SENSEI RUMADHA FUNDI AZURU OKINAWA KWENYE CHIMBUKO LA GOJU RYU KARATE, ATUNIKIWA DAN YA 3
![](http://1.bp.blogspot.com/-0_6GvEzZulQ/VXqSufe0fcI/AAAAAAAHe20/2O5ZRbPwMFU/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Sensei Yoshiro Miyazato, Kancho Mwenyekiti wa Okinawa Goju Ryu Jundokan So Honbu akimkabidhi cheti cha Dan ya 3 Sensei Rumadha Fundi mjini Naha, Okinawa, hivi karibuni. Sensei Rumadha sasa anashikilia Dan 3 kutoka vyama viwili vya karate – ikiwa ni Dan 3 kutoka Okinawa Goju Ryu Karate na Dan 6 kutoka Tanzania Karate do Federation.
![](http://3.bp.blogspot.com/-TGJb0z8EjSo/VXqSwDd-4RI/AAAAAAAHe28/2nlGH1_OMSI/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rgCEjQd_nL8/VXqSx-0BnzI/AAAAAAAHe3E/zArBUjkgI6s/s640/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3xBkmLXqW8s/VhLqbOdXAPI/AAAAAAAH9O0/g2pddsf9L5U/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
Sensei Rumadha Fundi aalikwa kushiriki semina ya Okinawa Goju Ryu Karate-Do Jundokan So Honbu huko Leeds, Uingereza
![](http://1.bp.blogspot.com/-3xBkmLXqW8s/VhLqbOdXAPI/AAAAAAAH9O0/g2pddsf9L5U/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FMGmT4R_tU4/VhLqbPk1SWI/AAAAAAAH9O4/vmcsehIxuP0/s320/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
Mwakilishi wa Jundokan So Honbu Tanzania, sensei Fundi, 3rd Dan (pichani chini), mwenye makaazi yake Marekani, amealikwa kushiriki moja ya semina ( Gasshuku) ya Karate mtindo wa Okinawa Goju Ryu Karate-Do Jundokan So Honbu.
Semina hii itafanyika nji wa Leeds, Uingereza, kuanzia tarehe 16 hadi 18 Oktoba, 2015. Wakuu wa Jundokan toka visiwa vya Okinawa wakiwemo; Sensei Yoshihiro Miyazato, Kancho ambae ni mtoto wa mwanzilishi wa Jundokan dojo mwaka 1957 master Eiichi Miyazato ( aliyekuwa...
10 years ago
Vijimambo31 Jan
MWALIMU WA KARATE NA YOGA SENSEI RUMADHA FUNDI KATIKA WARM UP !
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-8j5pR9ooZM0%2FVM0Ip3LPavI%2FAAAAAAADWoE%2FhrynVjWl_rA%2Fs1600%2FMtanzania%252BSensei%252BRumadha%252BFundi%252Bakiwa%252Bna%252Bmagwiji%252Bwenzie%252Bwa%252Bkimataifa.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tfli8I3XOtk/U6cSvG3GRSI/AAAAAAAFsSk/hQbrRlpyMss/s72-c/photo1.jpg)
Sensei Rumadha Fundi katika Japan Karate-Do Federation KATA SEMINAR
Sensei Rumadha Fundi, akiwa katika "Japan Karate-Do Federation KATA SEMINAR " iliyofanyika Jumamosi Juni 21,2014 katika ukumbi wa University of St. Thomas, Houston, Texas chini ya Master Sensei Masataka Muramatsu Dan 8 ( Hanshi), master Tatsuo Takegawa Dan 7 ( Kyoshi), kutoka Japan na washiriki kutoka Marekani, Mexico na bara la Ulaya chini ya uandalizi wa Sensei Ramon Veras Dan 6 wa Houston, Texas, USA.
Sensei Rumadha Fundi akiwa katika picha ya pamoja na master Muramatsu
Sensei...
![](http://3.bp.blogspot.com/-tfli8I3XOtk/U6cSvG3GRSI/AAAAAAAFsSk/hQbrRlpyMss/s1600/photo1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-r81Fy673RyQ/U6cSvpwpcuI/AAAAAAAFsSo/HMrW3ami5Wk/s1600/photo2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Qe4Ek6tb6c4/VczwXEA9-TI/AAAAAAAHwaY/HaPwbqjJW5Y/s72-c/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
MWALIMU WA YOGA NA KARATE WA KIMATAIFA SENSEI RUMADHA FUNDI AZICHAMBUA FAIDA ZA YOGA
Na Sensei Rumadha FundiMara nyingi neno”Meditation” au kutafakari huchanganywa na kufikiri ni kukaa kimya kufumba macho kiufanisi au kuwaza jambo fulani. Pia, wengine huchanganya hili neno na kuwa umekaa kimya na kujaribu kutofikiria lolote, ama pia kuivuta au kuisukuma akili yako na kutoku fikiria kitu cha iana yeyote ile muda wote wa kutafakari na kuamini kwamba hiyo ni “Meditation” au Tafakari. Kamwe, hamna hata moja ya mifano hii inaweza kuifikia maana yake halisi katika mfumo kisayansi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-c418RMvhjXc/ViYOsXMhHZI/AAAAAAAIBGI/f61EIlycKco/s72-c/2015-10-18%2B19.28.37.jpg)
GOJU RYU KARATE-DO JUNDOKAN SEMINA UINGEREZA IMEFANA SANA!!
![](http://2.bp.blogspot.com/-c418RMvhjXc/ViYOsXMhHZI/AAAAAAAIBGI/f61EIlycKco/s640/2015-10-18%2B19.28.37.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XLkqdywzFmw/ViYOsTUV9AI/AAAAAAAIBGE/1G7zI9-5huk/s640/2015-10-20%2B01.09.15.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JjdtQA9I1N0/ViYOtvaMJ-I/AAAAAAAIBGY/SX46RPcvxNc/s640/2015-10-20%2B01.39.28.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fy7a9AJNMVU/ViYOtRSCWRI/AAAAAAAIBGQ/oLck1S6pnwE/s640/FB_IMG_1445306791981.jpg)
Gasshuku au semina ya Karate mtindo wa Okinawa Goju RyuJundokan So Honbu, imefungwa Jumapili usiku na kufuatiwa kwa tafrija kubwa ya kuwaaga washiriki "Sayonara Party" wa kike na kiume, umri kuanzia miaka 13 had 70 toka nchi mbalimbali za Ulaya na Japan ikiwemo na Tanzania iliyowakilishwa na sensei Rumadha....
10 years ago
Vijimambo14 Nov
SENSEI RUMADHA FUNDI AKIFANYA VITU VYAKE !
Mtaalam wa ngazi ya juu wa mchezo karate na Yoga Sensei Rumadha Fundi (Mtanzania) mwenye Black Belt,6 Dan,anayetambulika kimataifa mwenye makao yake nchini Marekani akifanya Vitu vyake..katika kupasha pasha mwili(Tafadhali usiige mchezo huu bila kupata maelekezo ya wataalamu)
tazama video hizo mbili:Bofya soma zaidi uone video ya pili ya Sebsei Rumadha Fundi akifanya vitu vyake
tazama video hizo mbili:Bofya soma zaidi uone video ya pili ya Sebsei Rumadha Fundi akifanya vitu vyake
10 years ago
Vijimambo22 Apr
SENSEI RUMADHA FUNDI KATIKA SEMINAR TEXAS BLACK BELTS CLUB - USA
PIA AMEITWA KWENDA OKINAWA, JAPAN KUKABIDHIWA MAMLAKA YA UWAKILISHI MTINDO WA KARATE WA GOJU RYU JUNDONKAN NCHINI TANZANIA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-LL6Mbq0m0m4%2FVTbeodFkv4I%2FAAAAAAADjag%2FWGPQe874lOw%2Fs1600%2FBi.Anita%252BMke%252Bwa%252BSensei%252BRumadha%252Bakimpa%252BPongezi%252BMumewe%252Bkatikati%252Bkwa%252Bkumaliza%252Bkazi.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Texas Black Belts club Seminar , imeandaliwa na Sensei Ramon Veras, Dan 7, Okinawa Goju Ryu Kyokai, mjini Houston, Texas tarehe 19 April, 2015. Pia ni sehemu moja ya maandalizi na marekebisho ya mbinu na ufundi wa vipande tofauti katika mfumo mzima wa Sanaa na tayari kwa baadhi ya washiriki kwa msafara wa kwenda kwenye chimbuko la Karate huko Okinawa, Japan. Sensei...
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-LL6Mbq0m0m4%2FVTbeodFkv4I%2FAAAAAAADjag%2FWGPQe874lOw%2Fs1600%2FBi.Anita%252BMke%252Bwa%252BSensei%252BRumadha%252Bakimpa%252BPongezi%252BMumewe%252Bkatikati%252Bkwa%252Bkumaliza%252Bkazi.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Texas Black Belts club Seminar , imeandaliwa na Sensei Ramon Veras, Dan 7, Okinawa Goju Ryu Kyokai, mjini Houston, Texas tarehe 19 April, 2015. Pia ni sehemu moja ya maandalizi na marekebisho ya mbinu na ufundi wa vipande tofauti katika mfumo mzima wa Sanaa na tayari kwa baadhi ya washiriki kwa msafara wa kwenda kwenye chimbuko la Karate huko Okinawa, Japan. Sensei...
9 years ago
VijimamboMWALIMU WA YOGA NA KARATE WA KIMATAIFA RUMADHA FUNDI AZICHAMBUA FAIDA ZA YOGA
Mara nyingi neno”Meditation” au kutafakari huchanganywa na kufikiri ni kukaa kimya kufumba macho kiufanisi au kuwaza jambo fulani. Pia, wengine huchanganya hili neno na kuwa umekaa kimya na kujaribu kutofikiria lolote, ama pia kuivuta au kuisukuma akili yako na kutoku fikiria kitu cha iana yeyote ile muda wote wa kutafakari na kuamini kwamba hiyo ni “Meditation” au Tafakari. Kamwe, hamna hata moja ya mifano hii inaweza kuifikia maana yake halisi katika mfumo kisayansi na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jB1ATpDIgso/VFaVZokEH5I/AAAAAAAGvGw/Hahl94QhUW0/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Ma-sensei watano waliotunukiwa ngazi za juu za karate watoa shukurani kwa Shirikisho la Karate Tanzania
Walimu (ma-Sensei) watano toka Tanzania, yaani Sensei Dudley Mawalla, Sensei Daud Magoma, Sensei Kheri Kivuli, Sensei Edgar Kaliboti na Sensei Rumadha Fundi, wanatoa shukrani nyingi sana kwa kupewa dhamana kubwa ya heshima na vyeo vya ngazi za juu toka shirikisho la Karate Tanzania (Tanzania Karate-Do Federation). Chini ya uongozi wa mwenyekiti Sensei Geofrey Kalonga na katibu mkuu wake Sensei Phillip Chikoko, wana-sema ma-Sensei hao katika waraka ulioandikwa na Sensei Rumadha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania