DIAMOND NA WEMA KUHAMIA MTWARA
![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6aneFCmzf60h-uQQD1Xyk5jIkROGJ*5fWi7a2DyKOZN7jFobNRI864K8SNhI07HYBM39o1wQXod4EGdYkEjNlye/wemanadiamond.jpg)
Wema Sepetu na Diamond Platnumz. DAR ES SALAAM Aprili 27, 2014 … Wakazi wa kusini mwa Tanzania yaani mkoa wa Mtwara wametakiwa kukaa mkao wa kula burudani ya nguvu ya muziki itapigwa moja kwa moja jukwaani siku ya tarehe 2 ya mwezi wa Mei katika ukumbi wa Makonde Club. Shoo hiyo ya kipekee na ya aina yake italetwa na si mwingine bali ni mkali wa muziki wa bongo flava nchini anayepasua anga ya Afrika ya Mashariki kwa sasa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziDiamond na Wema kuhamia Mtwara, kufanya shoo ya nguvu Mei 2, 2014 MAKONDE CLUB
Shoo hiyo ya kipekee na ya aina yake italetwa na si mwingine bali ni mkali wa muziki wa bongo flava nchini anayepasua anga ya Afrika ya Mashariki kwa sasa kupitia vibao vyake vitamu kama vile cha My Number One remix alichomshirikisha msanii Davido kutoka nchini Nigeria, Raisi wa wasafi...
10 years ago
Vijimambo![](https://lh6.googleusercontent.com/-fB20VU6QCi8/VCZww_scN1I/AAAAAAAAHRg/FHEgLePizg4/s72-c/8.jpeg%20cursor:%20pointer;)
Diamond afunguka na kuhusu ishu ya kumtema Wema na kuhamia kwa Menina, hiki ndo alichokisema...
Diamond afunguka na kuhusu ishu ya kumtema Wema na kuhamia kwa Menina, hiki ndo alichokisema...
![](https://lh6.googleusercontent.com/-fB20VU6QCi8/VCZww_scN1I/AAAAAAAAHRg/FHEgLePizg4/8.jpeg%20cursor:%20pointer;)
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Diamond, Wema kuiteka Mtwara leo
NYOTA wa muziki wa Bongo flava nchini, Diamond Platnum ameahidi makubwa kwa mashabiki wake wa Mtwara katika onesho litakalofanyika leo kwenye Ukumbi wa Makonde Club, mjini humo. Katika shoo hiyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*9fn6zx1i0LH33jqkV7U-Xg5p9s5EWfgv4kWIsMhROpimxtn5e6D7*wy52kLFA-TCs*8R0XYavhDZZ1pHvvx7JF9s00zjgnD/dimond.jpg?width=650)
SIRI YA DIAMOND KUHAMIA KWAKE YAVUJA
10 years ago
Bongo Movies14 Aug
"Kimenuka kwa Diamond" Mashabiki wa Wema wamtaka aache 'kumtumia' Wema kibiashara.
Kundi la watu wanaojiita mashabiki wa Wema Sepetu, limeanzisha kampeni kwenye mtandao mmoja wa maarufu wa kijamii kampeni iliyopewa jina la #BringBackOurWema likimshinikiza mpenzi wake Diamond Platnumz amrudishe kwenye maisha yake ya zamani na kukuza career yake ya filamu.
Mashabiki hao wanaamini kuwa Diamond anampoteza Wema na amekuwa akitumia umaarufu wake (Wema) kujidhatiti zaidi yeye huku Miss Tanzania huyo wa zamani akiendelea kudidimia.
Hivi ndivyo maelezo...
10 years ago
Bongo Movies21 Jun
Mzee Majuto Amuunga Mkono Wema Sepetu, Diamond Amtaka Wema Abadilike Kama Kweli Anautaka Ubunge
Mzee Majuto kwa mara ya kwanza ameamua kufunguka kumuunga mkono Wema Sepetu kwa nia yake ya kutaka kuwa mbunge.Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Mzee Majuto ameandika;
Nisingependa kuyaongea haya kwenye mfungu mtukufu ila kiundani ningependa kuonyesha umoja na kumuunga mkono wazo na lengo la Mwanangu kwa kuwa anaweza na amethubutu sasa isitokee wale wasiopenda maendeleo ya watu na taifa hili kuvuruga misingi na mipango madhubuti ya kuwapa nafasi vijana na hasa wanawake kushika hatamu na...
10 years ago
Vijimambo10 Jun
SUPER STAR DIAMOND AFUNGUKA LIVE: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA, WEMA NAYE AJIBU MASHAMBULIZI ILE MBAYA
![](http://api.ning.com/files/sT-mI3qB-hd0YVE-1L3jrO35VuXlfCHa8GPFsghter64FISojx1YI8f9jEWQzHOXg3KQF*1lvwUKrNWc8ymR7uFBTIA7tm3r/diamond211.jpg?width=650)
KIAPO! Kuonesha kwamba hana mpango wa kurudi nyuma, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amefungukia msimamo wake juu ya mwandani wake wa zamani, Wema Sepetu ‘Madam’ kwa kusema kuwa kamwe hawezi kumrudia tena, Risasi Jumamosi lina mkanda kamili.
![](http://api.ning.com/files/sT-mI3qB-hd0YVE-1L3jrO35VuXlfCHa8GPFsghter64FISojx1YI8f9jEWQzHOXg3KQF*1lvwUKrNWc8ymR7uFBTIA7tm3r/diamond211.jpg?width=650)