Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BONIFACE WAMBURA WA TFF AONGELEA MAANDALZI YA MECHI YA WATANI WA JADI YANGA NA SIMBA

Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Simba itakayochezwa Jumamosi (Oktoba 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ni sh. 7,000. Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na kijani ambavyo jumla yake ni 36,693 katika uwanja huo wenye viti 57,558. Viingilio vingine ni sh. 10,000 kwa viti vya rangi ya chungwa, sh. 20,000 kwa VIP B na C wakati VIP A itakuwa sh. 30,000. Tiketi zitakazotumika kwenye mechi hiyo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MWECHI YA WATANI WA JADI SIMBA NA YANGA JIJINI ABU DHABI LEO

Watanzania wanaoishi UAE, Dubai wameanda mechi kati ya Simba na Yanga Mtani jadi ambayo itaitwa "Union Cup Bonanza" ambapo mgeni rasmi atakuwa balozi wa Tanzania huko United Arab Emirates kutoka Abu Dhabi. Mechi itapigwa kwenye uwanja wa Al Ahly uliopo Dubai saa tatu usiku za huko, wachezaji wa timu zote mbili wanachezea timu ya watanzania wanaoishi UAE ambayo inajulikana kwa jina "TanzaniaTeamInUAE" Baada ya mechi kuisha mshindi atakabidhiwa zawadi na kikombe na wageni watapata nafasi ya...

 

11 years ago

Michuzi

KABLA YA KUANZA KWA MTANANGE WA WATANI WA JADI SIMBA NA YANGA-SOMO LATOLEWA KUHUSU MALARIA NO MORE

 Wasanii mahiri wanaounda kundi la THT wakiimba wimbo wa Malaria No More  kabla ya mechi kuanza ya watani wa jadi Simba na Yanga.Wakati Vodacom Tanzania  kushirikiana na Taasisi ya Malaria No More na THTwalipokuwa wakitangaza namba maalumu ambayo wateja wanaotumia huduma za kampuni hiyo wanaweza kuitumia kupata taarifa zinazohusiana na ugonjwa wa malaria. Ili mteja kuweza kupata taarifa hizo zinazohusisha jinsi ya kujikinga, tiba na masuala mengine mbalimbali ya Malaria anachopaswa mteja...

 

10 years ago

BBCSwahili

Pambano la watani wa jadi,Simba kidedea

Goli lililofungwa na mshambuliaji wa kimataifa kutoka Uganda, Emmanuel Okwi limeipa Simba ushindi wa 1-0 dhidi yaYanga

 

10 years ago

Michuzi

FC KILIMANJARO YAWABAMIZA WATANI WA JADI KENYA 6-1 KWENYE MECHI MAALUM YA AMANI NA UPENDO JIJINI STOCKHOLM, SWEDEN

Timu ya Tanzania, FC Kilimanjaro ambayo ni mabingwa wa soka la Afrika nchini Sweden imepata ushindi mnono wa mabao 6-1 dhidi ya watani wao wa jadi Kenya kwenye mechi maalum ya kirafiki ya Amani na Upendo iliyofanyika jijini Stockholm jana tarehe 11 Aprili, 2015
Mechi hiyo iliandaliwa kwa pamoja na Balozi za Kenya na Tanzania nchini Sweden kwa kushirikiana na wanadiaspora wa nchi hizo kwa madhumuni ya kuonyesha mshikamano na kuziombea nchi zetu amani na upendo kufuatia matukio ya kigaidi...

 

9 years ago

Mwananchi

TFF yazuia ushabiki ‘CCM, Ukawa’ mechi ya watani

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limewaonya mashabiki wa timu za Simba na Yanga kujihusisha na vitendo vya aina yoyote vyenye mrengo wa kisiasa katika pambano baina ya timu hizo Jumamosi.

 

10 years ago

GPL

Adui wa Yanga kuchezesha mechi ya watani

Mwamuzi  Israel Mujuni Nkongo. Khadija Mngwai na Wilbert Molandi
MECHI kubwa katika Ligi Kuu ya Bara kati ya timu kongwe pinzani nchini, Simba na Yanga, inatarajiwa kupigwa Oktoba 18, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa, gumzo ni kubwa lakini tayari Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemtaja mwamuzi atakayesimama katikati siku hiyo. Mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara inasubiriwa kwa hamu na habari ni kuwa, mwamuzi wa siku hiyo ni...

 

11 years ago

IPPmedia

TFF to rule on Wambura appeal in Simba poll


IPPmedia
TFF to rule on Wambura appeal in Simba poll
IPPmedia
The saga of the disqualified candidate Michael Wambura in the forthcoming Simba SC general election, scheduled for June 29, will be decided tomorrow by the Tanzania Football Federation (TFF). TFF Media Officer Boniface Wambura said in Dar es Salaam ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Pambano la watani wa jadi homa juu

Kuelekea mechi ya ligi kuu nchini Tanzania kati ya watani wa jadi , na mashabiki wapatao milioni 10 watakosa raha.

 

11 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani