Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mo Music kuiteka Bills leo

CHIPUKIZI wa muziki wa Bongo Fleva, Moshi Katemi ‘Mo Music’, anatarajia kufanya shoo yake ya kwanza katika Jiji la Dar es Salaam leo katika ukumbi wa kimataifa wa Club Bilicanas...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Abdu Kiba kuiteka Bills leo

WAKATI wimbo ‘Kabibi’ ulioimbwa na mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdu Kiba ukiendelea kubamba katika anga ya muziki wa kizazi kipya, leo anatarajia kuendelea kuutambulisha kwa mashabiki wake....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diamond, Wema kuiteka Mtwara leo

NYOTA wa muziki wa Bongo flava nchini, Diamond Platnum ameahidi makubwa kwa mashabiki wake wa Mtwara katika onesho litakalofanyika leo kwenye Ukumbi wa Makonde Club, mjini humo. Katika shoo hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Twanga kukonga mashabiki Bills leo

BENDI ya muziki wa dansi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ imejinasibu kutamba na kukonga nyoyo za mashabiki wao katika onesho lao la Usiku wa Mwafrika ‘African Nite’ linalorindima kila Jumatano...

 

10 years ago

GPL

YALIYOJIRI NDANI YA BILLS USIKU WA KUAMKIA LEO

Barnaba Boy akifanya yake. Baraka Da Prince (kushoto),  akifanya makamuzi na msanii mwenzake, Ice Boy.
Bob Junior akipagawisha.…

 

9 years ago

Bongo5

Zari na Diamond kuiteka Uganda wikiendi hii

12301398_1675226496024383_418418585_n

Diamond na mchumba wake Zari The Bosslady wataiteka Kampala, Uganda wikiendi hii.

12301398_1675226496024383_418418585_n

Wote watakuwa na show tofauti.

Zari atakuwa na All White Party Alhamis hii kwenye kiota cha Guvnor huku Diamond Ijumaa hii akitumbuiza kwenye uwanja wa cricket wa Lugogo akiwa na msanii wa Nigeria, Patoranking kwenye show ya Born 2 Win.

Tayari Zari ameshawasili nchini humo huku Diamond akitarajiwa kuwasili leo au kesho.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram...

 

10 years ago

Michuzi

MASHAUZI CLASSIC YAPANIA KUITEKA MOROGORO X-MAS

Kundi zima la Mashauzi Classic chini yake Isha Mashauzi, litafanya utambulisho wa wimbo wao mpya “Sura Surambi” kwa wakazi wa Morogogo Disemba 25 kwenye maadhimisho ya siku ya Christmas. 
 Mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Isha Ramadhani maarufu kama Isha Mashauzi (pichani juu), ameuambia mtandao huu kuwa onyesho hilo litafanyika ndani ya ukumbi wa Savoy Hotel na watasindikizwa na mfalme wa kigodoro Msaga sumu. 
 Isha amesema “Sura Surambi” ni ngoma yao mpya kabisa iliyoachiwa ...

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI AFUNGA KAMPENI ZAKE DAR, KESHO KUITEKA MWANZA

Dk. Magufuli akimwaga sera kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kwenye Viwanja vya Jangwani leo. Mwenyekiti wa CCM, Dk. Jakaya Kikwete akimnadi mgombea urais wa CCM, Dk. Magufuli leo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani