Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAWASCO YAANZA NA OPERESHENI KATA MAJI KWA WATEJA WAO WENYE MADENI

SHIRIKA LA MAJISAFI NA MAJITAKA DAR ES SALAAM (DAWASCO) LINAHIMIZA WATEJA WAKE WOTE KATIKA JIJI LA DAR ES SALAAM, MIJI YA KIBAHA NA BAGAMOYO KULIPA BILI ZAO KWA WAKATI NA KABLA MWEZI HAUJAISHA.
MTEJA ULIYETUMIA HUDUMA YA MAJISAFI NA MAJITAKA, NENDA  SASA KALIPIE KABLA HUDUMA HIYO HAIJASITISHWA NA WAKAGUZI WANAOPITA NYUMBA KWA NYUMBA.
ZOEZI LA USITISHWAJI WA HUDUMA YA MAJI LIMEANZA RASMI NA LITAHUSISHA WAKAZI WOTE WANAOHUDUMIWA NA DAWASCO.
KUMBUKA PINDI UTAKAPOSITISHIWA HUDUMA HII GHARAMA YA...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

DAWASCO YAANZA OPERESHENI WIZI WA MAJI-RUHEMEJA.

 Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii Kampuni ya Majisafi na Majitaka  Dar es Salaam(Dawasco)imeanza rasmi  operesheni kuwakamata watu waliojiunganishia maji kwa njia haramu. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Afisa Mtendaji Mkuu wa Dawasco,Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema operesheni hiyo itafanyika kanda zote za jiji la Dar es Salaam ikiwa ni kutaka jamii kuacha kuacha tabia hiyo. Amesema kuwa wizi wa maji unafanya watu ambao ndio wateja wa Dawasco kukosa maji na...

 

10 years ago

Michuzi

DAWASCO YAINGIA MTAAANI KUDAI WATEJA WAO

Shirika la Majisafi na Majitaka limeanza operesheni kata Maji katika jiji la Dar kufuatia madeni sugu yanayodaiwa wateja kufikia zaidi ya billion 44 zinazowahusisha taasisi mbalimbali za serikali, watumiaji wa majumbani na wafanyabiashara mbalimbali.
Akizungumza na gazeti hili, Ofisa Uhusiano wa Dawasco, Bi Everlasting Lyaro alisema operesheni hiyo inatarajiwa kuanza mapema wiki ijayo na lengo kuu ni kuweza kupata fedha hizo ambazo ni malimbikizo ya muda mrefu.
“operesheni hii itaanza wiki...

 

10 years ago

Michuzi

UTARATIBU MPYA WA KUPATA BILI KWA WATEJA WA DAWASCO

SHIRIKA LA MAJI SAFI NA MAJITAKA DAR-ES-SALAAM (DAWASCO),  LINAWATANGAZIA  WAKAZI WA JIJI LA DAR-ES-SALAAM NA MJI WA BAGAMOYO MKOANI PWANI  KUWA, UTARATIBU WA KUPATA BILI KWA MTEJA UMEBADILIKA KUTOKA “SPOT BILL” KWENDA “SPOT SMS” KUANZIA  JULAI 2015.
UTARATIBU HUU UNAMAANISHA KUWA MTEJA ATAKUWA AKIPATIWA BILL YAKE YA MATUMIZI YA MAJI KILA MWEZI KUPITIA SIMU YAKE YA MKONONI, NA UTALENGA WATEJA WA MAJUMBANI TU NA HAUTAHUSISHA KAMPUNI NA TAASISI ZA SERIKALI.
FAIDA ZA UTARATIBU HUU NI PAMOJA NA...

 

5 years ago

Michuzi

Stanbic Tanzania yatoa afueni ya madeni kwa wateja zaidi ya 265

Kufuatia athari za kiuchumi zilizosababishwa na mlipuko wa ugonjwa wa kirusi cha Corona (COVID-19) benki ya Stanbic Tanzania imetangaza kutoa unafuu wa malipo ya mikopo kwa wateja wake kwa muda wa miezi 3 hadi 6. Afueni hiyo ya malipo iliyoanza mwezi Aprili ikilenga sekta ya utalii pekee, hivi sasa imeongezwa na kulenga sekta zingine kama vile usafirishaji, nishati na wafanyabiashara wa kati na wadogo. 
Hatua hiyo ni sehemu ya mikakati endelevu yenye lengo la kuwawezesha wateja wa benki hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

DAWASCO yawaomba radhi wakazi wote wa jiji la Dar na mji wa Bagamoyo kwa kukosekana kwa huduma ya maji

DAWASCO inaomba radhi wakazi wote wa jiji la Dar es salaam na Mji wa Bagamoyo kwa kukosekana kwa huduma ya Maji kutoka katika mtambo wa kuzalisha Maji wa Ruvu Chini kwa wastani wa saa 72 kwa siku za Ijumaa hadi Jumatatu ya tarehe 28, 29  na 30 November 2014. 
Kukosekana kwa huduma hii kulitokana na kazi ya mkandarasi (Sino-hydro Corporation ltd) kuunganisha bomba la zamani na bomba jipya (cross-connection) katika mtambo wa Ruvu Chini eneo la Mpiji, Bagamoyo na eneo la Chuo Kikuu Ardhi...

 

9 years ago

Michuzi

DAWASCO YATANGAZA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MAJI JIJINI DAR

Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO), limetangaza tatizo la upatikanaji wa huduma ya Maji katika maeneo yote yanayohudumiwa na mtambo wa kuzalisha Maji wa Ruvu chini pamoja na baadhi ya maeneo ya Mji wa Bagamoyo mkoani Pwani kutokana  na mtambo huo kuzimwa kwa wastani saa 24 siku ya Jumapili tarehe 13/12/2015.
Sababu ya kuzimwa kwa mtambo huo ni  kuruhusu kufanya matengenezo na maboresho ya njia kubwa ya Maji inayohudumia eneo la Salasala na viunga vyake vyote.
Akiongea na...

 

9 years ago

Michuzi

DAWASCO YATANGAZA KUANZA KUTUMIKA KWA BEI MPYA YA MAJI JIJINI DAR

Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam,(DAWASCO), limeanza rasmi kutumia bei zake mpya za ankara ya Maji, ikiwa ni siku chache tu baada  ya Mamlaka ya Udhibiti wa huduma ya  Nishati na Maji (EWURA) kupitisha  mapendekezo ya kupandisha gharama hizo zilizotolewa na Mamlaka ya Majisafi na Majitaka (DAWASA) ili kusaidia kuboresha  huduma ya Majisafi na salama jijini Dar es salaam, Kibaha, na Bagamoyo mkoani Pwani.
Gharama hizo mpya ambazo zimeanza rasmi kutumika Disemba 01, zimepanda...

 

10 years ago

Michuzi

DAWASCO YATANGAZA KUKOSEKANA HUDUMA YA MAJI KWA SIKU MBILI JIJINI DAR

Dawasco inawatangazia wakazi wote wa jiji la Dar es salaam na Mji wa Bagamoyo kuwa mtambo wa kuzalisha Maji wa Ruvu Chini utazimwa kwa wastani wa saa 48 kwa siku za Ijumaa na Jumamosi ya tarehe 23 na 24 Januari 2015, kuanzia saa kumi na mbili asubuhi, ili kuruhusu mkandarasi (Sino-hydro Corporation ltd) kuunganisha bomba la zamani na bomba jipya (Cross-connection) ndani ya Mtambo wa Ruvu Chini, Bagamoyo. 
Kuzimwa kwa mtambo wa Ruvu Chini kutasababisha maeneo yafuatayo kukosa Maji; Mji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani