Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FC KILIMANJARO YAWABAMIZA WATANI WA JADI KENYA 6-1 KWENYE MECHI MAALUM YA AMANI NA UPENDO JIJINI STOCKHOLM, SWEDEN

Timu ya Tanzania, FC Kilimanjaro ambayo ni mabingwa wa soka la Afrika nchini Sweden imepata ushindi mnono wa mabao 6-1 dhidi ya watani wao wa jadi Kenya kwenye mechi maalum ya kirafiki ya Amani na Upendo iliyofanyika jijini Stockholm jana tarehe 11 Aprili, 2015
Mechi hiyo iliandaliwa kwa pamoja na Balozi za Kenya na Tanzania nchini Sweden kwa kushirikiana na wanadiaspora wa nchi hizo kwa madhumuni ya kuonyesha mshikamano na kuziombea nchi zetu amani na upendo kufuatia matukio ya kigaidi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BONIFACE WAMBURA WA TFF AONGELEA MAANDALZI YA MECHI YA WATANI WA JADI YANGA NA SIMBA

Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Simba itakayochezwa Jumamosi (Oktoba 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ni sh. 7,000. Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na kijani ambavyo jumla yake ni 36,693 katika uwanja huo wenye viti 57,558. Viingilio vingine ni sh. 10,000 kwa viti vya rangi ya chungwa, sh. 20,000 kwa VIP B na C wakati VIP A itakuwa sh. 30,000. Tiketi zitakazotumika kwenye mechi hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

MWECHI YA WATANI WA JADI SIMBA NA YANGA JIJINI ABU DHABI LEO

Watanzania wanaoishi UAE, Dubai wameanda mechi kati ya Simba na Yanga Mtani jadi ambayo itaitwa "Union Cup Bonanza" ambapo mgeni rasmi atakuwa balozi wa Tanzania huko United Arab Emirates kutoka Abu Dhabi. Mechi itapigwa kwenye uwanja wa Al Ahly uliopo Dubai saa tatu usiku za huko, wachezaji wa timu zote mbili wanachezea timu ya watanzania wanaoishi UAE ambayo inajulikana kwa jina "TanzaniaTeamInUAE" Baada ya mechi kuisha mshindi atakabidhiwa zawadi na kikombe na wageni watapata nafasi ya...

 

10 years ago

Michuzi

KUTOKA KWA WATANI WA JADI: WAKUU WA SEKTA YA TEHAMA NCHINI KENYA WAKUTANA, WAHIMIZA USHIRIKIANO

Na Yusuph KileoKushirikiana katika maswala mbali mbali ili kuweza kufikia malengo ni jambo kubwa lililopata kusikika katika mkutano mkuu wa mwisho wa mwaka unaoendelea nchini Kenya unaojadili changamoto mbali mbali za sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano. 
Swala la usalama katika mitandao limepata kuangaliwa na changamoto mbali mbali katika mijadala Rasmi (Ndani ya Kikao) na isiyo rasmi (tuwapo nje ya ukumbi wa mkutano) zilipata kuangaliwa kwa ukaribu. 
Swala uhimu nililo jifunza ni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Pambano la watani wa jadi,Simba kidedea

Goli lililofungwa na mshambuliaji wa kimataifa kutoka Uganda, Emmanuel Okwi limeipa Simba ushindi wa 1-0 dhidi yaYanga

 

10 years ago

BBCSwahili

Pambano la watani wa jadi homa juu

Kuelekea mechi ya ligi kuu nchini Tanzania kati ya watani wa jadi , na mashabiki wapatao milioni 10 watakosa raha.

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

KENYA WAFA KIUME WAPIGWA 6-1 NA FC KILIMANJARO NCHINI SWEDEN

Timu ya Tanzania, FC Kilimanjaro ambayo ni mabingwa wa soka la Afrika nchini Sweden imepata ushindi mnono wa mabao 6-1 dhidi ya watani wao wa jadi Kenya kwenye mechi maalum ya kirafiki ya Amani na Upendo iliyofanyika jijini Stockholm jana tarehe 11 Aprili, 2015
Mechi hiyo iliandaliwa kwa pamoja na Balozi za Kenya na Tanzania nchini Sweden kwa kushirikiana na wanadiaspora wa nchi hizo kwa madhumuni ya kuonyesha mshikamano na kuziombea nchi zetu amani na upendo kufuatia matukio ya kigaidi...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Kuja na Filamu ya ‘Watani wa Jadi’ Wazee Tupu Ndani

Muigizaji na muongozaji wa filamu ambae pia anamiliki kampuni yake ya utenegezaje wa filamu ya Jerusalem, Jacob Stephen ‘JB’ amesema kwasasa wanafanya kazi mpya inayoitwa Watani wa Jadi ambayo itasheheni waigizaji wazee ambao ni wakali kwenye tasnia.

“New Project Yetu Inaitwa Watani Wa Jadi,Cast; Mzee Chimbeni Herry, Mzee Halikuniki,Mzee Chepuo,Bi Hindu Na Msichana Mmoja Bado Sijampata.Ni Movie Ya Wazee Tuone Swaga Zao.Itafanyika Zanzibar Kuanzia Wiki Ijayo”. JB alieleza.

Ngoja tuisubiri...

 

10 years ago

Michuzi

wimbo maalumu wa kumkaribisha JK Stockholm, Sweden

TZK tulifurahi sana kupata nafasi ya kutengeneza wimbo wa kumkaribisha Mh Dr. Jakaya Mrisho Kikwete 2015.
Tino Mhina - ProducerZoelina Mårsen - Singer and song  writer.Kennedy Mmbando - Singer and song writer/Fine artst

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani