Wapigwa na radi wakiomba nchini Colombia
Watu saba nchini Colombia wamefariki baada ya kupigwa na radi wakiwa katika shughuli ya kidini Kaskazini mwa nchi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Oct
Wanafunzi 17 wapigwa radi
WANAFUNZI 17 wa kidato cha nne katika shule ya sekondari ya Kabuhoro wilayani Ilemela mkoani hapa, wamejeruhiwa na wengine kupata mshtuko kutokana na radi kubwa iliyopiga jana asubuhi.
10 years ago
CloudsFM02 Oct
WANAFUNZI WAPIGWA NA RADI WAKIWA SHULENI
WANAFUNZI 17 wa kidato cha nne katika shule ya sekondari ya Kabuhoro wilayani Ilemela mkoani hapa, wamejeruhiwa na wengine kupata mshtuko kutokana na radi kubwa iliyopiga jana asubuhi.
Wanafunzi hao walikimbizwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Sekou Toure, ambapo walipatiwa matibabu na hali zao zinaendelea vizuri.
Akizungumza kwa njia ya simu, Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola alithibitisha tukio hilo.
Alisema wanafunzi watatu hadi jana mchana walikuwa wakiendelea na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UR9-piQpLoM/VD-u4NSGIaI/AAAAAAAGq5I/R4hSDWvxYfY/s72-c/MMGM1316.jpg)
WANAHABARI NCHINI WAPIGWA MSASA
![](http://4.bp.blogspot.com/-UR9-piQpLoM/VD-u4NSGIaI/AAAAAAAGq5I/R4hSDWvxYfY/s1600/MMGM1316.jpg)
10 years ago
VijimamboWAMILIKI WA BLOGS NCHINI WAPIGWA MSASA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Z1obvvsbdOA/VSpOY4KWTOI/AAAAAAAHQoI/Z3-_kGCIAHE/s72-c/DSC_0456.jpg)
KENYA WAFA KIUME WAPIGWA 6-1 NA FC KILIMANJARO NCHINI SWEDEN
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z1obvvsbdOA/VSpOY4KWTOI/AAAAAAAHQoI/Z3-_kGCIAHE/s640/DSC_0456.jpg)
Mechi hiyo iliandaliwa kwa pamoja na Balozi za Kenya na Tanzania nchini Sweden kwa kushirikiana na wanadiaspora wa nchi hizo kwa madhumuni ya kuonyesha mshikamano na kuziombea nchi zetu amani na upendo kufuatia matukio ya kigaidi...
5 years ago
MichuziWANACHAMA WA SHIRIKA LA FORUMCC KUTOKA MBALIMBALI NCHINI WAPIGWA MSASA KUHUSU UTUMIAJI WA NISHATI MBADALA KATIKA KILIMO
Moja ya watalaam wa masuala ya kilimo biashara akielezea namna bora ya upandaji mgomba wakati wanachama wa FORUMCC walipokuwa kwenye ziara ya kimafunzo kutembelea katika moja ya shamba lililoko Chuo Kikuu cha Kilimo(SUA).
Baadhi ya wanachama wa FORUMCC ambao wako kwenye kwenye ziara ya kimafunzo mkoani Morogoro kujifunza namna ambavyo nishati jadidifu inavyoweza kutumika katika shughuli za kilimo kama njia mojawapo ya kukabilina na athari za mabadiliko ya tabianchi.Ziara hiyo ya kimafunzo...
9 years ago
VijimamboTGDC, TANESCO, WIZARA YA NISHATI NA MADINI WAPIGWA MSASA KUHUSU MIFUMO MBALIMBALI YA BIASHARA KWA SOKO LA JOTOARDHI NCHINI.
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Radi yaua wanafunzi watatu
WANAFUNZI watatu wa shule ya msingi wilayani Mpanda, Katavi wamefariki dunia kwa kupigwa na radi katika matukio mawili tofauti. Akielezea matukio hayo jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Dhahiri...
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Radi yaua mwanafunzi Mtumbya
MVUA za vuli zilizoambatana na upepo mkali na radi zinazoendelea kunyesha mkoani hapa, zimesababisha kifo cha mwanafunzi mmoja wa Shule ya Msingi Mtumbya iliyoko katika Kijiji cha Ujamaa Mtumbya wilayani...