Tunatambua juhudi za taasisi za dini kuleta maendeleo -RC
MKUU wa wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro, Festo Kiswaga, amesema serikali ya mkoa inatambua juhudi zinazofanywa na taasisi za dini kuleta maendeleo ya jamii katika sekta mbalimbali, ikiwemo ya afya, elimu na maji.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog27 May
MO ataka madhebebu dini kushirikiana na serikali ili kuleta maendeleo endelevu
Mbunge wa jimbo la Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), akizungumza na waumini wa Msikiti wa kijiji cha Mtamaa wakati wa ziara yake ya siku tatu jimbo kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
MBUNGE wa Jimbo la Singida mjini, Mohammed Gulam Dewji amewahimiza waumini wa madhahebu mbalimbali ya dini kuendelea kushirikiana na serikali ili kurahisisha upatikanaji wa maendeleo endelevu.
Mbunge Dewji maarufu kwa jina la MO,ametoa wito huo hivi karibuni kwa nyakati tofauti wakati akikagua ujenzi wa...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_05751.jpg)
MO ATAKA MADHEBEBU YA DINI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI ILI KULETA MAENDELEO ENDELEVU
5 years ago
MichuziTAASISI YA ODO UMMY FOUNDATION YATOA VIFAA VYA USAFI KWA TAASISI KUBWA ZA DINI JIJINI TANGA
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Viongozi wa dini wanayo nafasi ya kuleta mabadiliko
9 years ago
StarTV18 Sep
Ridhiwan Kikwete aahidi kuleta maendeleo akichaguliwa
Mgombea ubunge katika jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chama cha mapinduzi CCM Ridhiwan Kikwete amesema kwa kipindi cha mwaka mmoja alichotumikia ubunge amefanikiwa kutatua kero mbalimbali za kijamii katika jimbo hilo
Amesema pamoja na jitihada aliyofanya kwa kipindi cha mwaka mmoja bado kuna changamoto ambazo zinahitaji kumalizwa hivyo amewaomba wananchi wa jimbo la Chalinze kumwamini kwa kumpa kura ili kutimiza lengo la kuwaletea maendeleo.
Riziwani ameyasema hayo wakati akizindua...
10 years ago
Habarileo09 Dec
Kijiko: Kipaumbele changu Arusha ni kuleta maendeleo
MKUU wa Mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda Kijiko, amewahakikishia wakazi wa Arusha kuwa atafanyakazi kwa kushirikiana nao bega kwa bega.
9 years ago
Michuzi18 Nov
SERIKALI YAIPONGEZA JUHUDI ZINAZOFANYWA NA TAASISI YA DORIS MOLLEL FOUNDATION ZA KUSAIDIA WATOTO NJITI
![DSC_1839](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/DSC_1839.jpg)
Na Andrew Chale, ModewjiblogSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepongeza...
9 years ago
Dewji Blog17 Nov
Serikali yaipongeza juhudi zinazofanywa na Taasisi ya Doris Mollel Foundation za kusaidia watoto njiti!
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Saidi Meck Sadiki akizungumza mbele ya wanahabari, madaktari na baadhi ya akina mama waliokuwa na watoto waliozaliwa kabla ya wakati maarufu kama Njiti (Hawapo pichani). Kushoto ni DoriS Mollel ambaye ni Mwanzilishi na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Doris Mollel Foundation (DMF) na wengine ni maafisa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili. (Picha zote na Andrew Chale,Modewjiblog).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM] Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-zyJOS-3-wbo/VS01KZpzWkI/AAAAAAAACEs/5erLglivxY8/s72-c/CHIKAWE-640x480.png)
Taasisi za dini kufutwa
Ni zilizoshindwa kuwasilisha mapato na matumizi Zingine zajiingiza kwenye siasa kinyume cha sheria
NA MWANDISHI WETU
TAASISI za dini ziko hatarini kufutwa katika orodha ya usajili kutokana na kuvunja sheria kwa kushindwa kutoa taarifa za mapato na matumizi ya hesabu za fedha kwa mwaka, imeelezwa.
Kazi ya kuzifuta taasisi hizo, inatarajia kufanyika Jumatatu ijayo, baada ya kukamilisha uchambuzi wa taasisi hizo na kwamba itaanzia jijini Dar es Salaam na baaadaye mikoani.
Waziri wa Mambo ya...