Sturridge, Gerrard wang’arisha
Liverpool imeendelea kusaka ubingwa wake wa kwanza msimu huu baada ya kuichapa Sunderland 2-1 na kurejea katika nafasu ya pili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Sturridge aipania Uruguay
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Daniel Sturridge apata jeraha jingine
10 years ago
BBCSwahili01 May
Dan Sturridge huenda akafanyiwa upasuaji
9 years ago
Bongo527 Nov
Daniel Sturridge aumia tena mazoezini
![2ECE215B00000578-3333700-image-a-10_1448471418906](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2ECE215B00000578-3333700-image-a-10_1448471418906-300x194.jpg)
Mshambuliaji wa kimataifa wa Uingereza anayeichezea klabu ya Liverpool, Daniel Sturridge, ameumia tena.
Sturridge ambaye hadi hivi sasa ameichezea Liverpool mechi tatu tangu kuanza kwa msimu huu, aliumia katika mazoezi ya kujianda na mechi dhidi ya na Bordeux ya Ufaransa na haijajulikana itachukua muda gani.
Kocha Jurgen Klopp amesema hajui nini kinaendelea kwa nyota wake huyo aliyeifungia Liverpool magoli 42 katika michezo 70 aliyoichezea klabu hiyo.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...
5 years ago
BBCSwahili03 Mar
Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 03.03.2020: Pogba ,Sancho, Werner, Holgate, Lozano,Sturridge
5 years ago
BBCSwahili28 Feb
Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 28.02.2020: Kepa, Jorginho, Barkley, Holgate, Kane, Sturridge, Karius
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Mdee aing’arisha BAWACHA
MWENYEKITI wa Taifa wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), Halima Mdee na viongozi wenzake, wameendelea kuking’arisha chama hicho Kanda ya Ziwa, huku akiwataka wananchi wa Msalala kukikataa Chama Cha Mapinduzi...
9 years ago
Habarileo09 Sep
Kikwete aing’arisha Tanzania
TANZANIA imetajwa kuwa kinara katika nchi za Afrika Mashariki kwa kutunza amani na utulivu tangu ipate uhuru, huku Rais Jakaya Kikwete akiibuka kiongozi bora katika ukanda huo kwa kujitolea kuleta amani katika Bara la Afrika na kutunza amani hiyo nchini mwake.