Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dan Sturridge huenda akafanyiwa upasuaji

Mshambuliaji wa Liverpool Dan Sturridge huenda akafanyiwa upasuaji ili kutibu tatizo la nyonga linalomsumbua

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Dan kustaafu baada ya kombe la dunia

Dan Carter Mchezaji wa timu ya taifa yaNew Zealand atastaafu baada ya kombe la dunia ya mwaka 2015 nchini Uingereza.

 

9 years ago

TheCitizen

DAN NOLAN : Between razor-wire and a minefield

For the thousands of migrants and refugees streaming into Serbia with the hope of entering the European Union via Hungary, the journey ahead is littered with ever more obstacles: from a razor-wire fence and the threat of prison on one side to minefields and mountains on the other.

 

11 years ago

Mwananchi

Sturridge aipania Uruguay

Mshambuliaji wa England, Daniel Sturridge anajiandaa kufanya kila kitu kuhakikisha hawatolewi mapema katika fainali za Kombe la Dunia kesho wakati watakapocheza mechi ya ‘kufa au kupona’ dhidi ya Uruguay.

 

11 years ago

Mwananchi

Sturridge, Gerrard wang’arisha

Liverpool imeendelea kusaka ubingwa wake wa kwanza msimu huu baada ya kuichapa Sunderland 2-1 na kurejea katika nafasu ya pili.

 

9 years ago

BBCSwahili

Daniel Sturridge apata jeraha jingine

Mshambuliaji wa Liverpool Daniel Sturridge amepata jereha jingine la mguu wakati wa mazoezi ambalo lilimuweka nje katika mechi dhidi ya Bordeaux katika ligi ya Yuropa.

 

9 years ago

Bongo5

Daniel Sturridge aumia tena mazoezini

2ECE215B00000578-3333700-image-a-10_1448471418906

Mshambuliaji wa kimataifa wa Uingereza anayeichezea klabu ya Liverpool, Daniel Sturridge, ameumia tena.

2ECE215B00000578-3333700-image-a-10_1448471418906

Sturridge ambaye hadi hivi sasa ameichezea Liverpool mechi tatu tangu kuanza kwa msimu huu, aliumia katika mazoezi ya kujianda na mechi dhidi ya na Bordeux ya Ufaransa na haijajulikana itachukua muda gani.

Kocha Jurgen Klopp amesema hajui nini kinaendelea kwa nyota wake huyo aliyeifungia Liverpool magoli 42 katika michezo 70 aliyoichezea klabu hiyo.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...

 

10 years ago

Michuzi

SENSEI RUMADHA FUNDI AZURU OKINAWA KWENYE CHIMBUKO LA GOJU RYU KARATE, ATUNIKIWA DAN YA 3

Sensei Yoshiro Miyazato, Kancho Mwenyekiti wa Okinawa Goju Ryu Jundokan So Honbu akimkabidhi cheti cha Dan ya 3 Sensei Rumadha Fundi mjini Naha, Okinawa, hivi karibuni. Sensei Rumadha sasa anashikilia Dan 3 kutoka vyama viwili vya karate – ikiwa ni Dan 3 kutoka Okinawa Goju Ryu Karate na Dan 6 kutoka Tanzania Karate do Federation.

Sensei Rumadha akiwa Jundo Kan Dojo, chimbuko la Goju Ryu Karate duniani, lililoko Naha, Okinawa.

Mke wa Kancho Miyazato akimfundisha mtoto wa Sensei Rumadha, Iman,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 03.03.2020: Pogba ,Sancho, Werner, Holgate, Lozano,Sturridge

Kiungo wa kati wa Ufaransa Paul Pogba, 26, atarejea katika mazoezi ya kikosi cha kwanza Manchester United wiki hii na anapania kubuni ushirikiano uwanjani na Bruno Fernandes aliyejiunga na klabu hiyo Januari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani