yanayoenda mikoani yakiwa yamepaki katika kituo cha Mabasi cha Nyegezi mkoani Mwanza kufuatia mgomo wa Umoja wa Vyama vya Madereva nchini wakishinikiza serikali kutatua kero zinazowakumba madereva hao. Maofisa polisi wa Jiji la Mwanza wakijadiliana katika kituo cha mabasi cha Nyegezi wakati wa mgomo huo. Abiria…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani