DAWASCO YAINGIA MTAAANI KUDAI WATEJA WAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-wVaebwvizh4/VA7HuC89DfI/AAAAAAAGiM4/if27rs7ltPo/s72-c/Picture%2B3840.jpg)
Shirika la Majisafi na Majitaka limeanza operesheni kata Maji katika jiji la Dar kufuatia madeni sugu yanayodaiwa wateja kufikia zaidi ya billion 44 zinazowahusisha taasisi mbalimbali za serikali, watumiaji wa majumbani na wafanyabiashara mbalimbali.
Akizungumza na gazeti hili, Ofisa Uhusiano wa Dawasco, Bi Everlasting Lyaro alisema operesheni hiyo inatarajiwa kuanza mapema wiki ijayo na lengo kuu ni kuweza kupata fedha hizo ambazo ni malimbikizo ya muda mrefu.
“operesheni hii itaanza wiki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nMS_o1_203U/VVrvBN3OIYI/AAAAAAAHYMc/qjKG1mzM4Js/s72-c/Untitledn.png)
DAWASCO YAANZA NA OPERESHENI KATA MAJI KWA WATEJA WAO WENYE MADENI
![](http://2.bp.blogspot.com/-nMS_o1_203U/VVrvBN3OIYI/AAAAAAAHYMc/qjKG1mzM4Js/s640/Untitledn.png)
MTEJA ULIYETUMIA HUDUMA YA MAJISAFI NA MAJITAKA, NENDA SASA KALIPIE KABLA HUDUMA HIYO HAIJASITISHWA NA WAKAGUZI WANAOPITA NYUMBA KWA NYUMBA.
ZOEZI LA USITISHWAJI WA HUDUMA YA MAJI LIMEANZA RASMI NA LITAHUSISHA WAKAZI WOTE WANAOHUDUMIWA NA DAWASCO.
KUMBUKA PINDI UTAKAPOSITISHIWA HUDUMA HII GHARAMA YA...
10 years ago
Habarileo08 Sep
Dawasco yadai wateja bil. 40/-
MAMLAKA ya Maji Safi na Maji Taka (Dawasco) imesema inadai zaidi ya Sh bilioni 40 kutoka kwa wateja sugu, waliolimbikiza madeni yao ya maji ya kila mwezi.
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Wateja waitaka Dawasco kuboresha huduma zake
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-j6SJsGkDYfY/VZ1zPC3ze8I/AAAAAAAHn14/UOWX1B9H6wI/s72-c/UntitledM.png)
UTARATIBU MPYA WA KUPATA BILI KWA WATEJA WA DAWASCO
![](http://3.bp.blogspot.com/-j6SJsGkDYfY/VZ1zPC3ze8I/AAAAAAAHn14/UOWX1B9H6wI/s640/UntitledM.png)
UTARATIBU HUU UNAMAANISHA KUWA MTEJA ATAKUWA AKIPATIWA BILL YAKE YA MATUMIZI YA MAJI KILA MWEZI KUPITIA SIMU YAKE YA MKONONI, NA UTALENGA WATEJA WA MAJUMBANI TU NA HAUTAHUSISHA KAMPUNI NA TAASISI ZA SERIKALI.
FAIDA ZA UTARATIBU HUU NI PAMOJA NA...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-yvKlcjpyjgA/VB5oluf5OCI/AAAAAAAGkz0/NbN53epdJx4/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
E FM 93.7 yaingia Bagamoyo kwa kishindo na kupokelewa na mabango ya wasilikilizaji wao.
![](http://4.bp.blogspot.com/-yvKlcjpyjgA/VB5oluf5OCI/AAAAAAAGkz0/NbN53epdJx4/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Jul
DTB yafutarisha wateja wao Zanzibar
![IMG_4057](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_4057.jpg)
Mgeni rasmi na viongozi wengini na wananchi wakipata futari maalumu ilioandaliwa na DTB Tawi la Zanzibar kwa wateja wao kujumuika pamoja iliofanyika katika viwanja vya hoteli ya serena shangani Zanzibar.
10 years ago
VijimamboDTB YAFUTARISHA WATEJA WAO ZENJ
10 years ago
Mwananchi14 Nov
‘Kampuni za simu nchini zinawaibia wateja wao’
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-leA9E4wxKJ4/Xq1o588RrbI/AAAAAAALo1g/LRIxoDUkNC0cdOE7Cz6g3g3EH38J7HNZACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200502-WA0163.jpg)
PICNIC ILIVYOJIPANGA KUWALINDA WATEJA WAO NA UGONJWA WA CORONA
Uongozi wa bar maarufu ya picnic iliyopo katikati ya jiji la Arusha umeelezea mikakati mbalimbali ambayo wanaitekeleza kipindi hiki katika kupambana na janga la ugonjwa hatari wa Corona.
Akizungumza na waandishi wa habari Meneja wa bar hiyo, Bodia Kaaya alisema kwamba kufuatia janga la corona wao kama watoa huduma wamechukua hatua mbalimbali ikiwemo kuhakikisha wahudumu wao wanavaa barakoa muda wote wakati wa kutoa huduma.
Kaaya,alisema kwamba mbali na barakoa...