SIRI YA DIAMOND KUHAMIA KWAKE YAVUJA
![](http://api.ning.com:80/files/*9fn6zx1i0LH33jqkV7U-Xg5p9s5EWfgv4kWIsMhROpimxtn5e6D7*wy52kLFA-TCs*8R0XYavhDZZ1pHvvx7JF9s00zjgnD/dimond.jpg?width=650)
Na Mussa Mateja HATIMAYE siri ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kuhamia kwenye mjengo wake wa kisasa uliyopo Tegeta -Madale jijini Dar imevuja huku ikitajwa kuwepo na vionjo vya ushirikina. Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Chanzo makini kimeliambia Amani kuwa, licha ya kumalizika kwa mjengo huo, lakini Diamond alikuwa akikataa kuhamia kutokana na umbali kutoka huko hadi mitaa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLadsmXnIZbFGHLOVoQ3sOVOm0YVHqrJtmMHwkCPt5k0d6YmCvk*0CUNngQEakAoi5DLTlpudEhgrrjuz6VruG7QP/Thea.jpg?width=650)
SIRI NDOA YA THEA, MIKE KUYUMBA YAVUJA
Na Waandishi Wetu
IMEFICHUKA! Ile ndoa ya wasanii wa filamu za Kibongo, Salome Urassa ‘Thea’ na Michael Sangu ‘Mike’ ambayo imekuwa ikiyumba mara kwa mara chanzo kimedaiwa kilianzia kwenye ufungaji wake.Sosi wetu makini aliyeomba hifadhi ya jina lake alitutonya kuwa, ndoa ya mastaa hao ni ya mseto kwani hakuna aliyekuwa tayari kufuata imani ya mwenzake jambo lililowashangaza wengi. Salome Urassa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7qcHCk*FhZ-m8zJBx2BYKnmKVVDk3GYYufb-Idi9SEFvgLUWB-qHKinquWqxmETdGxcSyAqVTklaPwC4TUGs4xo/rais.jpg?width=650)
SIRI NZITO YAVUJA: RAIS HAVUNJI BALAZA LA MAWAZIRI
Stori: mwadishi wetu
SIRI nzito imevuja! Ni dhahiri kwamba, Rais Jakaya Kikwete ‘JK’ hatavunja baraza la mawaziri kufuatia kusitisha kwake uteuzi wa mawaziri wanne na kifo cha aliyekuwa Waziri wa Fedha, Mipango na Uchumi, Dk. William Augustao Mgimwa kama wengi wanavyoamini bali atabadilisha tu, Risasi Jumamosi lina cha kushika mkononi. Waziri Mkuu, Mh. Mizengo Pinda. Mawaziri ambao uteuzi wao ulitenguliwa ni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJMfCCGgRogp1dACHbbdcv*dOEG8jnBa0AB3joaDiBnZeBWmXS4-pEs7fglLvg9Cj7r2hTG8IrdjGxZvzukcy21w/nice.jpg)
MR.NICE AFUNGUKA SIRI YA KUFILISIKA KWAKE!
Stori:Â Shakoor Jongo
MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ ameibuka na kufunguka kuwa siri ya kufilisika kwake ni kupenda kwake sifa kutoka kwa wapambe na matumizi mabaya ya fedha alizokuwa akiziingiza. Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’. Akizungumza na paparazi wetu, Nice, aliyetamba kwa staili ya Takeu, alisema wakati nyota yake ikiwa juu na kuingiza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6aneFCmzf60h-uQQD1Xyk5jIkROGJ*5fWi7a2DyKOZN7jFobNRI864K8SNhI07HYBM39o1wQXod4EGdYkEjNlye/wemanadiamond.jpg)
DIAMOND NA WEMA KUHAMIA MTWARA
Wema Sepetu na Diamond Platnumz. DAR ES SALAAM Aprili 27, 2014 … Wakazi wa kusini mwa Tanzania yaani mkoa wa Mtwara wametakiwa kukaa mkao wa kula burudani ya nguvu ya muziki itapigwa moja kwa moja jukwaani siku ya tarehe 2 ya mwezi wa Mei katika ukumbi wa Makonde Club. Shoo hiyo ya kipekee na ya aina yake italetwa na si mwingine bali ni mkali wa muziki wa bongo flava nchini anayepasua anga ya Afrika ya Mashariki kwa sasa...
5 years ago
MichuziDIWANI KATA YA KIBAMBA ALIYEMALIZA MUDA WAKE ATAJA SIRI 14 YA KUFANIKIWA KWAKE
11 years ago
MichuziDiamond na Wema kuhamia Mtwara, kufanya shoo ya nguvu Mei 2, 2014 MAKONDE CLUB
Shoo hiyo ya kipekee na ya aina yake italetwa na si mwingine bali ni mkali wa muziki wa bongo flava nchini anayepasua anga ya Afrika ya Mashariki kwa sasa kupitia vibao vyake vitamu kama vile cha My Number One remix alichomshirikisha msanii Davido kutoka nchini Nigeria, Raisi wa wasafi...
10 years ago
Vijimambo![](https://lh6.googleusercontent.com/-fB20VU6QCi8/VCZww_scN1I/AAAAAAAAHRg/FHEgLePizg4/s72-c/8.jpeg%20cursor:%20pointer;)
Diamond afunguka na kuhusu ishu ya kumtema Wema na kuhamia kwa Menina, hiki ndo alichokisema...
Diamond afunguka na kuhusu ishu ya kumtema Wema na kuhamia kwa Menina, hiki ndo alichokisema...
![](https://lh6.googleusercontent.com/-fB20VU6QCi8/VCZww_scN1I/AAAAAAAAHRg/FHEgLePizg4/8.jpeg%20cursor:%20pointer;)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania