Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taasisi za dini kufutwa

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
SERIKALI imetishia kuzifutia usajili taasisi mbalimbali za kidini, endapo zitabainika kukiuka sheria ya vyama vya kijamii kwa kutoa matamko na kushawishi waumini wao kutekeleza matakwa ya kisiasa.
Kauli ya Serikali, imekuja siku chache baada ya viongozi wa Jukwa la Kikristo Tanzania (PCT) kutoa tamkoa la kuwataka waumini wao kuipigia kura ya hapana Katiba inayopendekezwa, wakisema imeandaliwa kwa njia ya ubabe.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Taasisi za dini kufutwa



 Ni zilizoshindwa kuwasilisha mapato na matumizi  Zingine zajiingiza kwenye siasa kinyume cha sheria 
NA MWANDISHI WETU 
TAASISI za dini ziko hatarini kufutwa katika orodha ya usajili kutokana na kuvunja sheria kwa kushindwa kutoa taarifa za mapato na matumizi ya hesabu za fedha kwa mwaka, imeelezwa.  
Kazi ya kuzifuta taasisi hizo,  inatarajia kufanyika Jumatatu ijayo, baada ya kukamilisha uchambuzi wa taasisi hizo na kwamba itaanzia jijini Dar es Salaam na baaadaye mikoani.
Waziri wa Mambo ya...

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI YA ODO UMMY FOUNDATION YATOA VIFAA VYA USAFI KWA TAASISI KUBWA ZA DINI JIJINI TANGA

 MKUU wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa kushoto akiwakabidhi baadhi ya wawakilishi wa Taasisi kubwa za Dini Jijini Tanga msaada wa vifaa vya usafi ambayo vimetolewa na taasisi ya odo Ummy Foundation inayoongozwa na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga na Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu kulia mwenye kanzu ni Katibu Mkuu wa Taasisi ya Waalimu wa Kiislamu Tanzania ya Tamta Mohamed Mohamed Zikri akifuatiwa na Mwakilishi kutoka Katoliki Chumbageni John...

 

10 years ago

Mtanzania

Viongozi taasisi za dini wacharuka

GWAJIMAEsther Mbussi na Grace Shitundu, Dar es Salaam
ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amezua jambo baada ya kuhusishwa na kauli ya Serikali kuhusu kuzifungia taasisi mbalimbali zikiwamo za kidini.
Hatua ya Askofu Gwajima kuziponza taasisi hizo, imetafsiriwa na viongozi wa dini siku moja baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe kutangaza tishio la kuzifuta taasisi hizo.
Kutokana na hatua hiyo, viongozi wa dini wamemtaka Waziri Chikawe kufuta kauli yake ambayo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Viongozi watakiwa kutopuuza taasisi za dini

VIONGOZI wa Serikali, wametakiwa kutopuuza mialiko kutoka Taasisi za kidini kwani katika shughuli hizo za kijamii hutumika kufikisha changamoto zao ambazo zinahitaji ufumbuzi. Ombi hilo limetolewa mjini Kibaha juzi, wakati...

 

9 years ago

Habarileo

‘Serikali inathamini mchango wa taasisi za dini’

SERIKALI imekiri kutambua na kuthamini miradi ya maendeleo inayotekelezwa na taasisi za dini ikiwemo kuhubiri amani na mshikamano ambao ndiyo msingi mkubwa wa maendeleo ya Watanzania.

 

9 years ago

Mwananchi

Taasisi za dini zatajwa sakata la makontena

Mashirika ya dini ni miongoni mwa taasisi zilizotakiwa kuwasilisha nyaraka kwa ajili ya kuhakiki kama yalilipa ushuru wa bandari uliosababisha Serikali kupoteza Sh48 bilioni.

 

10 years ago

Habarileo

Membe ashukuru taasisi za dini, atuzwa

Waziri wa Mambo ya Nje, Bernad Membe.WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amezishukuru taasisi za dini nchini kwa malezi bora ya vijana na jamii, akisema taasisi hizo zimetoa mchango mkubwa katika kudumisha umoja, amani na utulivu nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Taasisi za dini zianzishe vituo vya utalii

Wiki iliyopita nilihudhuria hafla ya kuwapatia maelekezo mahujaji wa Kiislamu wanaokwenda Maka na Madina kwa ajili ya kutimiza ibada ya Hijja.

 

10 years ago

Habarileo

Tunatambua juhudi za taasisi za dini kuleta maendeleo -RC

MKUU wa wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro, Festo Kiswaga, amesema serikali ya mkoa inatambua juhudi zinazofanywa na taasisi za dini kuleta maendeleo ya jamii katika sekta mbalimbali, ikiwemo ya afya, elimu na maji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani