Diamond na Wema kuhamia Mtwara, kufanya shoo ya nguvu Mei 2, 2014 MAKONDE CLUB
Wakazi wa kusini mwa Tanzania yaani mkoa wa Mtwara wametakiwa kukaa mkao wa kula burudani ya nguvu ya muziki itapigwa moja kwa moja jukwaani siku ya tarehe 2 ya mwezi wa Mei katika ukumbi wa Makonde Club.
Shoo hiyo ya kipekee na ya aina yake italetwa na si mwingine bali ni mkali wa muziki wa bongo flava nchini anayepasua anga ya Afrika ya Mashariki kwa sasa kupitia vibao vyake vitamu kama vile cha My Number One remix alichomshirikisha msanii Davido kutoka nchini Nigeria, Raisi wa wasafi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6aneFCmzf60h-uQQD1Xyk5jIkROGJ*5fWi7a2DyKOZN7jFobNRI864K8SNhI07HYBM39o1wQXod4EGdYkEjNlye/wemanadiamond.jpg)
DIAMOND NA WEMA KUHAMIA MTWARA
10 years ago
VijimamboTWANGA PEPETA WAFANYA SHOO YA NGUVU CLUB YA MAISHA JIJINI DAR
10 years ago
GPLTWANGA PEPETA WAFANYA SHOO YA NGUVU CLUB YA MAISHA JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo26 Sep
TWANGA PEPETA WAFANYA SHOO YA NGUVU KWENYE CLUB YA MAISHA JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog26 Sep
Twanga Pepeta wafanya shoo ya nguvu Maisha Club usiku wa kuamkia leo jijini Dar
Kiongozi na mwimbaji wa bendi ya ‘Twanga Pepeta, Luiza Mbutu (wa pili kutoka kulia), akiwa na Kalala Junior (wa pili kutoka kushoto) pamoja na Haji Ramadhani (wa kwanza kulia) wakitoa burudani kwa mashabiki wao kwenye shoo iliyofanyika club ya Maisha jijini Dar
Waimbaji wa Twanga Pepeta wakitoa burudani kwenye shoo iliyofanyika kwenye club ya Maisha jijini Dar usiku wa kuamkia leo.
Kiongozi na mwimbaji wa bendi ya ‘Twanga Pepeta, Luiza Mbutu akicheza moja ya nyimbo zao kwenye...
11 years ago
GPLDIAMOND AGONGA SHOO YA NGUVU, AWEKA HISTORIA NEW JERSEY NCHINI MAREKANI
10 years ago
Vijimambo![](https://lh6.googleusercontent.com/-fB20VU6QCi8/VCZww_scN1I/AAAAAAAAHRg/FHEgLePizg4/s72-c/8.jpeg%20cursor:%20pointer;)
Diamond afunguka na kuhusu ishu ya kumtema Wema na kuhamia kwa Menina, hiki ndo alichokisema...
Diamond afunguka na kuhusu ishu ya kumtema Wema na kuhamia kwa Menina, hiki ndo alichokisema...
![](https://lh6.googleusercontent.com/-fB20VU6QCi8/VCZww_scN1I/AAAAAAAAHRg/FHEgLePizg4/8.jpeg%20cursor:%20pointer;)
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Diamond, Wema kuiteka Mtwara leo
NYOTA wa muziki wa Bongo flava nchini, Diamond Platnum ameahidi makubwa kwa mashabiki wake wa Mtwara katika onesho litakalofanyika leo kwenye Ukumbi wa Makonde Club, mjini humo. Katika shoo hiyo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10