Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dawasco yatahadharisha wananchi

WANANCHI wameshauriwa kufuata kanuni na taratibu sahihi za upatikanaji wa huduma za maji, ili kujiepusha na utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wenye lengo la kuharibu jina la Shirika la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TMA yatahadharisha wananchi kuhusu ongezeko la joto, Mvua kubwa isiyotabirika yaja, TMA yatahadharisha wananchi

Dar es Salaam. Mvua kubwa isiyotabirika inatarajiwa kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hasa katika ukanda wa Pwani ya Kaskazini, maeneo ya Dar es Salaam, Tanga, Unguja na Pemba; pia katika ukanda wa Kaskazini Mashariki kwa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara.Akitoa taarifa ya hali ya hewa jana kwa Januari na Februari mwaka ujao, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk Agness Kijazi alisema mvua ya msimu katika maeneo hayo inatarajiwa kwisha leo.Hata hivyo,...

 

10 years ago

Mwananchi

TMA yatahadharisha wananchi kuhusu ongezeko la joto

Mvua kubwa isiyotabirika inatarajiwa kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hasa katika ukanda wa Pwani ya Kaskazini, maeneo ya Dar es Salaam, Tanga, Unguja na Pemba; pia katika ukanda wa Kaskazini Mashariki kwa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara.

 

9 years ago

Global Publishers

Polisi Yatahadharisha Wananchi Kuhusu Mkesha wa Mwaka Mpya

TAARIFA YA JESHI LA POLISI KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TAHADHARI KATIKA MKESHA WA MWAKA MPYA

Tunapoelekea kumaliza mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2016, wananchi hutumia muda huo kwenda katika nyumba za ibada ama kusherekea katika maeneo mbalimbali ya starehe, ambapo uzoefu unaonyesha kuwa baadhi ya watu hupenda kutumia fursa hiyo kufanya vitendo vinavyohatarisha usalama wa raia mali zao.

Jeshi la Polisi nchini, limejipanga vizuri katika mikoa yote kwa kushirikiana na vyombo...

 

10 years ago

Mwananchi

Bawacha yatahadharisha wagombea

Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) limewatahadharisha wagombea wa uongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuwa makini ili kuepuka kuingia katika mgogoro wa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakala wa Vipimo yatahadharisha wanunuzi

OFISA Vipimo wa Mkoa wa Kinondoni, Dar es Salaam, Hashimu Athumani, amewatahadharisha wanunuzi wa bidhaa kuwa makini na hila zinazofanywa na wafanyabiashara kuharibu vipimo kwa ajili ya kujiongezea faida, hali...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YATAHADHARISHA ‘TEGESHA’ NYAMONGO










Mthamini Mkuu wa Serikali Evelyne Mugasha akizungumza wakati wa utoaji notisi ya kusitisha maendelezo katika kijiji cha Komorea eneo la Nyamongo wilayani Tarime mkoa wa Mara mwishoni mwa wiki kupisha shughuli za uchimbaji madini katika mgodi wa Barrick North Mara. Kushoto kwa Evelyne ni Mkuu wa Wilaya ya Tarime Injinia Mtemi Msafiri na kushoto ni Katibu Tawala wilaya John Marwa



Mthamini Mkuu wa Serikali Evelyne Mugasha akizungumza wakati wa utoaji notisi ya kusitisha maendelezo katika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TMA yatahadharisha upepo, mawimbi

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo kwa upepo mkali na mawimbi makubwa baharini kuanzia Septemba 1 hadi 2 mwaka huu. Tahadhari hiyo ilitolewa jana kupitia...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yatahadharisha kuhusu ugonjwa wa Dengue

Serikali jijini Dar es Salaam imetoa tahadhari kuhusu kuwepo kwa dalili za kufumuka kwa ugonjwa wa Dengue katika kipindi hiki cha mvua, huku ikiwataka wananchi wanaoishi mabondeni kuhama maeneo yao ili kunusuru maisha yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TMA yatahadharisha uwepo mvua mkubwa

MAMLAKA ya Hali ya Hewa (TMA) imetahadharisha kuwepo kwa mvua kubwa inayozidi mililita 50 ndani ya saa 24 kuanzia Machi 5 hadi Machi 7, mwaka huu. Tahadhari ya mvua hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani