KENYA WAFA KIUME WAPIGWA 6-1 NA FC KILIMANJARO NCHINI SWEDEN
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z1obvvsbdOA/VSpOY4KWTOI/AAAAAAAHQoI/Z3-_kGCIAHE/s72-c/DSC_0456.jpg)
Timu ya Tanzania, FC Kilimanjaro ambayo ni mabingwa wa soka la Afrika nchini Sweden imepata ushindi mnono wa mabao 6-1 dhidi ya watani wao wa jadi Kenya kwenye mechi maalum ya kirafiki ya Amani na Upendo iliyofanyika jijini Stockholm jana tarehe 11 Aprili, 2015
Mechi hiyo iliandaliwa kwa pamoja na Balozi za Kenya na Tanzania nchini Sweden kwa kushirikiana na wanadiaspora wa nchi hizo kwa madhumuni ya kuonyesha mshikamano na kuziombea nchi zetu amani na upendo kufuatia matukio ya kigaidi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HgkUUh4YM3c/VSpOYh-kGWI/AAAAAAAHQn8/s1UH-ttor38/s72-c/DSC_0454.jpg)
FC KILIMANJARO YAWABAMIZA WATANI WA JADI KENYA 6-1 KWENYE MECHI MAALUM YA AMANI NA UPENDO JIJINI STOCKHOLM, SWEDEN
![](http://1.bp.blogspot.com/-HgkUUh4YM3c/VSpOYh-kGWI/AAAAAAAHQn8/s1UH-ttor38/s1600/DSC_0454.jpg)
Mechi hiyo iliandaliwa kwa pamoja na Balozi za Kenya na Tanzania nchini Sweden kwa kushirikiana na wanadiaspora wa nchi hizo kwa madhumuni ya kuonyesha mshikamano na kuziombea nchi zetu amani na upendo kufuatia matukio ya kigaidi...
11 years ago
MichuziWANAHABARI KILIMANJARO WAPIGWA MSASA JUU YA MATUMIZI YA INTERNET KWA SHUGHULI ZA UANDISHI WA HABARI
9 years ago
BBCSwahili30 Nov
Maafisa wakuu wa riadha Kenya wapigwa marufuku
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UR9-piQpLoM/VD-u4NSGIaI/AAAAAAAGq5I/R4hSDWvxYfY/s72-c/MMGM1316.jpg)
WANAHABARI NCHINI WAPIGWA MSASA
![](http://4.bp.blogspot.com/-UR9-piQpLoM/VD-u4NSGIaI/AAAAAAAGq5I/R4hSDWvxYfY/s1600/MMGM1316.jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Jun
Ziara ya Rais Kikwete nchini Finland na Sweden
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge la nchi ya Finland Mhe Maria Lohela siku alipotembelea bunge la nchi hiyo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mahojiano na wanahabari jijini Helsinki, Finland.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akigonganisha glasi na Mari Kiviniemi, Waziri wa Masuala ya Nje wa Finland wakati wa dhifa iliyoandaliwa kwa hashima yake jijini Helsinki.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mabalozi wa sasa na wa zamani waliopata...
10 years ago
VijimamboWAMILIKI WA BLOGS NCHINI WAPIGWA MSASA
10 years ago
BBCSwahili07 Oct
Wapigwa na radi wakiomba nchini Colombia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNME9E4B5eKix22EVpiPsMfa7vJkl0HrPSNS2CeZa4ZEcD3aCUc1FzoatZGQt9UFreZ1VuiOP7TBxcqahCpfDIIs/fin3.jpg?width=650)
ZIARA YA RAIS KIKWETE NCHINI FINLAND NA SWEDEN