Nyamongo wataka kufanya ya Mtwara
Wananchi wa Nyamongo, Wilaya ya Tarime, wamesema kitendo cha Mgodi wa North Mara kutaka kuanza kuchimba madini chini kwa chini kutasababisha wananchi kunyimwa fidia zao kwa sababu mgodi hautakuwa tayari kuwalipa fidia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziDiamond na Wema kuhamia Mtwara, kufanya shoo ya nguvu Mei 2, 2014 MAKONDE CLUB
Shoo hiyo ya kipekee na ya aina yake italetwa na si mwingine bali ni mkali wa muziki wa bongo flava nchini anayepasua anga ya Afrika ya Mashariki kwa sasa kupitia vibao vyake vitamu kama vile cha My Number One remix alichomshirikisha msanii Davido kutoka nchini Nigeria, Raisi wa wasafi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ihINSPsK56A/XtNzKm3fOrI/AAAAAAALsGg/60ZPGi028Mc7zauKdexLrddRBngCizwSQCLcBGAsYHQ/s72-c/1AAA-2.jpg)
SERIKALI YATAHADHARISHA ‘TEGESHA’ NYAMONGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-ihINSPsK56A/XtNzKm3fOrI/AAAAAAALsGg/60ZPGi028Mc7zauKdexLrddRBngCizwSQCLcBGAsYHQ/s640/1AAA-2.jpg)
Mthamini Mkuu wa Serikali Evelyne Mugasha akizungumza wakati wa utoaji notisi ya kusitisha maendelezo katika kijiji cha Komorea eneo la Nyamongo wilayani Tarime mkoa wa Mara mwishoni mwa wiki kupisha shughuli za uchimbaji madini katika mgodi wa Barrick North Mara. Kushoto kwa Evelyne ni Mkuu wa Wilaya ya Tarime Injinia Mtemi Msafiri na kushoto ni Katibu Tawala wilaya John Marwa
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2AA-1024x604.jpg)
Mthamini Mkuu wa Serikali Evelyne Mugasha akizungumza wakati wa utoaji notisi ya kusitisha maendelezo katika...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Magufuli-nyamongo-1.jpg?width=650)
MAGUFULI ATIKISA NYAMONGO NA TARIME, MKOANI MARA
  Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM Dkt. Jonh Pombe Magaufuli akinani sera zake Nyamongo mkoani Mara.…
10 years ago
Vijimambo25 Jan
HII NAYO KALI KUTOKA MTWARA: ETI WAZUNGU WAFANYIWA TAMBIKO BAADA YA MITAMBO KUGOMA KUFANYA KAZI
![](http://api.ning.com/files/VKfK12aD*TXpH1MiWBVN6vaAsDK9RMB6DfVrL9qM*if2kYNZKVtpADLOqHl4k4i64d6vu6DmKWdgOUIenL7cc-gs-Iqchelp/MTWARA....jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/VKfK12aD*TXSxGDGSDlRTKMkiQlLQ*od7zcn2aAK4epgi*34r6AgVn1J4MJDUl1U6J8gUgEuIKzg7zsdzZMruSFxP2ese2Gc/TAMBIKO.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/VKfK12aD*TUYN1h-74iQDgOsv6foSifL0-v56nHKwO18MY0ATU-luw7nE5qZyZj3YiWiCcyOFS9UtSAJdleLEPqaui7RKMOx/TAMBIKO2.jpg?width=650)
Za kitaa kutoka Mtwara zinadai kuwa bibi mmoja aliyeitisha Serikali kuwa ikifanya mchezo na haki za watu wa mkoa huo atabadili gesi kuwa maji, amewapigia tambiko Wafaransa wazungu wa Kampuni ya uchimbaji wa visima vya...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/oP695En_vf8/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kGp4v1DzLWw/U6MVqg1fB4I/AAAAAAAFrzU/JWqnuGo0NDE/s72-c/unnamed+(27).jpg)
Mtwara Festival kufanyika Agosti 16-17, 2014 kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara.
![](http://1.bp.blogspot.com/-kGp4v1DzLWw/U6MVqg1fB4I/AAAAAAAFrzU/JWqnuGo0NDE/s1600/unnamed+(27).jpg)
Bw. Anic Kashasha, Mwenyekiti Mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali Tanzania Creative Industries Network (TACIN) ya Dar es Salaam, nilikuwa ninahutubia mkutano wa waandishi wahabari kwenye ukumbi wa Safari Lounge, mjini Mtwara, juu ya kuanzisha Mtwara Festival, utakaofanyika tarehe 16 - 17 Agosti, 2014 kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona,Mtwara.
Mtwara Festival imeandaliwa kwa kushirikiana na washirika wakuu na wadhamini wa TACIN, Shirika la maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Huu ni...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB09 Jan
“Azimio la Mtwara” Speech by Zitto Kabwe: Mtwara, 31-12-14
View this document on Scribd
!["Azimio la Mtwara" tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba](https://zittokabwe.files.wordpress.com/2014/12/012.jpg?w=674&h=346)
PICHA
!["Azimio la Mtwara" tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba](https://zittokabwe.files.wordpress.com/2014/12/012.jpg?w=674&h=346)
“Azimio la Mtwara” tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba
![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3444&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4zse40b1aWM/U77l1lCQH6I/AAAAAAAF0nA/m0rKPRSjI0k/s72-c/pinda1504.jpg)
Wakazi wa Mtwara na Lindi kushuhudia fursa za Utalii na Uchumi kupitia Tamasha la Utamaduni la Mtwara,Waziri mkuu pinda kuwa mgeni rasmi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4zse40b1aWM/U77l1lCQH6I/AAAAAAAF0nA/m0rKPRSjI0k/s1600/pinda1504.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Tamasha la Mkoa wa Mtwara, ‘Mtwara Festival’, linatarajia kufungua milango ya fursa kwa wakazi wa mikoa ya Mtwara na Lindi katika kuziona fursa kadhaa kwenye sekta ya Utalii na Uchumi.Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika kwa siku mbili kuanzia mwezi Agosti 16 na 17 mwaka huu kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona ulipo Mtwara mjini. Mgeni rasmi katika Tamasha hilo anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda huku likiwa na kauli mbiu isemayo ‘Fursa Zimefunguka,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania