Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI YATAHADHARISHA ‘TEGESHA’ NYAMONGO










Mthamini Mkuu wa Serikali Evelyne Mugasha akizungumza wakati wa utoaji notisi ya kusitisha maendelezo katika kijiji cha Komorea eneo la Nyamongo wilayani Tarime mkoa wa Mara mwishoni mwa wiki kupisha shughuli za uchimbaji madini katika mgodi wa Barrick North Mara. Kushoto kwa Evelyne ni Mkuu wa Wilaya ya Tarime Injinia Mtemi Msafiri na kushoto ni Katibu Tawala wilaya John Marwa



Mthamini Mkuu wa Serikali Evelyne Mugasha akizungumza wakati wa utoaji notisi ya kusitisha maendelezo katika...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Serikali yatahadharisha kuhusu ugonjwa wa Dengue

Serikali jijini Dar es Salaam imetoa tahadhari kuhusu kuwepo kwa dalili za kufumuka kwa ugonjwa wa Dengue katika kipindi hiki cha mvua, huku ikiwataka wananchi wanaoishi mabondeni kuhama maeneo yao ili kunusuru maisha yao.

 

9 years ago

GPL

SERIKALI YATAHADHARISHA VYOMBO VYA HABARI NA MATOKEO BATILI YA UCHAGUZI MKUU


Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo), Assah Mwambene (kulia) akizungumza na wanahabari.
Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.
Mkutano ukiendelea.…

 

10 years ago

Vijimambo

TMA yatahadharisha wananchi kuhusu ongezeko la joto, Mvua kubwa isiyotabirika yaja, TMA yatahadharisha wananchi

Dar es Salaam. Mvua kubwa isiyotabirika inatarajiwa kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hasa katika ukanda wa Pwani ya Kaskazini, maeneo ya Dar es Salaam, Tanga, Unguja na Pemba; pia katika ukanda wa Kaskazini Mashariki kwa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara.Akitoa taarifa ya hali ya hewa jana kwa Januari na Februari mwaka ujao, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk Agness Kijazi alisema mvua ya msimu katika maeneo hayo inatarajiwa kwisha leo.Hata hivyo,...

 

11 years ago

Mwananchi

Nyamongo wataka kufanya ya Mtwara

Wananchi wa Nyamongo, Wilaya ya Tarime, wamesema kitendo cha Mgodi wa North Mara kutaka kuanza kuchimba madini chini kwa chini kutasababisha wananchi kunyimwa fidia zao kwa sababu mgodi hautakuwa tayari kuwalipa fidia.

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI ATIKISA NYAMONGO NA TARIME, MKOANI MARA

  Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM Dkt. Jonh Pombe Magaufuli akinani sera zake Nyamongo mkoani Mara.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dawasco yatahadharisha wananchi

WANANCHI wameshauriwa kufuata kanuni na taratibu sahihi za upatikanaji wa huduma za maji, ili kujiepusha na utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wenye lengo la kuharibu jina la Shirika la...

 

10 years ago

Mwananchi

Bawacha yatahadharisha wagombea

Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) limewatahadharisha wagombea wa uongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuwa makini ili kuepuka kuingia katika mgogoro wa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakala wa Vipimo yatahadharisha wanunuzi

OFISA Vipimo wa Mkoa wa Kinondoni, Dar es Salaam, Hashimu Athumani, amewatahadharisha wanunuzi wa bidhaa kuwa makini na hila zinazofanywa na wafanyabiashara kuharibu vipimo kwa ajili ya kujiongezea faida, hali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani