Sturridge aipania Uruguay
Mshambuliaji wa England, Daniel Sturridge anajiandaa kufanya kila kitu kuhakikisha hawatolewi mapema katika fainali za Kombe la Dunia kesho wakati watakapocheza mechi ya ‘kufa au kupona’ dhidi ya Uruguay.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Kocha Azam aipania Ndanda
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA wa timu ya Azam, Stewart Hall, amesema atahakikisha kikosi chake kinapata ushindi dhidi ya Ndanda ya Mtwara kesho baada ya kuambulia pointi moja dhidi ya Yanga Jumamosi iliyopita.
Hall aliyepania kushinda mechi kumi za kwanza za Ligi Kuu, amesema mechi dhidi ya Yanga imevuruga hesabu zake, lakini ameyafanyia kazi makosa yaliyowagharimu ili kuendeleza wimbi la ushindi.
Azam ambayo msimu uliopita ilifungwa bao 1-0 na timu hiyo kwenye Uwanja wa Nangwanda...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Sturridge, Gerrard wang’arisha
9 years ago
Bongo527 Nov
Daniel Sturridge aumia tena mazoezini
![2ECE215B00000578-3333700-image-a-10_1448471418906](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2ECE215B00000578-3333700-image-a-10_1448471418906-300x194.jpg)
Mshambuliaji wa kimataifa wa Uingereza anayeichezea klabu ya Liverpool, Daniel Sturridge, ameumia tena.
Sturridge ambaye hadi hivi sasa ameichezea Liverpool mechi tatu tangu kuanza kwa msimu huu, aliumia katika mazoezi ya kujianda na mechi dhidi ya na Bordeux ya Ufaransa na haijajulikana itachukua muda gani.
Kocha Jurgen Klopp amesema hajui nini kinaendelea kwa nyota wake huyo aliyeifungia Liverpool magoli 42 katika michezo 70 aliyoichezea klabu hiyo.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Daniel Sturridge apata jeraha jingine
10 years ago
BBCSwahili01 May
Dan Sturridge huenda akafanyiwa upasuaji
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Colombia itachuana na Uruguay
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
Uingereza na Uruguay zinapambana Brazil
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Siagi ya Uruguay yanaswa Brazil
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Rais wa Uruguay atukana maafisa wa FIFA