Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIRI YA DIAMOND KUHAMIA KWAKE YAVUJA

Na Mussa Mateja HATIMAYE siri ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kuhamia kwenye mjengo wake wa kisasa uliyopo Tegeta -Madale jijini Dar imevuja huku ikitajwa kuwepo na vionjo vya ushirikina. Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Chanzo makini kimeliambia Amani kuwa, licha ya kumalizika kwa mjengo huo, lakini Diamond alikuwa akikataa kuhamia kutokana na umbali kutoka huko hadi mitaa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SIRI NDOA YA THEA, MIKE KUYUMBA YAVUJA

Na Waandishi Wetu
IMEFICHUKA! Ile ndoa ya wasanii wa filamu za Kibongo, Salome Urassa ‘Thea’ na Michael Sangu ‘Mike’ ambayo imekuwa ikiyumba mara kwa mara chanzo kimedaiwa kilianzia kwenye ufungaji wake.Sosi wetu makini aliyeomba hifadhi ya jina lake alitutonya kuwa, ndoa ya mastaa hao ni ya mseto kwani hakuna aliyekuwa tayari kufuata imani ya mwenzake jambo lililowashangaza wengi. Salome Urassa...

 

11 years ago

GPL

SIRI NZITO YAVUJA: RAIS HAVUNJI BALAZA LA MAWAZIRI

Stori: mwadishi wetu
SIRI nzito imevuja! Ni dhahiri kwamba, Rais Jakaya Kikwete ‘JK’ hatavunja baraza la mawaziri kufuatia kusitisha kwake uteuzi wa mawaziri wanne na kifo cha aliyekuwa Waziri wa Fedha, Mipango na Uchumi,  Dk. William Augustao Mgimwa kama wengi wanavyoamini bali atabadilisha tu, Risasi Jumamosi lina cha kushika mkononi. Waziri Mkuu, Mh. Mizengo Pinda. Mawaziri ambao uteuzi wao ulitenguliwa ni...

 

11 years ago

GPL

MR.NICE AFUNGUKA SIRI YA KUFILISIKA KWAKE!

Stori:  Shakoor Jongo
MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ ameibuka na kufunguka kuwa siri ya kufilisika kwake ni kupenda kwake sifa kutoka kwa wapambe na matumizi mabaya ya fedha alizokuwa akiziingiza. Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’. Akizungumza na paparazi wetu, Nice, aliyetamba kwa staili ya Takeu, alisema wakati nyota yake ikiwa juu na kuingiza...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND NA WEMA KUHAMIA MTWARA

Wema Sepetu na Diamond Platnumz. DAR ES SALAAM Aprili 27, 2014 … Wakazi wa kusini mwa Tanzania yaani mkoa wa Mtwara wametakiwa kukaa mkao wa kula burudani ya nguvu ya muziki itapigwa moja kwa moja jukwaani siku ya tarehe 2 ya mwezi wa Mei katika ukumbi wa Makonde Club. Shoo hiyo ya kipekee na ya aina yake italetwa na si mwingine bali ni mkali wa muziki wa bongo flava nchini anayepasua anga ya Afrika ya Mashariki kwa sasa...

 

5 years ago

Michuzi

DIWANI KATA YA KIBAMBA ALIYEMALIZA MUDA WAKE ATAJA SIRI 14 YA KUFANIKIWA KWAKE

Diwani wa Kata ya Kibamba aliyemaliza muda wake wa miaka mitano tangu kupitia tiketi ya Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) Ernest Mgawe kushoto akimkabidhi mmoja wa viongozi wa kata wa chama hicho ripoti maalumu ya utekelezaji wa majukumu mbali mbali ambayo aliyafanay wakati wa uongozi wake kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2015/2020 katika halfa ambayo ilihudhuliwa na viongozi mbali mbali.(Picha na Victor Masangu).
 Diwani wa kata ya Kibamba ambaye amemaliza muda wake kupitia tiketi ya...

 

11 years ago

Michuzi

Diamond na Wema kuhamia Mtwara, kufanya shoo ya nguvu Mei 2, 2014 MAKONDE CLUB

Wakazi wa kusini mwa Tanzania yaani mkoa wa Mtwara wametakiwa kukaa mkao wa kula burudani ya nguvu ya muziki itapigwa moja kwa moja jukwaani siku ya tarehe 2 ya mwezi wa Mei katika ukumbi wa Makonde Club.
Shoo hiyo ya kipekee na ya aina yake italetwa na si mwingine bali ni mkali wa muziki wa bongo flava nchini anayepasua anga ya Afrika ya Mashariki kwa sasa kupitia vibao vyake vitamu kama vile cha My Number One remix alichomshirikisha msanii Davido kutoka nchini Nigeria, Raisi wa wasafi...

 

10 years ago

Vijimambo

Diamond afunguka na kuhusu ishu ya kumtema Wema na kuhamia kwa Menina, hiki ndo alichokisema...


Diamond afunguka na kuhusu ishu ya kumtema Wema na kuhamia kwa Menina, hiki ndo alichokisema...
Hatimaye Diamond Platnumz amefunguka kuhusutetesi zinazoendelea kuwa ameachana na WemaSepetu na kwamba ana mpango wa kufunga ndoana Meninah Diamond alisema kuwa tetesi hizo zimekuwa zikimhuzunisha kwa kiasi kikubwa. “Unajua hizi habari kiukweli zimekuwazikinihuzunisha sana,” amesema msanii huyo.“Unajua mie ni mtu mmoja ambaye sipendikuzunguzia mambo ya rumors, siju magazeti huwasipendi kuzungumzia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani