Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wadaiwa kuihujumu Dawasco

BAADHI ya wamiliki wa nyumba katika maeneo ya Salasala na Mbezi Beach, Dar es Salaam wamedaiwa kulihujumu Shirika la Majisafi na Majitaka (Dawasco) kwa kuuza maji kwa magari yanayosambaza huduma...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Dawasco: Tumeikabidhi Serikali wadaiwa Sugu

Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (Dawasco), imekabidhi kwa Wizara ya Maji wadaiwa sugu 12 wa huduma ya maji kwa ajili ya kuchukuliwa hatua.

 

11 years ago

Mwananchi

Dawasco yataja wadaiwa sugu wa Sh40 bilioni

Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), imesema inawadai wateja sugu Sh40 bilioni huku ikiwataka kulipa madeni hayo ili kunusuru utendaji wake.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Itunzeni miradi acheni kuihujumu’

>Wananchi wilayani Bariadi wametakiwa kuitunza na kuilinda miradi mbalimbali ya maendeleo inayopelekwa katika vijiji na kata zao ili iweze kuwanufaisha kwa muda mrefu badala ya kuihujumu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Washikiliwa kwa kuihujumu Tanesco Morogoro

WATU watatu wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kuhujumu miundombinu ya nyara za serikali ikiwemo nyaya za shirika la Ugavi la umeme Tanzania, (Tanesco). Kamanda wa Polisi Mkoa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania itapata nini kwa kuihujumu Rwanda?

Serikali mwishoni mwa wiki ililazimika kukanusha vikali habari iliyochapishwa na gazeti la Serikali ya Rwanda kwamba Rais Jakaya Kikwete anavisaidia vikundi vya waasi nchini humo kuihujumu Serikali ya Rais Paul Kagame.

 

11 years ago

Michuzi

RAIA WAWILI WA ROMANIA KOTINI KWA KUIHUJUMU TCRA


Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Mahakamani

WATU wawili raia wa Romania wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na kesi ya Uhujumu Uchumi ikiwemo udanganyifu,kutumia kadi zisizosajiliwa, kuingiza nchini na kutumia mitambo ya simu bila kibali, kutoa huduma ya mawasiliano ya kimataifa bila kibali cha Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kuisababishia hasara ya Sh. Bilioni 2.1 Mamlaya ya Mawasiano Tanzania (TCRA).
Washtakiwa hao ni, Meneja...

 

10 years ago

Dewji Blog

Baadhi ya vigogo Simba, Yanga watajwa Kuihujumu Taifa Stars

taifa-stars-640x360

Kikosi cha Taifa stars.

Na Mwandishi wetu

SIRI za kushindwa kwa timu ya soka ya taifa kufuzu katika michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON).

Siri hiyo ya kukwama kwa timu ya taifa kwenye michuano ya (AFCON), inadaiwa kutokana na   hujuma zilizofanywa na kundi la watu wachache kwa lengo la kumwonesha Rais wa TFF, Jamal Malinzi hawezi kuongoza shirikisho hilo na kuipa mafanikio Stars.

Wahujumu hao wa soka nchini, wanadaiwa kutoka katika vilabu vikubwa vya soka nchini ambao kwa sasa majina yao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dawasco yatahadharisha wananchi

WANANCHI wameshauriwa kufuata kanuni na taratibu sahihi za upatikanaji wa huduma za maji, ili kujiepusha na utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wenye lengo la kuharibu jina la Shirika la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani