TFF yawataka Yanga kufanya hivi vinginevyo watakatwa mapato yao ya mechi …
Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF limepitia ombi la chama cha wanasoka Tanzania SPUTANZA, TFF ambayo ilipokea ombi la SPUTANZA kushughulikia madai ya muda mrefu ya wachezaji wa zamani wa Yanga, ambao waliachwa wakati wakiwa bado wanaidai klabu hiyo. December 24 mwenyekiti wa SPUTANZA Musa Kisoki alithibitisha kupatiwa ufumbuzi suala hilo. Wachezaji wanaoidai Yanga […]
The post TFF yawataka Yanga kufanya hivi vinginevyo watakatwa mapato yao ya mechi … appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ew2onIrzvpo/VN9XiYsc-BI/AAAAAAAHDu0/nz-Lu8__BS4/s72-c/MMGL0060.jpg)
MECHI YA YANGA NA BDF XI FC YA BOTSWANA INAPIGWA HIVI SASA UWANJA WA TAIFA,YANGA INAONGOZA KWA BAO 2-0
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ew2onIrzvpo/VN9XiYsc-BI/AAAAAAAHDu0/nz-Lu8__BS4/s1600/MMGL0060.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hHVq_w2pie4/VN9YDWa4n6I/AAAAAAAHDu8/Y3X4I_cge8g/s1600/MMGL0098.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FI6k1c1gVZk/VdiIQETAaEI/AAAAAAAHzGo/2V9pORO1_pA/s72-c/MMGL0593.jpg)
MECHI YA YANGA NA AZAM UWANJA WA TAIFA HIVI SASA
![](http://3.bp.blogspot.com/-FI6k1c1gVZk/VdiIQETAaEI/AAAAAAAHzGo/2V9pORO1_pA/s640/MMGL0593.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EzoK9Jg2bBU/VdiItBN_jrI/AAAAAAAHzG4/LVzYLb4hlXY/s640/MMGL0524.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PBvBvxMVroQ/VPXu6LtKz3I/AAAAAAAHHW4/glmAsdBoamc/s72-c/jerry-muro-massawe.jpg)
Yanga yaishukia bodi ya Ligi,yagomea mechi yao dhidi ya JKT Ruvu
![](http://1.bp.blogspot.com/-PBvBvxMVroQ/VPXu6LtKz3I/AAAAAAAHHW4/glmAsdBoamc/s1600/jerry-muro-massawe.jpg)
Uongozi wa Klabu ya Yanga umeishukia bodi ya Ligi kwa kile walichodai kuwa wamechakachua kanuni kwa kuiruhusu Timu ya Simba kumtumia mchezaji Ibrahimu Hajibu na kuitaka sheria zichukue mkondo wake huku wakigomea mechi yao dhidi ya JKT Ruvu kusogezwa mbele.
Akizungumza kwenye Makao Makuu ya Klabu hiyo leo, Msemaji wa Yanga Jerry Muro amesema Bodi ya Ligi inayumbisha soka la Tanzania kwa kupindisha sheria na kitendo walichofanya ni...
10 years ago
Michuzi15 Oct
BONIFACE WAMBURA WA TFF AONGELEA MAANDALZI YA MECHI YA WATANI WA JADI YANGA NA SIMBA
Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Simba itakayochezwa Jumamosi (Oktoba 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ni sh. 7,000. Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na kijani ambavyo jumla yake ni 36,693 katika uwanja huo wenye viti 57,558. Viingilio vingine ni sh. 10,000 kwa viti vya rangi ya chungwa, sh. 20,000 kwa VIP B na C wakati VIP A itakuwa sh. 30,000. Tiketi zitakazotumika kwenye mechi hiyo...
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Toto wataendelea kuwa watoto wa Yanga au vinginevyo?
Pengine majiji matatu makubwa yanayopendwa na kuheshimika zaidi Tanzania ni Dar es Salaam, Mwanza na Arusha. Ni kama ambavyo Waingereza wanathamini majiji ya London, Manchester na Birmingham. Katika soka, majiji hayo yote yana timu za Ligi Kuu na zimekuwa sehemu ya alama ya majiji hayo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mykYb_A5mMI/Xr6HuaBDzvI/AAAAAAALqVc/wrTLFOVC4WA5wo0dYyDyoafcK0VaaoD7wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200326_123154-730x375.jpg)
TAKUKURU YAWATAKA VIONGOZI TFF KUREJESHA FEDHA WALIZOZICHUKUA.
Yassir Simba, Michuzi Tv
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU imewataka maofisa wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini TFG kuzirejesha fedha walizochukua kabla hatia nyingine hazijafuata.
Hatua hiyo imekuja baada ya TAKUKURU kudai Shirikisho limekuwa na matumizi mabaya ya fedha ikiwemo fedha zilizotolewa na Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya AFCON ya Vijana chini ya Miaka 17 yaliyofanyika mwaka jana hapa nchini.
Akizungumza na vyombo vya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aT6HNSoH8k8/VJKNAZMkuLI/AAAAAAAG4Es/1vIdKqGOVgc/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-12-18%2Bat%2B11.13.49%2BAM.png)
11 years ago
Michuzi14 Feb
TRA YAWATAKA WAFANYABIASHARA KUFUNGUA MADUKA YAO NA KUACHA KUENDELEA KUGOMEA MASHINE ZA EFDS
![DSCF2699](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/fP6Nvu4doNvksvn8R6TfVg2KxvZ1hjRuubH0OaLbZAfs0UKpk4iTdpYgbV3_jtKMaSPEi3ipY9eQd-jbC9vod-S2nXmSVd-I-beBpcHIUJz8nXuEjr6S5aP9Fc_1YQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2699.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2695](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/9wXJMgcTT1gL2Dh9Q64z5LzpX8xPKjhMLT21mzOU13J3oI9GzaOrAN5zbGIDnMb7J6q7HMXYr2VkgDo0DF1KtNid4OVOc0VLoJKe_vtoW6dI-DItEAui1XIZFAldpw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2695.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2697](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/wofDhjDluKornfCBlzzW9uqlD7Hnf809mhcZNXo69GmfPeDHnqTWaMk6qvuPZqwM-HTbl9vqSKadKzzcUsk9lEyydcO-RhbVBIzK8l4-bfq6nqvwQTd2i5WHT6aXnw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2697.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2713](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/xFfK6G9Fisk13uJDlxE6qQ7tFz2zsqS-nT_yI2BznCXMOjnD6bfeeKPPymc7FEK5k05F0OjNc9vszEpcM0UqSRPD97xGJ3K0Lt_pTxhzijuRya1e_m_IxzfJQRqDZQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2713.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2700](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/YjQ5X6jvCRJUnJBlzyiWVgO_fthElxH0R980xoYTA8_yyLm8xyWizczd-qFOpDDmjkvq_Z6lWMTX508SCnTrNxJ71DkS0S1Tpc4Zdk2Eu_CjcjfSTZPR2RK_viydWA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2700.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2706](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Iiss-_jgQlgCR_W1sUPVe4AV_put2_zLgy86WdpXNTqKMnwh2tUA813PHoMN3cUuFT9uMU5XYJut0pMAxC2e8dk_nRQX0jVlzCSBTjYgdHoXgS7lX-Mv_7agy5WMEA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2706.jpg?w=627&h=470)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania