Wanafunzi 17 wapigwa radi
WANAFUNZI 17 wa kidato cha nne katika shule ya sekondari ya Kabuhoro wilayani Ilemela mkoani hapa, wamejeruhiwa na wengine kupata mshtuko kutokana na radi kubwa iliyopiga jana asubuhi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM02 Oct
WANAFUNZI WAPIGWA NA RADI WAKIWA SHULENI
WANAFUNZI 17 wa kidato cha nne katika shule ya sekondari ya Kabuhoro wilayani Ilemela mkoani hapa, wamejeruhiwa na wengine kupata mshtuko kutokana na radi kubwa iliyopiga jana asubuhi.
Wanafunzi hao walikimbizwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Sekou Toure, ambapo walipatiwa matibabu na hali zao zinaendelea vizuri.
Akizungumza kwa njia ya simu, Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola alithibitisha tukio hilo.
Alisema wanafunzi watatu hadi jana mchana walikuwa wakiendelea na...
10 years ago
BBCSwahili07 Oct
Wapigwa na radi wakiomba nchini Colombia
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Radi yaua wanafunzi 6 na mwalimu
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Radi yaua wanafunzi watatu
WANAFUNZI watatu wa shule ya msingi wilayani Mpanda, Katavi wamefariki dunia kwa kupigwa na radi katika matukio mawili tofauti. Akielezea matukio hayo jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Dhahiri...
10 years ago
Habarileo24 Feb
Radi yaua mwalimu, wanafunzi sita
WATU saba wakiwamo wanafunzi sita wa darasa la nne katika shule ya msingi Nyakasanda na Mwalimu wa shule hiyo, Anderson Kibada wamekufa baada ya kupigwa na radi huku watu wengine 11 akiwemo Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Laurence Sesegwa (42) wakijeruhiwa.
10 years ago
Habarileo15 Apr
Radi yaua mwalimu, wanafunzi wake 6
WATU wanane wakiwemo wanafunzi sita wa shule ya msingi Kibirizi katika Manispaa ya Kigoma wamekufa baada ya kupigwana radi kufuatia mvua kubwa iliyokuwa ikinyesha kuanzia jana asubuhi hadi mchana.
10 years ago
Mtanzania15 Apr
Radi yaua wanafunzi sita darasani
NA EDITHA KARLO, KIGOMA
WATU nane wakiwamo wanafunzi sita wa Shule ya Msingi Kibirizi mkoani Kigoma, wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi.
Pamoja na vifo hivyo, wanafunzi wengine 15 wa shule hiyo walijeruhiwa vibaya.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa wa Kigoma, Maweni, Dk. Fadhili Kabaya alithibitisha kupokea miili ya marehemu pamoja na majeruhi.
Alisema tukio hilo, lilitokea jana saa 6 mchana wakati mvua kubwa iliyoambatana na radi ikinyesha.
“Tumepokea majeruhi 15 wa tukio hili,...
10 years ago
Vijimambo15 Apr
Radi yaua wanafunzi sita, mwalimu darasani.
![](http://www.whmentors.org/rpic/lightning001a.jpg)
Tukio hilo lilitokea jana saa 5:00 asubuhi katika Shule ya Msingi Kibirizi iliyopo kwenye manispaa hiyo.
KAULI YA MGANGA
Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa wa Kigoma ya Maweni, Dk. Fadhili Kibaya, alisema alipokea maiti za watu wanane zikiwamo za wanafunzi sita wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://lh4.ggpht.com/-35uMpvEVfIE/VC0Bk5n_ksI/AAAAAAAAdFs/ok9J7MpU2VE/s72-c/1_12.jpg)
Radi yawajeruhi wanafunzi 17 Wilayani Ilemela jijini Mwanza
![](http://lh4.ggpht.com/-35uMpvEVfIE/VC0Bk5n_ksI/AAAAAAAAdFs/ok9J7MpU2VE/s640/1_12.jpg)
Akizungumza na mwandishi wetu jana, Mwalimu wa mazingira wa shule hiyo, Humphrey Massawe, alisema tukio hilo lilitokea wakati wanafunzi hao wakiwa darasani huku mvua kubwa
ikiendelea...