Diamond, Wema kuiteka Mtwara leo
NYOTA wa muziki wa Bongo flava nchini, Diamond Platnum ameahidi makubwa kwa mashabiki wake wa Mtwara katika onesho litakalofanyika leo kwenye Ukumbi wa Makonde Club, mjini humo. Katika shoo hiyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6aneFCmzf60h-uQQD1Xyk5jIkROGJ*5fWi7a2DyKOZN7jFobNRI864K8SNhI07HYBM39o1wQXod4EGdYkEjNlye/wemanadiamond.jpg)
DIAMOND NA WEMA KUHAMIA MTWARA
11 years ago
MichuziDiamond na Wema kuhamia Mtwara, kufanya shoo ya nguvu Mei 2, 2014 MAKONDE CLUB
Shoo hiyo ya kipekee na ya aina yake italetwa na si mwingine bali ni mkali wa muziki wa bongo flava nchini anayepasua anga ya Afrika ya Mashariki kwa sasa kupitia vibao vyake vitamu kama vile cha My Number One remix alichomshirikisha msanii Davido kutoka nchini Nigeria, Raisi wa wasafi...
9 years ago
Bongo508 Dec
Wema Sepetu apania kuiteka Bongo kwa kitu hiki kipya!
![Wema Sepetu akionyesha Lipstick](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Wema-Sepetu-akionyesha-Lipstick-300x194.jpg)
Baada ya kuzindua lipstick zake, Kiss By Wema Sepetu, malkia huyo filamu nchini, amepanga kuingiza sokoni perfume yake pamoja na bidhaa zingine za urembo.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Wema apost picha yake na kuandika:
I think this should be my colour ya lipstick wen it comes to my brand Kiss. Naipenda coz it just makes me feel good nikiipaka…. For a very long time nimekuwa nikitaka sana kuwa na kitu kitacho carry jina langu la Wema Sepetu… I thought of perfume at first ila huko...
9 years ago
Bongo517 Dec
Zari na Diamond kuiteka Uganda wikiendi hii
![12301398_1675226496024383_418418585_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12301398_1675226496024383_418418585_n-300x194.jpg)
Diamond na mchumba wake Zari The Bosslady wataiteka Kampala, Uganda wikiendi hii.
Wote watakuwa na show tofauti.
Zari atakuwa na All White Party Alhamis hii kwenye kiota cha Guvnor huku Diamond Ijumaa hii akitumbuiza kwenye uwanja wa cricket wa Lugogo akiwa na msanii wa Nigeria, Patoranking kwenye show ya Born 2 Win.
Tayari Zari ameshawasili nchini humo huku Diamond akitarajiwa kuwasili leo au kesho.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Mo Music kuiteka Bills leo
CHIPUKIZI wa muziki wa Bongo Fleva, Moshi Katemi ‘Mo Music’, anatarajia kufanya shoo yake ya kwanza katika Jiji la Dar es Salaam leo katika ukumbi wa kimataifa wa Club Bilicanas...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Abdu Kiba kuiteka Bills leo
WAKATI wimbo ‘Kabibi’ ulioimbwa na mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdu Kiba ukiendelea kubamba katika anga ya muziki wa kizazi kipya, leo anatarajia kuendelea kuutambulisha kwa mashabiki wake....
10 years ago
Bongo Movies14 Aug
"Kimenuka kwa Diamond" Mashabiki wa Wema wamtaka aache 'kumtumia' Wema kibiashara.
Kundi la watu wanaojiita mashabiki wa Wema Sepetu, limeanzisha kampeni kwenye mtandao mmoja wa maarufu wa kijamii kampeni iliyopewa jina la #BringBackOurWema likimshinikiza mpenzi wake Diamond Platnumz amrudishe kwenye maisha yake ya zamani na kukuza career yake ya filamu.
Mashabiki hao wanaamini kuwa Diamond anampoteza Wema na amekuwa akitumia umaarufu wake (Wema) kujidhatiti zaidi yeye huku Miss Tanzania huyo wa zamani akiendelea kudidimia.
Hivi ndivyo maelezo...