Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daniel Sturridge apata jeraha jingine

Mshambuliaji wa Liverpool Daniel Sturridge amepata jereha jingine la mguu wakati wa mazoezi ambalo lilimuweka nje katika mechi dhidi ya Bordeaux katika ligi ya Yuropa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Daniel Sturridge aumia tena mazoezini

2ECE215B00000578-3333700-image-a-10_1448471418906

Mshambuliaji wa kimataifa wa Uingereza anayeichezea klabu ya Liverpool, Daniel Sturridge, ameumia tena.

2ECE215B00000578-3333700-image-a-10_1448471418906

Sturridge ambaye hadi hivi sasa ameichezea Liverpool mechi tatu tangu kuanza kwa msimu huu, aliumia katika mazoezi ya kujianda na mechi dhidi ya na Bordeux ya Ufaransa na haijajulikana itachukua muda gani.

Kocha Jurgen Klopp amesema hajui nini kinaendelea kwa nyota wake huyo aliyeifungia Liverpool magoli 42 katika michezo 70 aliyoichezea klabu hiyo.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Persie apata jeraha

Kilabu ya Manchester United inasubiri kujua ubaya wa jeraha la mshambuliaji wake Robin Van Persie

 

5 years ago

BBCSwahili

Maziko ya Daniel arap Moi: Maelfu ya raia wamiminika Kabarak kumuaga rais mstaafu Daniel Moi

Moi amezikwa kijijini kwake kaaribu na kaburi la marehemu mkewe Lena aliyeaga dunia mwaka 2004.

 

11 years ago

Mwananchi

Sturridge aipania Uruguay

Mshambuliaji wa England, Daniel Sturridge anajiandaa kufanya kila kitu kuhakikisha hawatolewi mapema katika fainali za Kombe la Dunia kesho wakati watakapocheza mechi ya ‘kufa au kupona’ dhidi ya Uruguay.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeraha lililomhofisha sana Mo Farah

Mo Farah alikimbizwa hospitalini baada ya kuzimia wakati akifanya mazoezi.

 

11 years ago

Mwananchi

Sturridge, Gerrard wang’arisha

Liverpool imeendelea kusaka ubingwa wake wa kwanza msimu huu baada ya kuichapa Sunderland 2-1 na kurejea katika nafasu ya pili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeraha lamtia dosari Azarenka

Azarenka ameshindwa kushiriki mara mbili katika mashindano ya Australian Open

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeraha lamzonga Samuel Eto'o

Nahodha wa Cameroon Samuel Eto'o huenda asicheze Jumatano watakapochuana na Croatia kutokana na jeraha

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeraha lamuondoa Neymar katika michuano

Nyota wa timu ya soka ya Brazil Neymar hatoshiriki tena katika michuano ya kombe la dunia baada ya kuvunjika mfupa .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani