Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAWASCO YAWATAKA WADAIWA SUGU WA MAJI KULIPA MADENI YAO


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Dawasco: Tumeikabidhi Serikali wadaiwa Sugu

Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (Dawasco), imekabidhi kwa Wizara ya Maji wadaiwa sugu 12 wa huduma ya maji kwa ajili ya kuchukuliwa hatua.

 

11 years ago

Mwananchi

Dawasco yataja wadaiwa sugu wa Sh40 bilioni

Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), imesema inawadai wateja sugu Sh40 bilioni huku ikiwataka kulipa madeni hayo ili kunusuru utendaji wake.

 

5 years ago

Michuzi

DC TANDAHIMBA AWATAKA WAKULIMA WALIOKOPA PEMBEJEO KULIPA MADENI YAO

 DC Waryuba akisistiza Jambo kwa wananchi.
 Wananchi wa Kijiji Cha  Mivanga wakimsikiliza DC Waryuba DC Waryuba (katikati) akiwa na wakuu wa Idara katika ziara yake ya kukagua shughuli mbalimbali za maendeleo katika Wilaya yake

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amewataka wakulima waliokopa  pembejeo kulipa madeni hayo ili waweze kukopeshwa Tena katika msimu mpya

Hayo ameyasema wakati akijibu swali la mkazi wa Mikuyuni kata ya Nambahu Mkalavachi Mkalavachi kwenye muendelezo wa ziara...

 

10 years ago

Michuzi

DAWASCO YAANZA NA OPERESHENI KATA MAJI KWA WATEJA WAO WENYE MADENI

SHIRIKA LA MAJISAFI NA MAJITAKA DAR ES SALAAM (DAWASCO) LINAHIMIZA WATEJA WAKE WOTE KATIKA JIJI LA DAR ES SALAAM, MIJI YA KIBAHA NA BAGAMOYO KULIPA BILI ZAO KWA WAKATI NA KABLA MWEZI HAUJAISHA.
MTEJA ULIYETUMIA HUDUMA YA MAJISAFI NA MAJITAKA, NENDA  SASA KALIPIE KABLA HUDUMA HIYO HAIJASITISHWA NA WAKAGUZI WANAOPITA NYUMBA KWA NYUMBA.
ZOEZI LA USITISHWAJI WA HUDUMA YA MAJI LIMEANZA RASMI NA LITAHUSISHA WAKAZI WOTE WANAOHUDUMIWA NA DAWASCO.
KUMBUKA PINDI UTAKAPOSITISHIWA HUDUMA HII GHARAMA YA...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadaiwa kuihujumu Dawasco

BAADHI ya wamiliki wa nyumba katika maeneo ya Salasala na Mbezi Beach, Dar es Salaam wamedaiwa kulihujumu Shirika la Majisafi na Majitaka (Dawasco) kwa kuuza maji kwa magari yanayosambaza huduma...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali kulipa madeni ya wakulima wa mahindi

>Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi ameahidi kulipa deni la Sh5.7 bilioni inalodaiwa na wakulima wa mahindi.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yaanza kulipa madeni ya walimu

Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, imeanza kulipa madeni ya walimu yanayofikia Sh162.1 milioni.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yataja mikakati ya kulipa madeni ya walimu

SERIKALI imeweka bayana mikakati yake ya kukabiliana na deni la walimu, ambao ni sehemu kubwa ya watumishi wake.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yapata sh. bilioni 15 za kulipa madeni ya Mahindi

5

SERIKALI Serikali imepata mkopo wa sh. bilioni 15 ambazo zitatumika kulipa kiasi cha madeni ya mazao ya nafaka ambayo wakulima wanaidai kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA).

Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa nyakati tofauti wakati akizungumza na wananchi wa Mkoa wa Iringa akiwa kwenye ziara ya kikazi ya kukagua maendeleo katika mkoa huo.

Akizungumza na wananchi mara baada ya kukagua Chama cha Ushirika cha Akiba na Mikopo (SACCOS) cha Mazombe kilichopo Ilula...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani